PC Game: Call Of Duty 4 Modern Warfare, Naitoa bureee!!!

PC Game: Call Of Duty 4 Modern Warfare, Naitoa bureee!!!

Dah mi nilicheza maxi payne 2 na 3 ila sikuwez kuimaliza kuna chapter ya kumpora yule jambazi machete ili umuue. Nikaishiaga hapo ila katika game za action max payne ni hatari!
 
Sasa angalia trailer ya battlefield 1 mzee af njoo uangalie ya ww2 cod..ni copy n paste ya battlefield 1...cod mwaka huu wamechemka...wakatoa infinite warfare wenzao battlefield 1 wakarud world war..haha hapo ndo bao lilipopigwa

Ikabd nao warud ww2 fasta ndio wanaipa promo saiz...narudia angalia trailer ya battlefield 1 mana najua hujaicheza..kisha njoo uone trailer ya ww2 cod ni copy n paste utaona..

Mimi binafsi cod ww2 naiita call of battlefield 1..na sasa hiv battlefield 1 inakula updates za map mpya kila leo..

Nmecheza cod zote jamaa wanajua ila hapa kati kat wmepotezwa na bf1..soma hata comments za trailer ya ww2 cod..ni full battlefield 1

Sent from my SM-G906K using Tapatalk
im not pretty much sure kama cod wamecopy sana but hizi games zote na za vita vilivyookea zamani so lazma kuwe na ufanano flani ivi kwenye enviroment na vitu kama hivyo
also cod ww2 in zombies
me nakwambia hii cod ww2 itakuwa ni bonge la game
real gamers wanacheza cod series
 
im not pretty much sure kama cod wamecopy sana but hizi games zote na za vita vilivyookea zamani so lazma kuwe na ufanano flani ivi kwenye enviroment na vitu kama hivyo
also cod ww2 in zombies
me nakwambia hii cod ww2 itakuwa ni bonge la game
real gamers wanacheza cod series
Bro nmecheza cod zote...nawakubal sana jamaaa...

Ila hapa kweny bf1 ebwana bf wmetisha...ufanano uliotokea ni mkubwa sana ndio mana tunasema copy n paste....

I wish ningekupa bf1 ucheze alaf uniambie..the day naona trailer ya ww2 cod automatically naona ni bf1...anyway ngoja tuisubr tho hata trailer sio kal kam ya bf1 japo ni copy n paste

Unajua cod mim sijawapenda wanavyo switch to future..habar za kubooth sjui mara umepaa full drones..dah

Ndiomana kweny infinite warfare ndio game yeny dislikes nying...cod wabak tu ardhini huku huku tena sio future...

Ila still bf1 katisha sana..nmeicheza mara 3 hii game...yan kuna silaha hizo sio poa..na unajua battlefield hawabanagi silaha..yan ukitaka hata tanks unaendesha,magar unaendesha yan uko free sana....had ndege una amsha..kama umecheza battlefield 3 basi kuna f22 nafkil ile sio poa..na kweny bf1 unapewa ndege alaf unaanza kutungua bombers zilizopo angani..

Ngoja tuisubir iyo ww2 tuone itakuaje.
 
Bro nmecheza cod zote...nawakubal sana jamaaa...

Ila hapa kweny bf1 ebwana bf wmetisha...ufanano uliotokea ni mkubwa sana ndio mana tunasema copy n paste....

I wish ningekupa bf1 ucheze alaf uniambie..the day naona trailer ya ww2 cod automatically naona ni bf1...anyway ngoja tuisubr tho hata trailer sio kal kam ya bf1 japo ni copy n paste

Unajua cod mim sijawapenda wanavyo switch to future..habar za kubooth sjui mara umepaa full drones..dah

Ndiomana kweny infinite warfare ndio game yeny dislikes nying...cod wabak tu ardhini huku huku tena sio future...

Ila still bf1 katisha sana..nmeicheza mara 3 hii game...yan kuna silaha hizo sio poa..na unajua battlefield hawabanagi silaha..yan ukitaka hata tanks unaendesha,magar unaendesha yan uko free sana....had ndege una amsha..kama umecheza battlefield 3 basi kuna f22 nafkil ile sio poa..na kweny bf1 unapewa ndege alaf unaanza kutungua bombers zilizopo angani..

