mndorwe
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 2,472
- 1,027
ameamua kupima ubavu na lowasa kwa style hii
![]()
Huyu jamaaa ,kweli ni kibaraka kama Lyatongaaa
ameamua kupima ubavu na lowasa kwa style hii
![]()
Molemo,
Huyu bwana Tunamjua nje ndani,,,na yeye anatufahamu vizuri....nadhani atakumbuka lile sekeseke alipo pewa uwaziri mkuu na kada mwenzie pale MUCCOBs Bunge likamkataa kwa sababu ya Kupostpond mwaka kila Muda wa mtihani ukikaribia....Haaminiki Huyu kiazi.
Nauliza! hapa ni Chumbani au Ofisini?, kama sasa vinavaliwa inamaana vilivuliwa.
Baada ya kuona picha hii nachukia kuwa mtanzania. Hii ni nchi ya aibu Sana, its more than nepotism...
Mkuu MK254 naweza kupata uraia wenu bila kuoa binti toka Nyeri?
..duh...ona sasa TZ inavyofanywa himaya ya kifalme...kwamba anae kiss arse ndie anaepewa ulaji.....pathetic....Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..
![]()
Hata hivyo nguvu ya Lowasa upepo ukipita mkali sana unaweza kwenda naye hana nguvu yoyote labda hiyo ya kugawa pesa lakini kiafya ni ziro kabisa
kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
Audio gazetini? acha kudhalilisha hilo jinaTanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
watoto wa Lowasa mwaka huu mnakazi kumpigania mzee wenu poleni sana tena anaumwa kweli mtafutieni miti shamba pengine atapona.
Nadhani huyu kijana ana shida. Hivi kweli kabisa ndani ya CCM ni yeye mwenye nguvu ya kupambana na Lowasa? Anadhani kuwatukana akina mzee Msindai na shutuma kwamba alimkunja Mzee Waryoba zitamuacha huruMakonda Hamuwezi Lowasa, Akakakojoe Akalale
Sitaki kuamini anayemfunga kamba Riz1 ni Makonda.
Mzee Mwanakijiji hukuyafanya haya yote na ndo maana umekosa u DC
Sasa kwani umeambiwa wanataka kupigana makonde au?
Kama ndo kazi ya makonda angekataa?Kwenye hiyo picha miye tatizo langu ni Ridhiwan vipi anakubali kufungwa kamba viatu na mwanamme mwenzie?
Lol., hii nayo kali........WAWEKE VIDEO AU AUDIO KWENYE GAZETI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
Lol., hii nayo kali........WAWEKE VIDEO AU AUDIO KWENYE GAZETI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!