Tatizo hapa ni ukweli wa picha,suala la sura halina tatizo maana umbo na vitu vingine ninashabihiana kabisa na mkuu wa wilaya mpya wa Kindondoni.Kama kweli picha hii ni ya ukweli huu ni uhuni.hiyo mbona kama ofc ya sheria ngowi,na hata sura haijaonekana hapo
Eti ndie Mkuu Wa wilaya anayefunga mtoto wa mfalme kamba za viatu..
![]()
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
Tanzania Daima taaluma ya uandishi ni zero kabis. Mngetuwekea audio au video kuhalalisha huu upuuzi wenu basi.
kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.
kunamwandishi mmoja wa gazeti la tanzania daima pamoja na mhariri wake wote wanatumika na Lowasa wengine wapo gazeti la nipashe na mwanachi jamaa wanalipwa kwa kumpigia debe Lowasa.