Solomon Kambarangwe
Member
- Feb 7, 2015
- 85
- 38
Makonda huyu ni chizi kabisa
Makonda akili ndogo sana. huwezi kuwa na busara umpoge mzee Warioba na kuongea upuuzi kwenye vyombo vya habari akituhumu Lowasa na wana ccm wenzake.
mimi namwona hafai hata kuongoza darasa. anafaa kuuza pombe vilabuni tu.