Paul Makonda afunguka

Paul Makonda afunguka

Makonda huyu ni chizi kabisa

Makonda akili ndogo sana. huwezi kuwa na busara umpoge mzee Warioba na kuongea upuuzi kwenye vyombo vya habari akituhumu Lowasa na wana ccm wenzake.

mimi namwona hafai hata kuongoza darasa. anafaa kuuza pombe vilabuni tu.
 
jamaa ana ulimi mzito kama kameza chura vile,huo ujasiri wa kuongea mbovu kwa lowassa sijui ana utoa wapi?

Kwani lowasa nani mpaka asikosolewe kwenye hii dunia wakati anafanya ufisadi na kuvuruga chama.
 
Ni kama mtu angetumwa na Francis Cheka kwenda kumchokoza Mike Tyson akidhani kwamba hana nguvu tena za kurusha makonde !!!
Kama DAUDI na GOLIATI, lazima LOWASSA atakaa tu kwa dogo, ufisadi wake utamtokea puani.
 
Maskini Mzee lowasa katukanwa sana na huyu kijana na bado anaebdelea kukejeliwa lakini chama kimekaa kimya kama hakijui vile,

Poleni sana wazee wetu Lowasa, Warioba ndiyo Rais wenu huyo anayefurahia utovu wa nidhamu kutoka kwa vijana watoto wenu na kuwapa vyeo kabisa.
 
Makonda akili ndogo sana. huwezi kuwa na busara umpoge mzee Warioba na kuongea upuuzi kwenye vyombo vya habari akituhumu Lowasa na wana ccm wenzake.

mimi namwona hafai hata kuongoza darasa. anafaa kuuza pombe vilabuni tu.

watoto wa Lowasa mwaka huu mnakazi kumpigania mzee wenu poleni sana tena anaumwa kweli mtafutieni miti shamba pengine atapona.
 
Shikamoo Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Wilaya ya KINONDONI.
Eti mwenyekiti kwanini unatumika?

Atakujibu kuwa "Natumika kwa vile mimi pia ni mfunga kamba za viatu za mwana mfalme. Na sijisikii vibaya kwa kazi hiyo"
ImageUploadedByJamiiForums1424412122.012910.jpg
 
Tanzania ya leo inataka watu kama akina MAKONDA, MWIGULLU na MUHONGO. haogopwi mtu na pesa zake anaogopwa Mungu tu, safi sana Makonda
Here we go....
 

Attachments

  • 1424412178166.jpg
    1424412178166.jpg
    53.7 KB · Views: 80
kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.
Acha watajirike , ni kipindi cha mavuno lakini kwani lazima iwe kwa kuwachafua wengine?
 
Nikiangalia hiyo picha ya Mkuu wa wilaya ya Kinondoni na kuwapima watu wa Kinondoni walivyo nashindwa kupata jibu. Labda niseme tuu kuwa Wananchi wa Kinondoni mmetukanwa kwa kupewa mkuu wenu mwenye tabia kama hizo.
 
Makonda akili ndogo sana. huwezi kuwa na busara umpoge mzee Warioba na kuongea upuuzi kwenye vyombo vya habari akituhumu Lowasa na wana ccm wenzake.

mimi namwona hafai hata kuongoza darasa. anafaa kuuza pombe vilabuni tu.

Acha wivu mtoto wa kiume ivi mbona ampendi maendeleo ya watu. Vijana wadogo lakini wachawi balaaa.
 
Big up Makonda Lowasa nani kwan siku zote ukweli humuweka mtu sehemu huru, na Watz hatutaki kuusikia ukweli
 
Mwanaume kukiri "kutumika" ni kama kudeclare kuwa ni shoga! Ni aibu na fedheha! Inaonesha hana akili. Ni kama roboti! Hovyo kabisa!
 
Makonda hamuwezi lowassa hata kwa 10% hanapoteza muda tu mchumia tumbo huyu
 
Makonda kweli wewe ni kilaza lazima ufunge viatu ndo upewe mkuu wa wilaya mbona umetuletea aibu sisi vijana.
 
Back
Top Bottom