kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,033
Huko bado sijafika mkuu...ila kila kitu kinawezekana...Bodi je?
Huko bado sijafika mkuu...ila kila kitu kinawezekana...Bodi je?
Kama unapenda hizo tafuta Russian baikal r9 humo unakua unapiga root za Russia yani barabara zmejaa ufa kona na milima ya kutosha yani gari haituliii kabisaa full matope....pia chek na map puno nayo barabara mbya hatar kona nying sana...
Usisahau kufunga horsepower ya 1500 au 2000 alaf nyuma uwe na double trailer huku umetia sounds mod yani unaiskia gar had tair zinavyo lia[emoji23]
Ebwana ukiona euro truck yangu unaweza usile
Euro Truck Simulator 2 mods, ETS 2 modsMkuu unaweza kunipa website ya ku download hizo mods
Ila nafkir upate latest version ya game kwanza ambayo ni 1.28 ndio mod nying zimehamiaMkuu unaweza kunipa website ya ku download hizo mods
Mkuu nipe link ya hii kitu. Naitamani sanaView attachment 575291 nikichoka roli huwa naamia kweny bus
kama upo dom bas ni bombaUtanisaidiaje hapo mkuu, au Mkuu Kcamp unazo?
Kutengeneza hayo mambo inabidi uwe na pesa/coins?Huko bado sijafika mkuu...ila kila kitu kinawezekana...
Skills tu mkuu basi..Kutengeneza hayo mambo inabidi uwe na pesa/coins?
Ila ni kaz ngumu sio?Skills tu mkuu basi..
Kwa begginer ni ngumu kidogo..ila ukichek tutorial ni rahis kufanya hizi modification by yourself....Otherwise utumie tu mod zilizotengenezwa na wengne...Ila ni kaz ngumu sio?
Mkuu, mimi mshamba sana juu ya hili Game. Mod ni nini? Yaani kuna mabasi ambayo yameshatengenezwa na wengine kisha ww unakuja unabadili vitu vichache?Kwa begginer ni ngumu kidogo..ila ukichek tutorial ni rahis kufanya hizi modification by yourself....Otherwise utumie tu mod zilizotengenezwa na wengne...
Kama ww sio developer basi unachukua mabus ya watu unayafanyia tweak mbal mbal....Mkuu, mimi mshamba sana juu ya hili Game. Mod ni nini? Yaani kuna mabasi ambayo yameshatengenezwa na wengine kisha ww unakuja unabadili vitu vichache?
Ngoja ntafute PC MkuuKama ww sio developer basi unachukua mabus ya watu unayafanyia tweak mbal mbal....
Ila kama hutak hizo shida..wewe chukua mod tofaut tofaut kisha una weka kweny gari lako....
Mfano unachukua Volvo fh 2009 unafunga horsepower ya mtu mwingine,gear box ya mtu mwingine, tyre za mtu mwingine,sounds za mtu mwingine na mengi tu kisha unapata volvo yako matata.
hizi nazipataje? mwanangu anapenda sana
Una download tu bosshizi nazipataje? mwanangu anapenda sana
unaweza kunipa link nikadownload?Una download tu boss
https://extratorrent.ag/torrent/6442678/Euro+Truck+Simulator+2+v1.28.1.3s.htmlunaweza kunipa link nikadownload?