Paul Makonda afunguka

Paul Makonda afunguka

kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.

Wataje, unaogopa nini mtu mwenyewe huna impact yoyote na zaidi umejificha kwenye ID fake.
 
Maskini Mzee lowasa katukanwa sana na huyu kijana na bado anaebdelea kukejeliwa lakini chama kimekaa kimya kama hakijui vile,

Poleni sana wazee wetu Lowasa, Warioba ndiyo Rais wenu huyo anayefurahia utovu wa nidhamu kutoka kwa vijana watoto wenu na kuwapa vyeo kabisa.

Hakuna chama hapo; kilichobaki ni CLUB YA FAMILIA NA MARAFIKI inayoendeshwa kwa jina la CCM
 
Kuwa vuvuzela kuna lipa sana, si unaona kijana makonda kajipatua udc, ukijifanya unajua kujenga hoja makini ccm hupati cheo
 
Hakuna chama hapo; kilichobaki ni CLUB YA FAMILIA NA MARAFIKI inayoendeshwa kwa jina la CCM
Sisi watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana na wapuuzi na sijui ni wangapi wanalijua hili!!

 
Haaaaahahahaa...kumbe ni mfunga viatu vya ridhiwani?
 
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.

Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.

""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema

Source : Tanzania daima.

Asante mkuu kwa taarifa. ccm wanaendelea kucheza filamu za kudanganya Watz. Tutaona mengi na kusikia mengi hadi Oct.2015.
 
Kwa fununu nilizozipata amepelekwa kwenye u-DC ili kumtoa kwenye kamati kuu maana kule ndo engeweza ku influence wengine na maamuzi ya kumuathiri Lowassa.

Mwakalebela amepewa u-DC ili kuhakikisha hagombei tena ubunge Iringa ili chance hiyo irudi kwa mama fulani (nimemsahau jina)
 
Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..
attachment.php

Sitaki kuamini anayemfunga kamba Riz1 ni Makonda.
 
kumbe huyui kijana anatisha eeh?,maana bawacha yote imetaharuki vibaya
 
Lakini jaamani tuachane na hili suala la Dogo Makonda
Mimi kuna huyu Dada Mboni Mhita, yaani mimi dah! kama inawezekana nipate nafasi tu ya kuonana naye niseme naye kidogo
yaani dah! kwa kweli kama ananisikia basi anaweza nicheki kwa hewa.
kwa kweli huyu dada anaweza nifanya niwe kada mwaminifu wa ccm. acha tu niishie hapa ila ananikosha sana.
 
Makondaaaaa safi sana! Siyo bure kutakuwa na nguvu tu inakusukuma kwa nyuma.
 
Mzee Mwanakijiji hukuyafanya haya yote na ndo maana umekosa u DC

Makonda hajui alifanyalo na ccm wanamuona kuwa ni lulu,lakini taasisi yoyote ina sheria na taratibu za kinidhamu huwezi kumshambulia kiongozi wako wa juu,mwanachama wako aliyewahi kuongoza wizara mbalimbali usitegemee mgawanyiko.
Makonda ajue ikiwa Nape,Kinana,Na Mangula ni lulu kwake,ajue wapo wanaccm walioko nyuma ya pazia tena wengi kuliko cc ya ccm na polisi yao.

Makonda mwisho wako kisiasa uko mlango,viatu ulivyopewa tutaanza na wewe kinondoni,poor Makonda unayevamia siasa bila diplomasia ya utawala na uongozi kutobobea
 
Last edited by a moderator:
Makonda hajui alifanyalo na ccm wanamuona kuwa ni lulu,lakini taasisi yoyote ina sheria na taratibu za kinidhamu huwezi kumshambulia kiongozi wako wa juu,mwanachama wako aliyewahi kuongoza wizara mbalimbali usitegemee mgawanyiko.
Makonda ajue ikiwa Nape,Kinana,Na Mangula ni lulu kwake,ajue wapo wanaccm walioko nyuma ya pazia tena wengi kuliko cc ya ccm na polisi yao.

Makonda mwisho wako kisiasa uko mlango,viatu ulivyopewa tutaanza na wewe kinondoni,poor Makonda unayevamia siasa bila diplomasia ya utawala na uongozi kutobobea

Acha kutisha watu wewe mtu usiyejitambua kawatishe wahuni wenzako ambao hawajitambui kama wewe,
 
Da watu wanajua kuchimba ha ha ha hah ha ha ha ha yani hii picha imenikumbusha yule jamaa wa HUTAKI UNAACHA anajua kila kitu cha ndani ikulu du hii picha sijui ilipigwaje kwi kwi kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom