Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Natengeneza raised ponds kwa kutumia liners na ma banzi...hii njia n8 cheap na hauhitaji kuchimba chini ardhi yako. Karibu nikufanyie kazi nzuri....0768520042

Naomba uweke picha ya sample... Na je usalama wake ukoje
 
Naomba uweke picha ya sample... Na je usalama wake ukoje

unajua advantage zake na umefanya research juu ya how efficiency ya growth rate ya samaki can be affected by residuals za ayo mabanzi. na je mabanzi ayo Ni ya mti gani? je iyo njia yako imekua accredited na wizara kama njia moja wapo ya fish farming? ahsante
 
ndugu zangu napenda niwape angalizo moja juu ya fish farming Tanzania. kama hauna utaalamu from recognised institution not Ni bora utafute mtaalamu kwani Pdf documents za google na watu wengne Ni from nje ya Tanzania na uhalisia kuna different scenario kati ya Tanzania na nchi nyingne based on research so kueni makini mnoo
 
Napenda sana huo mradi jaman. Wish that nianze leo but mtaji bdo nahangaikia.
 
unajua advantage zake na umefanya research juu ya how efficiency ya growth rate ya samaki can be affected by residuals za ayo mabanzi. na je mabanzi ayo Ni ya mti gani? je iyo njia yako imekua accredited na wizara kama njia moja wapo ya fish farming? ahsante

Hapana ndo maana nimemwomba jamaa aweke sample na maelezo kdg
 
unajua advantage zake na umefanya research juu ya how efficiency ya growth rate ya samaki can be affected by residuals za ayo mabanzi. na je mabanzi ayo Ni ya mti gani? je iyo njia yako imekua accredited na wizara kama njia moja wapo ya fish farming? ahsante

Mkuu mabanzi yanatumika kama frem wala hayagusani na maji. Disadvantage ya njia hii ni kwamba ktk sehemu za joto kali zile plastic liners hazidumu sana.

Lakin njia hii ni nzuri ki management kama ilivo kwa tanks, ya haraka, popote hata kama umepanga na ni ya bei nafuu.
 
Mkuu mabanzi yanatumika kama frem wala hayagusani na maji. Disadvantage ya njia hii ni kwamba ktk sehemu za joto kali zile plastic liners hazidumu sana.
Lakin njia hii ni nzuri ki management kama ilivo kwa tanks, ya haraka, popote hata kama umepanga na ni ya bei nafuu.

kawaida kwa tilapia unaweza kuchukua hata miez 8 kuvuna sasa na kwa mkoa kama Dar ambapo temperature ina vary sana inakuaje kwa kipind hiko efficient ikoje. na unaweza weka sample ya attachments. binafsi Ni expect in fisheries and aquaculture na nafanya consultation ya fish farming kwa watu wengi so naweza kukusaidia kupata kazi kama ntaona njia yako Ni nzuri zaid. na mfano wewe bwawa la kama mita 15 kwa 20 inagarimu kias gani kwa RAF bajer
 
pilot..sawa..ndo inafanyajwe??..

yani Ni kama jaribio tuu. uchukue ao samaki hata watano au kumi then uwa eke kweny container ndogo for some days uone what will happen kama wataweza kukaa over 24hr basi Ni oky
 
sawa mkuu...

Tafiti zinaonesha tilapia wa maji baridi(sato) anakuwa vema hata kwenye maji ya umunyu kufikia 10. Pia anaweza akazoezwa hata hali ya umunyu mpaka 15.

Pamoja na njia ya kiongozi hapo juu, unaweza kumuomba mtaalam aje kukupimia hali ya umunyu. Kama unataka kuanza mradi mkubwa peleka sample ya maji ubungo maji pale na majibu yapeleke wizara ya mifugo watakusaidia kutafsiri.
 
