BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,550
- 3,467
labda bado yupo chato, maana alisema akitoka chato baada ya likizo ataziweka hadharani!! any way in politcs kila mada ni endless........
Kama si muhimu na ni upuuzi kama unavyouita basi rais asingeona umuhimu wa kuacha mambo ya msingi kama yapo na kuaahidi suala la kipuuzi.Hakuna haja kwani itawasaidia kiasi gani kupunguza umasikini wa baadhi watanzania.
Hujaeleza iwapo ataonesha itasaidia kuongeza makusanyo ya kodi na yasiyo ya kodi?
Pia asitoe kwa sababu viumbe nyie si waungwana kwani hamkuamini alichokisema kiasi cha kutaka ataje posho huenda akitaja posho mtataka anavyozitumia.
Itoshe kujua alichokisema. Maana mtoa mada anafikiri Rais yupo ili akidhi matakwa yake. Hili si hitaji la taifa linalomnyima usingizi Rais na serikali yake. Unajua ukiwa na fikra za kufanya mambo makubwa halafu kuna mtu anatumia nguvu nyingi kukumbusha upuuzi usio na tija yoyote kwa wananchi. Badirikeni fikirieni vitu vya kuleta maendeleo.
Usimtukane Rais. Rais asingepoteza muda wake kuongelea upuuzi. Kwa hiyo unajua mambo gani ni ya muhimu na yapi ya kipuuzi kumzidi Rais? Unataka kusema Rais alitoa ahadi ya kipuuzi?Hakuna haja kwani itawasaidia kiasi gani kupunguza umasikini wa baadhi watanzania.
Hujaeleza iwapo ataonesha itasaidia kuongeza makusanyo ya kodi na yasiyo ya kodi?
Pia asitoe kwa sababu viumbe nyie si waungwana kwani hamkuamini alichokisema kiasi cha kutaka ataje posho huenda akitaja posho mtataka anavyozitumia.
Itoshe kujua alichokisema. Maana mtoa mada anafikiri Rais yupo ili akidhi matakwa yake. Hili si hitaji la taifa linalomnyima usingizi Rais na serikali yake. Unajua ukiwa na fikra za kufanya mambo makubwa halafu kuna mtu anatumia nguvu nyingi kukumbusha upuuzi usio na tija yoyote kwa wananchi. Badirikeni fikirieni vitu vya kuleta maendeleo.
Sasa kwa akili yako unafikiri kaahidi kufanya hilo tu. Kwa taarifa yako Rais kaahidi kufanya mambo mengi ya kukwamua hali za wananchi wake wapenda maendeleo.Usimtukane Rais. Rais asingepoteza muda wake kuongelea upuuzi. Kwa hiyo unajua mambo gani ni ya muhimu na yapi ya kipuuzi kumzidi Rais? Unataka kusema Rais alitoa ahadi ya kipuuzi?
Msiwe mnajibu tu kwa kujifurahisha. Zitumikieni akili zenu kuliko kutumikia ushabiki. Transparency katika uongozi ni muhimu sana ndiyo maana matataifa yaliyostarabika mishahara na malipo yao yote huwekwa wazi.
Kwa watu wenye akili walipaswa kujua muktadha wa taarifa ile kutoka ilikuwa ni kujibu baadhi ya wanasiasa na baadhi ya vyombo vya habari vilivyofanya ilo swala ni muhimu kwa nchi. Baada ya majibu yale watu waliridhika. Swala la kuonesha slip aslary ilikuwa ni ziada kama kungekuwa hakuna wa kuridhika. Sasa waliohitaji wameridhika wewe kidampa ndio umeshupaa kama unaugonjwa wa akili maana hizi si dalili njema kwako kwani watu wazima wakijadili jambo likipata jawabu huisha na kuendelea na mengine.Kama si muhimu na ni upuuzi kama unavyouita basi rais asingeona umuhimu wa kuacha mambo ya msingi kama yapo na kuaahidi suala la kipuuzi.
Kama halina tija kwa nini aliahidi sasa?
Kuwakosha nyie watani zake manake hamuishi figisu figisu, mkionyeshwa sijui mtalizika au mtataka na vingine.
Tujikumbushe kidogo hapa.............Mh rais wetu akiwa mapumzikoni kwao Chato alipiga simu kituo kimoja cha Tv na kutaja kile alichosema analipwa kama mshahara wake kwa mwezi. Na kwa kutaka kutuaminisha zaidi akasema akirudi Dar ataweka salary slip zake hadharani.
Tunajua rais wetu yuko busy sana kutumbua watumishi na kuisimamia serikali yake. Basi tutumie uzi huu kumkumbusha kwamba kwa sababu taarifa ya mshahara wake iliwatisha wengi na wapo ambao hawakuamini, tumuombe kwa heshima kubwa atoe salary slip hizo hadharani kama alivyohaidi.
Alipotoa ahadi hiyo nilimuuliza kigogo mmoja serikalini kwamba anadhani bwana mkubwa atatekeleza ahadi yake? Jibu lake lilinifanya nihisi kuna kitu hakiendi vizuri serikalini. Alisema watanzania hamchoki single za DIAMOND!
Haya maana kwasababu hata kama akiweka hadharani Salary Slip haiwezi kuua mjadala.Wabongo tayari wana Figures zao vichwani.Hivyo Ikiwa tofauti hakuna atakaekubaliana nayo.Kutaka kujua matumizi ya kodi si jambo lisilo na maana.
Haya maana kwasababu hata kama akiweka hadharani Salary Slip haiwezi kuua mjadala.Wabongo tayari wana Figures zao vichwani.Hivyo Ikiwa tofauti hakuna atakaekubaliana nayo.
Anyway mtusaidie kupaza sauti ili yafuatayo yafanwe kwanza maana ndio yanatafuna MNO KODI kuliko hata Mshahara wa Rais.
MISAMAHA YA KODI.
RUZUKU KWA VYAMA VYA SIASA.
MISHAHARA YA VIONGOZI WA VYA SIASA KUTOKATWA KODI
MISHAHARA NA POSHO ZA VIONGOZI WASTAAFU
POSHO ZA WABUNGE(SITTING ALLOWANCE).
Giving a try to talking to a Choleric person.Black Outside but White Inside.Uwazi katika matumizi ya pesa za walipa kodi ni jambo la maana sana.
Kama jambo jepesi namna hiyo huwezi kuuona umuhimu wake basi, kaa na ujinga wako.
Hakuna utawala bora na maendeleo ya kweli pasipo na uwazi.
C&PB. Choleric- Kundi hili linaundwa na binadamu wenye sifa zinazokinzana na kundi la Melancolin. Wana uelewa mdogo katika kila jambo na wengi hukatisha masomo yao kutokana kuwa na vichwa vizito. Ni wakali, wakatili na wana wivu kwa mafanikio ya watu wengine.
Aliyehaidi alijua lina tija wewe unapingana naye kama nani!? Yeye Si ndio RAIS bwana!?Hilo lina tija gani kwa taifa badala kuendeleza mapambano na mafisadi!