Bado sinasahau hili....hizo pay stubs ziko wapi?
hahahaha! watu wasiojulikana walimkataza
Bado sinasahau hili....hizo pay stubs ziko wapi?
Utasubiri kama ambavyo hadi leo wakristo wote duniani tunaamini Yesu Kristo atakuja kutuokoa zambi zetu. Endelea kusubiriNasubiri kuziona hizo pay stubs za mshahara wa rais na asiishie hapo tu. Atuambie malipo yake yote yanayogharamiwa na walipa kodi
We shall see....
I believe he does have some surrogates in here who can relay it to him that folks haven't forgotten about it.
Bado sijasahau hili....hizo pay stubs ziko wapi?
Ubaya ni kwamba hakuna sheria inayolazimisha hayo malipo ya viongozi yawekwe wazi...inawezekana ni WAPAMBE ndiyo walimjibia wakitegemea with time suala hili litapotea.
..bahati mbaya wapo ving'ang'anizi wenye kumbukumbu nzuri kama wewe.
Tatizo lenu ninyi mnadhani yeyote anayekosoa chadema atakuwa ni ccm na kinyume chake!wewe hueleweki, ni kama kinyonga
Ubaya ni kwamba hakuna sheria inayolazimisha hayo malipo ya viongozi yawekwe wazi.
Sijui kwa nini tu bunge na wabunge wake hawalitilii maanani hili suala kwa sababu ni suala la uwazi kuhusu matumizi ya pesa za walipa kodi.
..inaweza kuleta chuki baina yao na wananchi.
..waTz wengi wanachukia watu wenye kipato kikubwa.
Tumefundishwa vibaya kweli watz, yaani walio wengi hawaamini katika mafanikio yaliyo halali... hii hupelekea watz wengi kumuona kila mwenye mafanikio/ pesa kama mwizi. Material poverty has never been virtue. Kuwa masikini sana huleta manung'uniko muda wote!
..nadhani hata yeye ana mtizamo huo ulioueleza hapo juu, ingawa yeye binafsi siyo maskini.
..nadhani hata yeye ana mtizamo huo ulioueleza hapo juu, ingawa yeye binafsi siyo maskini.
we unazitaka za nini? zitakusaidia nini? Pambana na hali yakoBado sijasahau hili....hizo pay stubs ziko wapi?
Nawe pambana na yako...achana na mimi.we unazitaka za nini? zitakusaidia nini? Pambana na hali yako
sasa wewe nikupeleke wapi boya weweNawe pambana na yako...achana na mimi.
Bado unajipendekeza? Achana na mimi wewe.sasa wewe nikupeleke wapi boya wewe
Nachojua anavuta ya mtangulizi wake Milioni mianne.Nyani Ngabu
Rais hawezi toa hiyo paycheck stub,aliongea vile kisiasa tu sababu anajua akitoa watz waone anayo vuta kwa mwezi kama net pay hata waliokuwa wanamuita socialist watamgeuka!
Huyu anapata zaidi ya 30M tena halipi kodi wala hanunui chochote kile toka chakula,vocha hadi umeme LKN yy anafikiria kupunguza marupurupu ya wasomi wake
..inawezekana ni WAPAMBE ndiyo walimjibia wakitegemea with time suala hili litapotea.
Imagine tulivyosahau makinikia na Issue ya Bashite.
..bahati mbaya wapo ving'ang'anizi wenye kumbukumbu nzuri kama wewe.
Hay, Jana Rais kadai mshahara wake ni million 9 tu!!Rais Magufuli, wakati akiwa mapumzikoni huko Chato, iliripotiwa akinukuliwa kuwa akirudi Dar atatoa pay stubs za mshahara wake ili Watanzania anaowatumikia waujue.
Mpaka kufikia sasa, licha ya yeye kurudi Dar kwa zaidi ya wiki mbili sasa (niko tayari kusahihishwa maana siikumbuki vizuri tarehe aliyorudi), sijasikia wala kuona popote pale ambapo hivyo vitu alivyoahidi kuvitoa, kuwa kavitoa.
Naona hata watu walio wengi washasahau tena maana suala lenyewe hata halijadiliwi tena. Ni kama vile lishasahaulika....limekuwa upepo uliokwishapita.
Mimi hili suala siwezi kulisahau na msimamo wangu bado uko palepale. Watanzania walipa kodi wana haki ya msingi kabisa ya kujua pesa zao zinatumikaje.
Kwenye matumizi ya pesa za walipa kodi uwazi ni jambo la lazima.
Nasubiri kuziona hizo pay stubs za mshahara wa rais na asiishie hapo tu. Atuambie malipo yake yote yanayogharamiwa na walipa kodi.
Naamini yeye akifanya hivyo basi hata viongozi wengine wa umma nao wataufuata mfano wake.
Mbinafsi,alafu utasikia mpenzi wa Mungu.Nyani Ngabu
Rais hawezi toa hiyo paycheck stub,aliongea vile kisiasa tu sababu anajua akitoa watz waone anayo vuta kwa mwezi kama net pay hata waliokuwa wanamuita socialist watamgeuka!
Huyu anapata zaidi ya 30M tena halipi kodi wala hanunui chochote kile toka chakula,vocha hadi umeme LKN yy anafikiria kupunguza marupurupu ya wasomi wake