Natengeneza raised ponds kwa kutumia liners na ma banzi...hii njia n8 cheap na hauhitaji kuchimba chini ardhi yako. Karibu nikufanyie kazi nzuri....0768520042

Tunaweza onana tukabadilishana mawazo. mimi nilikuwa na idea ya mabwawa au matank ya mbao. Hivyo nimefurahi kuona unafanya ya mabanzi
 
Ningeomab kuzua ziada zifuatazo.

a)ukitaka kufuga Samaki kwenye Shamba lako Mwenye lazima uombe Kibali ?
Maana TFDA na TBS wengine hata mipaka ya maeneo yako yakazi hatuyajui.

b)Je kwenye kuuza Samaki je Kodi unalipa?TRA,maana tunasikia kwenye un processed bidhaa hakuna kodi
a. Haumbi kibali bali ni vema ukajiregister katika Idara ya Ufugaji Samaki kwa ajili ya kutambulika tu. Mpaka hakuna taratibu kuomba kibali TFDA na wala hakuna.masuala.ya.TRA
 
La Zida ni kwamba.
Nimeona wafugaji wengi wa Ng`ombe wanafanikiwa saana wakiwa karibu na Madktari wa Mifugo hiyo na changamoto kuwa ndogo kwao.Hasa pale wanapokuwa katika hatua za Mwanzo.Kipindi cha mpito kama miaka miwili hivi.Then muda unavyokwenda Mfugaji anakuwa anaongeza uwezo na kupunguza kumuita Dokta kira mara.

Sasa hembi nijuzeni kwenye ufugaji wa Samaki.
Ningependa kujua wapi Unaweza kupata Dokta/mtaalam wa Upande wa Ufugaji wa Samaki,na je mfano kama je inawezekana kuingianae mkataba wa kumlipa kwa mwezi Mshahara na allowance ya mafuta ili kila wiki kwa uchache awe anakuja site.
Kwa wazoefu inawezaku cost kiasi gani?

Maana mie kwa muono wangu,naona hii ndio move nzuri kwangu kuanza nayo.Ili nikianza nianze kwa mfumo wa kuwa karibu sana na Mtaalam.

Wadau naomba mchanganuo hapo na njia nyepesi,Manual readings ninazo nyingi ila kuwa na trainer on site ni bora zaidi pia
Kwanza nikupongeze kwa kujali umuhimu wa hawa wenzetu maafisa/ madaktari wa ufugaji samaki. Maana wakulima wengi wamekuwa.hawafuati management inayotakia katika kuwatunza samaki.

Wataalam wa ufugaji samaki wanapatikana katika wizara ya mifugo na uvuvi, maafisa uvuvi wa wilaya (baadhi). Inategemea upo wapi.Kuhusu gharama ni makubaliano yenu.
 
Nisamehe sana,nilikuwa vijijini kwa muda mrefu kidogo kwa ajili ya mambo yetu haya ya kilimo. Miezi mitatu iliyopita niliweka sato 26 vifaranga,mpaka jana tumerecord sato mmoja kafa,kwa hiyo imenipa nguvu kwamba bwawa langu liko mahali sahihi kabisa kilichobaki ni maboresho,hasa aina ya chakula.

Mwezi juni nilipata Kambale 52,nimewaweka ktk visima vidogo,huku nasubiri bwawa jipya likae sawa,yaani lijijenge kupokea wageni. Kwa mwezi mzima sasa hakuna kambale aliyekufa. Nitakwenda Mbegani/ kunduchi nikachukue shule zaidi ili nifuge kwa wingi. Hapo nitapata mbegu ya kuuza. Mwaka jana kigogo mmoja alikosa mbegu ya kambale,tulitafuta sana bila mafanikio.

Pili,pale Kinguruila gerezani pana mbegu ya samaki inauzwa kwa bei nzuri sana,kifaranga kimoja Tsh 30/ sio 300 kama huku Mkuranga. Contact za mhusika nimepata,kwa aliye tayari aniambie nimpe.

Kwa ujumla ninafurahia kufaulu mtihani wa kwanza,yaani pilot trial niliyofanya.

Habari! nahitaji vifaranga vya kambale. Je naweza pata hizo contact?
 
Back
Top Bottom