Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Jah abariki tu meku yaani ni mapichapicha kila mahali umeshajaribu kuwaza miaka hii tunayoishi eti mtu anawaza kuwalisha mapichapicha raiya wake bahati mbaya ama nzuri wananjaa niaje ya mapichapicha acha npite faster mrs dildo au faiza 4x asinkute uku nkapata mamtaji ya ban bure watu tunataka maisha kweli ujue na sio izi siasa za kichoko mara maisha bora au niaje niaje

Hizi dawa za kulevya alizosambaza Lema tumeanza kuona madhara yake.
 
May I differ with many here...nampenda sana rais Kagame,ana msimamo,ni mfano wa kuigwa sio tu africa mashariki,bali ni miongoni mwa viongozi shupavu waliobakia duniani...he truly leads.
Nenda akakutumikishe nafsi yako ifurahi
 
sidhani hhii taarifa kama ina ukweli wowote, cheki hapa kwenye website yake<BR><A href="http://www.paulkagame.com/">http://www.paulkagame.com/</A>
 
Jah abariki tu meku yaani ni mapichapicha kila mahali umeshajaribu kuwaza miaka hii tunayoishi eti mtu anawaza kuwalisha mapichapicha raiya wake bahati mbaya ama nzuri wananjaa niaje ya mapichapicha acha npite faster mrs dildo au faiza 4x asinkute uku nkapata mamtaji ya ban bure watu tunataka maisha kweli ujue na sio izi siasa za kichoko mara maisha bora au niaje niaje

Uko sahihi sana Meku, pamaja sana. Mimi ninamuunga mkono kwa hili tu. Ila mengine yoooote nampotezea tu na lichama lao la kingese. Lakini Meku, Tanzania Kwanza.
 
Hotuba itatangazwa na Kigali FM 100.2. Atatumia muda huo kujibu hoja za JK dhidi yake na kuiambia Rwanda nini cha kufanya.
Aya wewe usiekua na Rep power hata moja tupe feedback now muda ushapita!!
 
Hizi dawa za kulevya alizosambaza Lema tumeanza kuona madhara yake.

Na huyo pusha wenu mbunge aliotajwa kwenye barua ya mahabusu wa hongkong !!???... Na huyo sumaye na mengi8 waliomsema anataka kuingia Ikuru kwa pesa za madawa ya kulevya !!???. Acha Ungese weweee kwa yasiyo kuhusu.
 
Mkuu wangu Radhia Sweety tafadhali weka taarifa kamili alichoongea huyu Pimbi wa Kitusi.
 
Last edited by a moderator:
Aya wewe usiekua na Rep power hata moja tupe feedback now muda ushapita!!
hamna kitu bana,huyu mwanamke katuingiza mjini.nimecheki pote kuanzia website ya rwanda gove,twitter ya paul kagame,twitter ya m23,site ya NewsNow,pote hakuna kitu kama hicho.
 
Katika makabila 126 ya Tanzania hakuna kabila linaloitwa TUTSI sasa wewe hapo ukabila unatokea wapi? Yaani tokea ulipokuja kama mkimbizi ndiyo ukajisahau kabisa mpaka umeanza kuota mapembe?? Hebu kwendeni kwenu huko cocroaches nyie.Kwenye hili watanzania tupo pamoja hakuna cha CCM,CDM,CUF wala nini tutahakikisha nyie watutsi wababaishaji mnarudi kwenu nyote.

Wewe huna upeo tu...kuna wutsi watanzania, wazungu, wahindi, waarabu n.k
Nyerere aliwaita watu kama nyie ni makaburu tu!! Mie ni tanzania niyeipenda nchi yangu kuliko hata huyu dhaifu wenu a.k.a fisadi! unadhani kuzaliwa na Dodom ndio kuwa mtanzania...!!
 
Jambo hili mbona linakuzwa sana, nashauri serikali ichukue hatua madhubuti tofauti zizungumzwe, vita si kitu kizuri sana, ni njia ya mwisho lakini nadhani hatuhitaji kupigana na Rwanda
 
yetu masikio kwani nshatega masikio yangu kam antena ya king'amuzi ili kuweza kunasa newz zote bila chenga.
 
'you will hit me' now come on i will hit you back...



sipendi dharau.jpg
 
Back
Top Bottom