Pay stubs za mshahara wa Rais

Pay stubs za mshahara wa Rais

UKAWA mbona mnakwenda na siasa za matukio? Sasa Rais akikuonyesha hiyo salary slip yake utafanya nini wakati mshahara na marupurupu yake yapo kisheria na katiba! Wapinzani mnashindwa kupeleka hoja binafsi Bungeni ili mpate TUME HURU YA UCHAGUZI badala yake mnaenda kushupalia vitu alivyoibua CAG! Ukifika wakati wa Uchaguzi ndiyo mnakumbuka eti tumeshindwa kwasababu hatuna Tume huru!
 
UKAWA mbona mnakwenda na siasa za matukio? Sasa Rais akikuonyesha hiyo salary slip yake utafanya nini wakati mshahara na marupurupu yake yapo kisheria na katiba! Wapinzani mnashindwa kupeleka hoja binafsi Bungeni ili mpate TUME HURU YA UCHAGUZI badala yake mnaenda kushupalia vitu alivyoibua CAG! Ukifika wakati wa Uchaguzi ndiyo mnakumbuka eti tumeshindwa kwasababu hatuna Tume huru!

Malipo ya viongozi wa umma yanahusiana nini na mambo ya UKAWA?
 
Nyani ngabu kumbuka hilo tukio lilitokea pale clouds tv ktk kipindi cha 360 siku ya tar.01/04/2016. Ukikumbuka siku hiyo tar.01April huwa na matukio gani hupati shida...!!
Haikuwa April fools naona umesahau mkuu
 
Magufuli ni mtu wa 'stunts'...

Mara kapiga simu kwenye TV..

mara apige simu tena ataleta pay slip

mara aende bank mwenyewe.....mradi kila siku ana 'new stunts'....

kila siku yupo kwenye headline...asipofukuza huyu kaibukia huku....
Yaani wewe una chuki sana na Magufuli,ila ndo RAIS WA TANZANIA,nothing you can do,kwani mtu akiwa Raisi ndo ubinadamu unamtoka ama?sasa akienda bank mwenyewe kuna tatizo?kwani anavunja sheria za nchi?kuna sheria inayomkataza Rais asipige simu kwenye vituo vya habari?
 
Ataweka tu,jamani kwani URAIS wake umefikia kikomo mpaka mnahofu kuwa hataweka salary slip yake?
 
Ataweka tu,jamani kwani URAIS wake umefikia kikomo mpaka mnahofu kuwa hataweka salary slip yake?

Iliripotiwa kuwa alisema atafanya hivyo atakaporudi Dar kutoka huko alikokuwa mapumzikoni.

Kwa vile kesharudi kitambo na bado hajaweka, wengine ndo tumekumbuka kuwa aliahidi mwenyewe atafanya hivyo.
 
Malipo ya viongozi wa umma yanahusiana nini na mambo ya UKAWA?
UKAWA ndiyo wanaopiga kelele. Umemsahau Mwenyekiti wenu wa BAWACHA, Mdee naye si ameliongelea hili wakati ameenda Lindi hivi karibuni? Waambie wabunge wenu wa UKAWA wakazanie katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi badala ya kuyarudia yale ambayo CAG amekwisha yagundua! ( Mimi siyo CCM wala UKAWA lakini ningependa agenda ya Tume huru iishe kwa upinzani kupeleka Mswada Bungeni. Serikali au CCM hawawezi kuupeleka mswada wa aina hiyo Bungeni)
 
Iliripotiwa kuwa alisema atafanya hivyo atakaporudi Dar kutoka huko alikokuwa mapumzikoni.

Kwa vile kesharudi kitambo na bado hajaweka, wengine ndo tumekumbuka kuwa aliahidi mwenyewe atafanya hivyo.
Sasa hivi muhimu kwenu ni nini? Salary slip ya Rais au Lugumi?
 
Hivi mshahara wa Rais unawasaidia nini?

Onesheni mfano kwa kuweka wazi pay slips zenu kama si muhali.



kwani yeye wale wanaolipwa 40 millions zinamsaidia nini? aoneshe na yeye salary slip yake ili tujue kweli kakomaa na wavuta pesa ndefu.
 
UKAWA ndiyo wanaopiga kelele. Umemsahau Mwenyekiti wenu wa BAWACHA, Mdee naye si ameliongelea hili wakati ameenda Lindi hivi karibuni? Waambie wabunge wenu wa UKAWA wakazanie katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi badala ya kuyarudia yale ambayo CAG amekwisha yagundua! ( Mimi siyo CCM wala UKAWA lakini ningependa agenda ya Tume huru iishe kwa upinzani kupeleka Mswada Bungeni. Serikali au CCM hawawezi kuupeleka mswada wa aina hiyo Bungeni)

Nimeanza kuhoji haya mambo miaka 9 iliyopita.

UKAWA ilikuwepo wakati huo?
 
Nam-dedicate Magufuli na track yaitwa Stunt 101 ya G Unit(USA baby),asikize mistar ya Young Back verse ya mwisho
 
Rais Magufuli, wakati akiwa mapumzikoni huko Chato, iliripotiwa akinukuliwa kuwa akirudi Dar atatoa pay stubs za mshahara wake ili Watanzania anaowatumikia waujue.

Mpaka kufikia sasa, licha ya yeye kurudi Dar kwa zaidi ya wiki mbili sasa (niko tayari kusahihishwa maana siikumbuki vizuri tarehe aliyorudi), sijasikia wala kuona popote pale ambapo hivyo vitu alivyoahidi kuvitoa, kuwa kavitoa.

Naona hata watu walio wengi washasahau tena maana suala lenyewe hata halijadiliwi tena. Ni kama vile lishasahaulika....limekuwa upepo uliokwishapita.

Mimi hili suala siwezi kulisahau na msimamo wangu bado uko palepale. Watanzania walipa kodi wana haki ya msingi kabisa ya kujua pesa zao zinatumikaje.

Kwenye matumizi ya pesa za walipa kodi uwazi ni jambo la lazima.

Nasubiri kuziona hizo pay stubs za mshahara wa rais na asiishie hapo tu. Atuambie malipo yake yote yanayogharamiwa na walipa kodi.

Naamini yeye akifanya hivyo basi hata viongozi wengine wa umma nao wataufuata mfano wake.
Hukushukuru na kurdhika aliposema mshahara wake uliouhitaji kuujua bali ulitaka na posho, baadaye utataka ujue anazitumiaje.
Hakuna haja ya kuendelea kuwajibu watu wenye akili ya kusukumwa. Kwanini maswali yamekuwa yakiongezeka kila anapotoa jibu ikiwa na maana muuliza maswali anasubiri aambiwe cha kuuliza.
 
Back
Top Bottom