PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,781
Hii thread inatosha kabisa kumfungia mtu Life-Ban.
Nashangaa sana Mods wanaentertain vitu vya aibu kwa nchi kama hiki!
Huu ni uchochezi wa grade One unaohusu nchi nzima na maisha ya watu.
Nitaanza kuwasupport wale wanaosema mods wako biased. So far hakuna kauli yoyote iliyoquotiwa inayoonyesha PK Kasema chochote kuhusu Tz.
Kimsingi Radhia Sweety kawaprovoke wanajamvi na kuwasababishia wamtukane PK bila sababu.
Mods nawaamuru futeni hii thread, otherwise na nyinyi ni WACHOCHEZI.
Iam sorry to say this, but there is no way short of this.
Nimeboreka to the maximum.
Nashangaa sana Mods wanaentertain vitu vya aibu kwa nchi kama hiki!
Huu ni uchochezi wa grade One unaohusu nchi nzima na maisha ya watu.
Nitaanza kuwasupport wale wanaosema mods wako biased. So far hakuna kauli yoyote iliyoquotiwa inayoonyesha PK Kasema chochote kuhusu Tz.
Kimsingi Radhia Sweety kawaprovoke wanajamvi na kuwasababishia wamtukane PK bila sababu.
Mods nawaamuru futeni hii thread, otherwise na nyinyi ni WACHOCHEZI.
Iam sorry to say this, but there is no way short of this.
Nimeboreka to the maximum.
Last edited by a moderator: