mlegatuntu
Member
- Sep 14, 2014
- 8
- 1
funza dume natafuta safa izo chapisho naomba unitumie
paschalmangu@gmail.com
paschalmangu@gmail.com
Natengeneza raised ponds kwa kutumia liners na ma banzi...hii njia n8 cheap na hauhitaji kuchimba chini ardhi yako. Karibu nikufanyie kazi nzuri....0768520042
Naomba uweke picha ya sample... Na je usalama wake ukoje
unajua advantage zake na umefanya research juu ya how efficiency ya growth rate ya samaki can be affected by residuals za ayo mabanzi. na je mabanzi ayo Ni ya mti gani? je iyo njia yako imekua accredited na wizara kama njia moja wapo ya fish farming? ahsante
unajua advantage zake na umefanya research juu ya how efficiency ya growth rate ya samaki can be affected by residuals za ayo mabanzi. na je mabanzi ayo Ni ya mti gani? je iyo njia yako imekua accredited na wizara kama njia moja wapo ya fish farming? ahsante
jamn nihataji kujua..maji ya kisima yenye chumvi kwa mbali..yanafaa kutuka kufugia??
Mkuu mabanzi yanatumika kama frem wala hayagusani na maji. Disadvantage ya njia hii ni kwamba ktk sehemu za joto kali zile plastic liners hazidumu sana.
Lakin njia hii ni nzuri ki management kama ilivo kwa tanks, ya haraka, popote hata kama umepanga na ni ya bei nafuu.
pilot..sawa..ndo inafanyajwe??..
sawa mkuu...
Natengeneza raised ponds kwa kutumia liners na ma banzi...hii njia n8 cheap na hauhitaji kuchimba chini ardhi yako. Karibu nikufanyie kazi nzuri....0768520042
a. Haumbi kibali bali ni vema ukajiregister katika Idara ya Ufugaji Samaki kwa ajili ya kutambulika tu. Mpaka hakuna taratibu kuomba kibali TFDA na wala hakuna.masuala.ya.TRANingeomab kuzua ziada zifuatazo.
a)ukitaka kufuga Samaki kwenye Shamba lako Mwenye lazima uombe Kibali ?
Maana TFDA na TBS wengine hata mipaka ya maeneo yako yakazi hatuyajui.
b)Je kwenye kuuza Samaki je Kodi unalipa?TRA,maana tunasikia kwenye un processed bidhaa hakuna kodi
Kwanza nikupongeze kwa kujali umuhimu wa hawa wenzetu maafisa/ madaktari wa ufugaji samaki. Maana wakulima wengi wamekuwa.hawafuati management inayotakia katika kuwatunza samaki.La Zida ni kwamba.
Nimeona wafugaji wengi wa Ng`ombe wanafanikiwa saana wakiwa karibu na Madktari wa Mifugo hiyo na changamoto kuwa ndogo kwao.Hasa pale wanapokuwa katika hatua za Mwanzo.Kipindi cha mpito kama miaka miwili hivi.Then muda unavyokwenda Mfugaji anakuwa anaongeza uwezo na kupunguza kumuita Dokta kira mara.
Sasa hembi nijuzeni kwenye ufugaji wa Samaki.
Ningependa kujua wapi Unaweza kupata Dokta/mtaalam wa Upande wa Ufugaji wa Samaki,na je mfano kama je inawezekana kuingianae mkataba wa kumlipa kwa mwezi Mshahara na allowance ya mafuta ili kila wiki kwa uchache awe anakuja site.
Kwa wazoefu inawezaku cost kiasi gani?
Maana mie kwa muono wangu,naona hii ndio move nzuri kwangu kuanza nayo.Ili nikianza nianze kwa mfumo wa kuwa karibu sana na Mtaalam.
Wadau naomba mchanganuo hapo na njia nyepesi,Manual readings ninazo nyingi ila kuwa na trainer on site ni bora zaidi pia
Nisamehe sana,nilikuwa vijijini kwa muda mrefu kidogo kwa ajili ya mambo yetu haya ya kilimo. Miezi mitatu iliyopita niliweka sato 26 vifaranga,mpaka jana tumerecord sato mmoja kafa,kwa hiyo imenipa nguvu kwamba bwawa langu liko mahali sahihi kabisa kilichobaki ni maboresho,hasa aina ya chakula.
Mwezi juni nilipata Kambale 52,nimewaweka ktk visima vidogo,huku nasubiri bwawa jipya likae sawa,yaani lijijenge kupokea wageni. Kwa mwezi mzima sasa hakuna kambale aliyekufa. Nitakwenda Mbegani/ kunduchi nikachukue shule zaidi ili nifuge kwa wingi. Hapo nitapata mbegu ya kuuza. Mwaka jana kigogo mmoja alikosa mbegu ya kambale,tulitafuta sana bila mafanikio.
Pili,pale Kinguruila gerezani pana mbegu ya samaki inauzwa kwa bei nzuri sana,kifaranga kimoja Tsh 30/ sio 300 kama huku Mkuranga. Contact za mhusika nimepata,kwa aliye tayari aniambie nimpe.
Kwa ujumla ninafurahia kufaulu mtihani wa kwanza,yaani pilot trial niliyofanya.