Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,150
- 137,132
- Thread starter
- #141
Giving a try to talking to a Choleric person.Black Outside but White Inside.
C&P
Totally beside the point!
Giving a try to talking to a Choleric person.Black Outside but White Inside.
C&P
we unafikiriaje kwan?Kweli ni muhimu kiasi hicho??????
Totally beside the point!
Mwanamme kushikilia kuona pay slip ya mwanamme mwenzio ni majanga!
Hujiamini?
unajua chanzo cha hii ishu?Tuliyempigia kura hatuna haja ya kuiona hiyo "salary slip" kwani sisi ndiyo waajiri wake! Ni jambo la ajabu sana kama mwajiri anaomba apewe "salary slip" kutoka kwa mwajiriwa wakati ndiye anayemlipa mshahara!
Kama nisingejua nisingechangia! Ni UKAWA kung'ang'ania wapatiwe salary slip ambayo haileti maendeleo yeyote kwa mtanzania maskini.Wanaenda na matukio!unajua chanzo cha hii ishu?
Mkuu hilo limeshapitaVipi....tulidanganywa?
Au ndo lishapita kama upepo......
Mkuu hilo limeshapita
Sasa hivi tupo episode nyingine
Aliongea hayo wakati wa pasaka akiwa kule kwao Mwanza. Haikuwa tarehe 01.04.2016.Nyani ngabu kumbuka hilo tukio lilitokea pale clouds tv ktk kipindi cha 360 siku ya tar.01/04/2016. Ukikumbuka siku hiyo tar.01April huwa na matukio gani hupati shida...!!
Aliongea hayo wakati wa pasaka akiwa kule kwao Mwanza. Haikuwa tarehe 01.04.2016.