Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

PK alitoa kauli ambayo ukiitizama kwa undani nadhani kuna zaidi ya ushauri alopewa siku ile.
may be amekuwa akimvumilia jk for so long!

cc safari ni safari

hamna jipya nyuma ya hasira za dikteta kagame zaidi ya chuki za kikabila, majivuno, tamaa ya madaraka na kujilimbikizia mali isivyohalali kwa kutoa roho za wengine!
 
vipi mleta mada, dikteta kagame hajaanza kuropoka kama kawaida yake? tafadhali tujuze.
 
Watu waliofirisika kiakili utawajua kwa kukimbilia ukabila!!
JK Hatumsemi kwa ukwere wake....ndio taabu yenu CCM MMEFILISIKA KIAKILI!


Katika makabila 126 ya Tanzania hakuna kabila linaloitwa TUTSI sasa wewe hapo ukabila unatokea wapi? Yaani tokea ulipokuja kama mkimbizi ndiyo ukajisahau kabisa mpaka umeanza kuota mapembe?? Hebu kwendeni kwenu huko cocroaches nyie.Kwenye hili watanzania tupo pamoja hakuna cha CCM,CDM,CUF wala nini tutahakikisha nyie watutsi wababaishaji mnarudi kwenu nyote.
 
Juzi hapa Kigame cha Kagame, kilitembelewa na manabii ikulu wakimonya kuwa wewe Kigame "... tunaona ndani ya maono yetu kuwa Rwanda iko karibuni kuteketea ...."

Kigame kikalete ubishi ...sasaaah subiri cha moto ..!!
 
Paul Kagame is a man of Afrika hakunaga mwingine kama Paul Kagame.the Best President ever
 
Cjui nani mchokoz ila nahis tz ndio wachokoz na kama ndivyo tukipigana watatupiga mana MUNGU ATAKUWA UPANDE WAo.
Wewe ndio huna akili kama kagame. Kushauriwa tu ndio kutukana badala ya kusema tu hutaki ushauri!
 
Back
Top Bottom