Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Kagame ni miöngo mwa marais wachache wapuuzi waliobaki Afrika ya leo. Siku zote mpuuzi hata mawazo, vitendo na kauli zake ni upuuzi usiozaa tija katika fikra za kiungwana. Sioni kama kuna sababu za kufuatilia nini ataöngea mpuuzi huyu kiasi cha kuacha majukumu yetu ya kujenga nchi. Ukimuiga chizi nawe wachizika. Kagame ana frustration zinazo mpelekea hasira baada ya kukosa aiba ya kimataifa kama maraisi wenzake wa Afrika. Ni dhahiri siku za udikteta wake ni hesabu za vidole.
 
Mapambano ya kivita simjui mshindi,ila ya kimafanikio kwa "kuitoa nchi chini kwenda juu", Paul Kagame mshindi.
 
Kosa langu liko wapi sasa hapo? Yaani kutokupatikana kwa redio kwenye Internet ndiyo unitukane mkuu?
Pole mwaya ila sikukusudia kukutukana wewe najua unafanya kazi tu kwa ajili ya wana JF nilikusudia kuilenga nchi yenyewe Rwanda kuwa hata INTERNET shida.
 
Mkuu inawezekana unajua mengi, seems like uko kwenye system. tunashukuru kwa kutujuza na kututoa hofu.:yo:
Kumbuka na elewa ya kwamba Rwanda hupitishia silaha zake kupitia bandari yetu ya Dar, na husafirishwa kupitia barabara zetu. Tena hupewa eskoti kusafirisha kupitia jeshi letu ambalo ni JWTZ (TPDF).
Kwa mantiki hiyo basi, vyombo vyetu vyote vya dola vinatambua silaha alizonazo jirani yetu Rwanda, na wanajua ni jinsi gani wanavyoweza kuwadhibiti.
Hii ni sawa na Malawi, nguvu zao kijeshi zote zajulikana hapa Tanzania.

Sidhani kama Kagame anavifaa vya missile vyenye uwezo wa kuipiga Dar kwa umbali wa kutokea Kigali ambayo ni zaidi ya kilometa 1,400.

Sema, wanachoweza kufanya ni kuelekeza nguvu katika kuiharibu zaidi Mwanza kama ilivyokuwa target ya Idd Amin kuivuruga na kuikatia mawasiliano Mwanza.

Kwa kuliona hilo basi juu ya Mwanza, serikali ya Tanzania tayari toka mwaka jana imeshaweka kikosi cha anga Mwanza (kikosi cha anga kilichopo airport pembezoni mwa Military Hospital-MH).

Hizi nchi majirani zetu za magharibi zianzishapo chokochoko na Tanzania kivita...target yao kubwa huwa Mwanza City maana wanajua wakiiharibu Mwanza basi kuiteka Dar huwa ni rahisi na kuvunja uchumi wa nchi mara moja.

Kiujumla vita si nzuri ila kujihami no bora zaidi kama alivyonena jemedari wetu kuwa "HATUYAPUUZI".
 
Wakati wanaiharibu Mwanza sisi teyari tunagawa mali na viwanja Wilayani Rwanda, Tanzania, na wa kwanza kupewa ni watu wa mwanza.
Mkuu wewe umenifungia siku yangu leo umenifurahisha sana ujumbe wako yafaa umfikia PK leo hii wakati anahutubia hiyo wilaya yake.sipati picha hiyo vita atashindaje wakati hata seneti ya US tayari ilishaidhinisha matumizi ya drones DRC sasa angani unapigwa na nchi kavu ndio kabisaa wanaume wanaadvansi.
 
By amili jeshi mkuu View Post
naisubiri kwa hamu hotuba ya simba wa afrika kagame
Mnyamwezi wa Urambo
Kama yeye SIMBA basi KIKWETE ni LIBOLO FC!!
umenifurahisha sana leo!!!! ahsante mkuu!
 
silaha zote za rwanda huwa zinapitia dsm na nimeshuhudia mara kibao pale singida wakizipitisha,,,na kwa taarifa yako tz is strongly armed kama unabisha sema nikupeleke 602,,

Mkuu unachosema ni kweli, tuna Jeshi imara sana. Na uzuri wa JWTZ huwa hawapendi kujitangaza, ni tofauti kabisa na nchi zingine hapa Africa. Uganda kanunua Sukhoi, wamezionesha kila mahali. Rwanda nae kanunua Apache basi ni usumbufu tupu. Naamini tuna Zana nzuri sana za kivita ila hatuna haja ya kujitangaza.
 
Cjui nani mchokoz ila nahis tz ndio wachokoz na kama ndivyo tukipigana watatupiga mana MUNGU ATAKUWA UPANDE WAo.

JK hata wivu tu...kuona Rwanda inapiga hatua bila hata kutoa visingizio vya eti kuliwahi kuwa na mauaji ya halaiki!
 
Kagame ni miöngo mwa marais wachache wapuuzi waliobaki Afrika ya leo. Siku zote mpuuzi hata mawazo, vitendo na kauli zake ni upuuzi usiozaa tija katika fikra za kiungwana. Sioni kama kuna sababu za kufuatilia nini ataöngea mpuuzi huyu kiasi cha kuacha majukumu yetu ya kujenga nchi. Ukimuiga chizi nawe wachizika. Kagame ana frustration zinazo mpelekea hasira baada ya kukosa aiba ya kimataifa kama maraisi wenzake wa Afrika. Ni dhahiri siku za udikteta wake ni hesabu za vidole.

Msituchekeshe jk ana upeo kuliko KGM?
 
mi natamani hii vita i-materialize heshima yetu (TZ) irudi na tutakaa Rwanda kwa nguvu mpaka vita inayoendelea DRC ikome
 
Kwani wewe mtutsi kwako hasa upeo unautafeiri vipi? Aliyeshauriwa akaanza kurusha matusi na aliyeshauri yupi mwenye upeo mdogo?? Kumbe nyie watutsi pia hata akili zenu huwa hazipo sawa eenh??


Watu waliofirisika kiakili utawajua kwa kukimbilia ukabila!!
JK Hatumsemi kwa ukwere wake....ndio taabu yenu CCM MMEFILISIKA KIAKILI!
 
PK alitoa kauli ambayo ukiitizama kwa undani nadhani kuna zaidi ya ushauri alopewa siku ile.
may be amekuwa akimvumilia jk for so long!

cc safari ni safari
 
Mapambano ya kivita simjui mshindi,ila ya kimafanikio kwa "kuitoa nchi chini kwenda juu", Paul Kagame mshindi.

umesahau na mafanikio mengine aliyoyapata ya kuua wahutu, wakongo wakosoaji wake kisiasa bila kusahau wizi wa mali asili ya kongo na sasa anainyemelea tanzania na kenya baada ya kuiteka sawasawa uganda.
 
Back
Top Bottom