Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
- Thread starter
- #121
Samahani kwa ukimya wakuu. Mambo muhimu:
1) Rwanda haitaendeshwa na mnafiki
2) Tunajiamini kupita maelezo
3) Tuna uwezo wa kushawishi jumuia ya kimataifa
4) Tunaweka vikosi vyetu tayari kwa lolote
5) Hatutasubiri kuanzishiwa. Tutalianzisha
1) Rwanda haitaendeshwa na mnafiki
2) Tunajiamini kupita maelezo
3) Tuna uwezo wa kushawishi jumuia ya kimataifa
4) Tunaweka vikosi vyetu tayari kwa lolote
5) Hatutasubiri kuanzishiwa. Tutalianzisha