Ninachokiona ni kifo cha CCM, na si vinginevyo.
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
kweli, chama unakilinda - safi sana!! huu ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengine ndani ya CCM.....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""".
Tanzania ya leo inataka watu kama akina MAKONDA, MWIGULLU na MUHONGO. haogopwi mtu na pesa zake anaogopwa Mungu tu, safi sana Makonda
kama wewe ni mwana ccm na hukupata cheo kwenye uongozi wa JK basi inabidi ujiulize mara mbili.
Unataka audio na video gazetini.?
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
mbona una hasira mkuu, hujakumbukwa nni kwenye u DC, Mana unajitahidi kweli kupiga kelele humu kwa kutetea chamaAcha kutisha watu wewe mtu usiyejitambua kawatishe wahuni wenzako ambao hawajitambui kama wewe,
napata shida sana na IQ yako, kwani uhuru na mzalendo huwa wakiuza gazeti wanauza na audio au video version???Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
Shikamoo Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Wilaya ya KINONDONI.
Eti mwenyekiti kwanini unatumika?
Du!Hii picha ni kweli ama imetengenezwa?
Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..
![]()
Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..
![]()
ameamua kupima ubavu na lowasa kwa style hii
![]()