Ngoja tuisubir iyo ww2 tuone itakuaje.
OK TUNGOJE COD WW2 ITOKE AF TUTAJUA ZAIDI KAMA KWELI NI COPY YA BF1
VP MKUU ILA COD INFINITE WARFARE UMECHEZA?
Hii Game imenikera sana Vile tu Vyote ni vitu vya future sana kwenye ile game
 
Dah mi nilicheza maxi payne 2 na 3 ila sikuwez kuimaliza kuna chapter ya kumpora yule jambazi machete ili umuue. Nikaishiaga hapo ila katika game za action max payne ni hatari!
Nilizimaliza zote hizo...jaribu kucheza just clause games
 
OK TUNGOJE COD WW2 ITOKE AF TUTAJUA ZAIDI KAMA KWELI NI COPY YA BF1
VP MKUU ILA COD INFINITE WARFARE UMECHEZA?
Hii Game imenikera sana Vile tu Vyote ni vitu vya future sana kwenye ile game
Infinite sijataka hata kuicheza..game imejaa science hadi basi...wameboa sana ndio mana wamepata dislike za kutosha...

Huu mchezo walianza nao kweny advanced warfare.

Wakaja kweny blackops 2 kwa mbaal wakaanza ingiza habar za future..(hapa nilimpenda sana mbish Harper na yule adui Raul menendez) walipotoa blackops 3 ndo ikawa full science ..wakati blackops 1 ilikua poa sana tu wakina Mason na woods pale ndan walitisha sana..

Sijajua ghost wanampango nao gan mana ni bonge la game..
 
Infinite sijataka hata kuicheza..game imejaa science hadi basi...wameboa sana ndio mana wamepata dislike za kutosha...

Huu mchezo walianza nao kweny advanced warfare.

Wakaja kweny blackops 2 kwa mbaal wakaanza ingiza habar za future..(hapa nilimpenda sana mbish Harper na yule adui Raul menendez) walipotoa blackops 3 ndo ikawa full science ..wakati blackops 1 ilikua poa sana tu wakina Mason na woods pale ndan walitisha sana..

Sijajua ghost wanampango nao gan mana ni bonge la game..
yeah ila mkuu cod mw2 ni bonge la game
wakina soap Mac tavish
wakina cpt ghosh cpt price ahh iyo cod naikubali sana
alaf mkuu kuna game inaitwa homefront revolution umeicheza iyo
 
yeah ila mkuu cod mw2 ni bonge la game
wakina soap Mac tavish
wakina cpt ghosh cpt price ahh iyo cod naikubali sana
alaf mkuu kuna game inaitwa homefront revolution umeicheza iyo
Homefront sina ila nimeiona sana...naitafutia mda tu...naitaka hiyo na ghost recon ..vip unayo nn?

Kuna kipind nilichezaga tomclancy rainbow six siege ebwana balaa humo ndan..yani enemies wamoto sana..shaba moja huamki chini...yani ubisoft sio watu wazur..game ngumu sana hata mission ya mwanzo tu imenitoa jasho..
maxresdefault.jpg
hqdefault.jpg


Sent from my SM-G906K using Tapatalk
 
yeah ila mkuu cod mw2 ni bonge la game
wakina soap Mac tavish
wakina cpt ghosh cpt price ahh iyo cod naikubali sana
alaf mkuu kuna game inaitwa homefront revolution umeicheza iyo
Wakuu me napenda game za gari na ndege. Gari Eurotruck na ndege bado sijapata, nilidownload moja bahat mbaya ikawa ya kucheza online, nilikuwa nataka ya offline.
 
Hii game bwana kila mission ina raha yake, kwangu the most interesting one ni ile baada ya kumuua yule Al Asaad,Capt Price anawasimulia jamaazake kipindi akiwa lieutenant wakaenda wawili tu kwenye ile kambi ambayo walimpiga sniper Imran Zakaev ikampata ya mkono sasa kazi inaanza kuelekea kwenye extraction point. Dah hii game ni hatari sana haichoshi ila wale mbwa wanakata stimu ile V mpaka uiotee kuibonyeza
Ha ha ha ha ha ha ha umenikumbusha Mkuu, hivi pale kumpiga ile Risasi zakhaev si alikuwepo na mnyama mmoja anaitwa 'Soap'?

Wale mbwa mimi nilikuwa kwa risasi tu, inabidi uwe makini sana kama ukitaka kuwaua kupitia kisu.
 
Back
Top Bottom