kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,033
Na battlefield weng hawajacheza..ila ukicheza utaelewa wale jamaa wapo serious...shida ya battlefield lazma uwe na pc inayoeleweka mana minmum requirements tu ni changamoto kwa weng especially kuanzia battlefield 4 pale..pia hata game size sio mchezoMkuu, promo pia zinachangia. Mfano ni XBOX na PS, PS zina promo saaana ila kiuhalisia sio nzuri kuliko Xbox.
Mimi sijacheza Battlefield kwa nikienda Youtube naona hii game ni habari nyingine. Nataka nitafute PC kwa ajili ya COD Black Ops 2 kisha hiyo Battlefield.
Sasa humu ndan naona watu wanaishia kweny cod modern warfare game za zaman specs ndogo tu...
Cod kuanzia blackops 3,infinite warfare na advanced warfare weng hawazigusi..watu wapate pc mkasi ndio waje kweny battlefield