Hata hivyo nguvu ya Lowasa upepo ukipita mkali sana unaweza kwenda naye hana nguvu yoyote labda hiyo ya kugawa pesa lakini kiafya ni ziro kabisa
But kumkosea adabu mzee warioba!mmmhnn!kwanza akumbuke huyu alikuwa makamu wa Raisi na waziri mkuu!kama aliweza hili na bado akapewa u DC? Kwani siku hizi hamna VERTING?nauliza tu!na hayo ni mawazo yangu tu...Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.
Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.
""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema
Source : Tanzania daima.
hujui ulisemalo na hujafa hujaumbika kumbuka inawezekana wewe ndio mgonjwa zaidi ya lowasa
Chini ya utawala wa CCM, kila mtu, hata zezeta wa kiwango chochote anaweza kupewa cheo cha DC au RC. Haishangazi. Kwani wana kazi gani hasa?
Hii ndiyo principle ya sandakarawe. Kwa wale wanaokumbuka michezo ya utotoni.
Hii inaweza kuwa dalili ya uchoko...
Ni kama bi mkubwa afunga gidamu za viatu vya mumewe kabla ya kwenda kibaruani...
hilo ndilo BWABWA lake.
Kwa sababu mimi jasiri, siogopi pesa ya mtu, namuogopa Mungu.
lakini unaamini anae fungwa kamba ni Riz 1 ila mfungaji ndio hutaki kuamini kuwa ni makonda?
Riz1 sura yake inaonekana vizuri ila huyo mwingine haionekani vizuri,nani aliyemtambua kwamba huyo ni makonda? kwanini isiwe mpambe wa riz1?
Naoana wanafanana na MKULU au ni DAMU ile ile................hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa