Hivi Makonda anaweza kuwa na vision ya maisha?Katika hili simlaumu Makonda, kama kijana alijiona ana nafasi ya kuangalia fursa upande wa pili. Maisha bila mabadiliko yana chosha hasa kwa watu wenye vision kubwa.
Hivi Makonda anaweza kuwa na vision ya maisha?Katika hili simlaumu Makonda, kama kijana alijiona ana nafasi ya kuangalia fursa upande wa pili. Maisha bila mabadiliko yana chosha hasa kwa watu wenye vision kubwa.
Huyu alivyoitwa kwenye kamati ya bunge alisema wabunge ni nini tena? Sasa alikuwa anafuata nini huko?Katika hili simlaumu Makonda, kama kijana alijiona ana nafasi ya kuangalia fursa upande wa pili. Maisha bila mabadiliko yana chosha hasa kwa watu wenye vision kubwa.
Mkuu wa mkoa Dar ana fulsa nyingi sana kuliko kuwa mbunge wa Jimbo je ni kwa nini mkuu wa mkoa aliyepita alichukua maamuzi haya magumu.
Katika hili simlaumu Makonda, kama kijana alijiona ana nafasi ya kuangalia fursa upande wa pili. Maisha bila mabadiliko yana chosha hasa kwa watu wenye vision kubwa.
Nimesema kwa watu wenye vision kubwa sijasema Makonda ana vision.Ana vission gani huyo mwizi wa vyeti vya watu, nadhan kamuombe iyo vission labda itakusogeza kimaisha
Kama ana vision na tumuone akijiajiri mwenyewe sasa au afungue kiwanda aajiri vijana wengi.Katika hili simlaumu Makonda, kama kijana alijiona ana nafasi ya kuangalia fursa upande wa pili. Maisha bila mabadiliko yana chosha hasa kwa watu wenye vision kubwa.
Mene mene tekelHivi makonda anaweza kuwa na vision ya maisha?
Why me?mgomvi sana wewe