Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
Yani huyo jamaa aliyesafiri naye alishindwa hata kumfotoa kiwizi wizi...
 
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
.....
.....hahahaha hatareee
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam mchapa kazi

Mchapa kazi na mbunifu.

Anayethubutu na asiyeogopa MTU kwa jina wala wadhifa wake

Mtetezi wa kizazi kinachopotea kwa madawa ya kulevya

Mbunifu wa ajira kwa vijana

Shujaa asiye tetereka

Mkuu wa Mkoa mwenye anayetaka mabadiliko

Mkuu wa Mkoa aliyetukanwa sana

Mkuu wa Mkoa asiyekataa tamaa

Mkuu wa mkoa atakayepiga vita mpaka mwisho madawa ya kulevya

Mkuu wa mkoa aliyetajwa sana kuliko wote toka Uhuru.

Mkuu wa mkoa wa kwanza kijana Dar

Mkuu wa mkoa asiyeangalia wala kujali unatoka chama gani anachotaka ni uwajibikaji tu.

Mkuu wa mkoa anayeaminika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkuu wa mkoa anayeandamwa hata na wabunge vita ya Madawa ya kulevya ktk mkoa wake

Mkuu wa Mkoa aliyeanzisha vita ya madawa ya kulevya Dar es salaam na sasa imeenea nchi mzima.

Mkuu wa mkoa aliyetoka familia masikini kabisa baba hajasoma kabisa na mama ni darasa la saba lakini amepata shahada moja na kuwatumikia wanainchi vile inavyopaswa.

Mkuu wa mkoa ambaye amesababisha baadhi ya watanzania kushikiwa akili na baadhi ya watu na hatimaye kuwafuata kila wasemalo na kuliamini.
Wewe wacha ngonjera Weka Vyeti...
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Wakuu habari za weekend nimepenyezewa habari kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye kwa sasa anatuhumiwa kughushi vyeti amerejea jioni ya leo akitokea Afrika ya Kusini.

Habari hizi zimethibitishwa na mpenyezaji kwani walikuwa wamepanda ndege moja kutokea huko kwa Madiba.

Dokezo zaidi linaonyesha Makonda atakuwa kwenye uzinduzi wa shughuli flani maeneo ya Kurasini!
njie mumchukiao makonda na yule mchungaji wenu feki subirini kufedheheka zaidi. mak anawapiga za usoni mupya. kaeni mkao wa kilio.
 
[emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji3]
Yanga na mtibwa jana wametoka bashite bashite uko morogoro
Kaka msamehe mtu wa watu make uko unapokwenda hata kitandani utasema nimelalia bashite nakujifunika Daudi
Washamba washamba tu so walijua akiondoka then walianzishe Dom tutasahau hapa issue ya sophia sijui madabida tumefunga wimbo unarudia korasi Bashite lete vyeti
 
kaonekana kurasini leo jioni majira ya saa 2:30 usiku, akiwa mpole kama kondoo
 
Vyeti hatakiwi kuonyesha yeye ,nectar wanatakiwa kumaliza utata huu Mapena tu, kwa kuonyesha wao vyeti vya watuhumiwa wore wawili makonda na bashite.
Haituhusu hiyo atafutwe aliyeanzisha hiyo mada ya vyeti ndiyo afafanue anachotaka kufahamu ili afahamishwe na mamlaka husika.

Maana watanzania kibao wamelishwa issue ya vyeti na watu wawili basi kila kona habari ni vyeti tu utafikiri ndiyo salamu kwa sasa.
 
Wewe wacha ngonjera Weka Vyeti...
Anayetaka vyeti akavifuate Ikulu maana ndiyo mwajiri wake na walipoomba vyeti aliwapa na kuridhika navyo na hatimaye kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya na sasa Mkuu wa Mkoa

Sasa wewe unataka vyeti upeleke wapi?
 
Back
Top Bottom