YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Kuna usemi mmoja kwenye Biblia unasema
Mathayo 5:23-24
“Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe, iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi utoe sadaka yako."
Lowasa aliendekeza ugomvi na Kikwete na kumhujumu na akagombana na CCM hakupatana nao lakini akaamua kwenda kichwa kichwa kwenye uchaguzi mkuu kugombea uraisi kilichomkuta haji kusahau
Chadema kosa hilo hilo la Lowasa wanalirudia .Wanaingia uchaguzi kichwa kichwa wakiwa na ugomvi na dharau kwa serikali,vyombo vya dola,mahakama na Tume ya uchaguzi
Nini kitawakuta tusubiri Uchaguzi mkuu.Walikuwa na kipindi kirefu tu cha kurekebisha mahusiano hawakujali .Sio kesi.Uchaguzi mkuu huu unakuja tayari.
Mathayo 5:23-24
“Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu yako ana ugomvi nawe, iache sadaka yako mbele ya madhabahu, nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi utoe sadaka yako."
Lowasa aliendekeza ugomvi na Kikwete na kumhujumu na akagombana na CCM hakupatana nao lakini akaamua kwenda kichwa kichwa kwenye uchaguzi mkuu kugombea uraisi kilichomkuta haji kusahau
Chadema kosa hilo hilo la Lowasa wanalirudia .Wanaingia uchaguzi kichwa kichwa wakiwa na ugomvi na dharau kwa serikali,vyombo vya dola,mahakama na Tume ya uchaguzi
Nini kitawakuta tusubiri Uchaguzi mkuu.Walikuwa na kipindi kirefu tu cha kurekebisha mahusiano hawakujali .Sio kesi.Uchaguzi mkuu huu unakuja tayari.