Habari Wakuu!!!
Kwa wale wapenzi wa PC Games, nina Call Of Duty 4 Modern Warfare naitoa bure bila malipo yoyote japo sikukatazi ukinipa hata ela ya vocha.
-Nitakuwa nazitoa hizi Game kwa WanaJF kila baada ya muda kadhaa, nilitoa Fifa 14 bure na sasa ninatoa Call of Duty 4. Sina namna ya kuanza kuielezea hii Game kwa mapana sababu sina kipaji cha kudadavua vitu kama hivi ila ni mchezaji hasa wa haya Magame ya Computer.
-Kwa wale ambao waliipata Fifa 14 wanaweza wakasema kama niliwacharge hata senti 5. Jamiiforums huwa inanisaidia sana nikiwa na shida mbalimbali kwahiyo na mimi nawasaidia wale ambao wanauhitaji wa hii Game. Fifa 15 Ipo njiani kuna kitu nataka nihakiki kwangu kwanza, nikifanikiwa nitaweka tangazo la kuigawa hapa bure bila malipo.
-Pia baada ya Call of Duty 4 nitakuja kugawa Game nyingine yenye ya Call of Duty yenye 13GB, Hatari saaaaaaana hii Game. Kaeni mkao wa kula.
-Kwa mawasiliano unaweza ni PM.
Kwa wale wapenzi wa PC Games, nina Call Of Duty 4 Modern Warfare naitoa bure bila malipo yoyote japo sikukatazi ukinipa hata ela ya vocha.
-Nitakuwa nazitoa hizi Game kwa WanaJF kila baada ya muda kadhaa, nilitoa Fifa 14 bure na sasa ninatoa Call of Duty 4. Sina namna ya kuanza kuielezea hii Game kwa mapana sababu sina kipaji cha kudadavua vitu kama hivi ila ni mchezaji hasa wa haya Magame ya Computer.
-Kwa wale ambao waliipata Fifa 14 wanaweza wakasema kama niliwacharge hata senti 5. Jamiiforums huwa inanisaidia sana nikiwa na shida mbalimbali kwahiyo na mimi nawasaidia wale ambao wanauhitaji wa hii Game. Fifa 15 Ipo njiani kuna kitu nataka nihakiki kwangu kwanza, nikifanikiwa nitaweka tangazo la kuigawa hapa bure bila malipo.
-Pia baada ya Call of Duty 4 nitakuja kugawa Game nyingine yenye ya Call of Duty yenye 13GB, Hatari saaaaaaana hii Game. Kaeni mkao wa kula.
-Kwa mawasiliano unaweza ni PM.