Nimefuatilia kwa karibu mitizamo kinzani ya wadau wa elimu na wanaharakati mbalimbali baada ya Baraza la mitihani Tanzania kutangaza matokeo kidato cha nne 2022, na hoja kubwa iliyoleta mjadala mtandaoni ni ile ya Baraza la mitihani Tanzania kuondoa utaratibu wa kutangaza shule kumi bora...
Sisi wahenga tukiliangalia tukio la wabunge wa viti maalumu wa Chadema akina Halima Mdee tunaweza kulifananisha na lile la mbunge wa Temeke 1995 mh Kihiyo.
Kihiyo siyo kwamba hakusoma shule, No alisoma isipokuwa alicheza na makaratasi ili aonekane almaarufu wakati sifa ya mbunge ni kujua...
RC MAKONDA ACHUKUWA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 15 amechukuwa Fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM.
Jimbo hilo lilikuwa chini ya aliyekuwa Naibu Waziri...
Na Thadei Ole Mushi.
Nimekuwa nikifuatilia michango ya wabunge wetu bungeni naona tuna tatizo kubwa mahali. Mbunge anapewa dakika kumi kuchangia mfano wizara ya viwanda na Biashara.
Dakika tano anatumia kuwashambulia Chadema. Dakika tatu anasifia Serikali ya awamu ya tano, dakika Moja anasema...
Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...
Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
Ramadhan Ali Kihiyo alikuwa mbunge wa Temeke alishinda uchaguzi wa Temeke....
baadae NCCR Mageuzi ilienda Mahakamani kupinga kwa kua Mtuhumiwa alitumia vyeti visivyo vyake.
Yafuatayo ni Mahojiano Ya Dr. Lamwai na Mtuhumiwa Kihiyo.
Lamwai: You say you graduated from the Dar es Salaam...
Alikuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM. Alipata kashfa ya kufoji vyeti vya taaluma na hatimae kuvuliwa ubunge.
Kesi yake iliibua msemo maarufu wa "KIHIYO" kumaanisha mtu yeyote ambaye hakusoma au alisoma kwa kudesa desa.
Tangu mwaka 1996 hadi sasa, hajasikika kabisa. YUPO WAPI?
Soma pia Jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.