Multiple Myeloma
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 466
- 393
Lete na Desert storm aisee! Ile kitu nilikuwa nikiishiwa bum nacheza asbh mpka jioni
Wewe mhuni lazima nikutafute.Kama unapenda hizo tafuta Russian baikal r9 humo unakua unapiga root za Russia yani barabara zmejaa ufa kona na milima ya kutosha yani gari haituliii kabisaa full matope....pia chek na map puno nayo barabara mbya hatar kona nying sana...
Usisahau kufunga horsepower ya 1500 au 2000 alaf nyuma uwe na double trailer huku umetia sounds mod yani unaiskia gar had tair zinavyo lia[emoji23]
Ebwana ukiona euro truck yangu unaweza usile
Usisahau kutupa mrejeshoAsante mkuu. Ngoja niitafute.
Aaah, nilikuwa nazungumzia Black Ops 2COD WW2 BADO HAIJATOKA
Ha ha ha ha yaani PES labda ya XBOX, sio ya PC. Kwa PC FIFA namuona ni mnyama mwingine.YEAH PES YANI MTU UNA FEEL UNACHEZA MPIRA
FIFA MACHEZAJI MAZITO MPAKA UOMGEZE SPEED
Eurotruck bwana ni mod tu unaweza usicheze game zingine...Wewe mhuni lazima nikutafute.
Ndio, Mkuu. Hapa natafuta 500,000 nitafute PC.sema pc ya kucheza COD black ops 2 na bt1 si chini ya laki 4 mpaka 5
hapo atleast utahitaji
CPU YA i3 Atleast 4th get
ram 4gb
gpu angalau kuanzia 1gb ddr3
hapo nabado utacheza games kwa low settings
Hahahahahahahahaha!Hapana mkuu..unapata series za war tofaut tofaut ukiachana na series 6 za mwanzo.. war huko huko kwao za enz hizo...ukajua utakutana na majimaji mkuu??
Hahah bado sana..sasa tumeshindwa hata map ya ubungo manzese tuweke kweny euro truck. .tutaweza kucheza na tanks pale posta?Hahahahahahahahaha!
Nilijua battle inapigwa maeneo ya Posta au huko Mkuranga.
Kwani Mkuu hizo Patch zinatengeenezwa na nani?Hahah bado sana..sasa tumeshindwa hata map ya ubungo manzese tuweke kweny euro truck. .tutaweza kucheza na tanks pale posta?
Mkuu, kuna mtu alitengeneza bus la Abood na Hood humu, vipi na wewe hili umetengeneza ww? Na kuhusu barabara je, za Bongo?View attachment 575291 nikichoka roli huwa naamia kweny bus
Hizo patch kweny battlefield ni wao wenyew ndio wanatoaKwani Mkuu hizo Patch zinatengeenezwa na nani?
Hii mimi natumia mod ya EA bus ...yule wa abood alifanya modification mwenyew...ila hata ww waweza fanyaMkuu, kuna mtu alitengeneza bus la Abood na Hood humu, vipi na wewe hili umetengeneza ww? Na kuhusu barabara je, za Bongo?
Modification ya kutengeneza Bus liweje au unabadili tu jina la bus na rangi?Hii mimi natumia mod ya EA bus ...yule wa abood alifanya modification mwenyew...ila hata ww waweza fanya
Barabara ni za Brazil natumia..bongo hatuna developer walio tayar kufanya kaz hiz..sijui shida nn..tungepapata route ya ubungo chalinze ingekua poa sana kwa kuanzia
umetisha mkuuNdio, Mkuu. Hapa natafuta 500,000 nitafute PC.
yeah ninazo black ops 1-3Aaah, nilikuwa nazungumzia Black Ops 2
Unalifanya unavyotaka ww..as long as uwe unajua unachofanya mkuu..ila sana sana unaweza change rangi,majina, hata engine unaweza ifanyia tweak mweny def file kule...Modification ya kutengeneza Bus liweje au unabadili tu jina la bus na rangi?
Utanisaidiaje hapo mkuu, au Mkuu Kcamp unazo?yeah ninazo black ops 1-3
Bodi je?Unalifanya unavyotaka ww..as long as uwe unajua unachofanya mkuu..ila sana sana unaweza change rangi,majina, hata engine unaweza ifanyia tweak mweny def file kule...