Mnaweza shangaa jina la Bashite ndio linarudi na Ndungulile anafyekelewa mbali na vikao vya juu. Mambo haya yashatokea sana kitambo🙂
Magu akishinda uchaguzi pia anaweza kumpa nafasi ya ubunge viti maalumu au hata ukuu wa mkoa tena ili kuwakomoa watesi wake. Never trust Magu. Afterall CCM "mavyeo ni mengi" na ni kawaida yao kupiga u-turns