Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,250
- 113,653
- Thread starter
- #21
Huyo ameshakufa wewe!Jiwe na minions wake
Huyo ameshakufa wewe!Jiwe na minions wake
Huo ni mhimili tofauti kabisa!Ndugai alimkatalia wazi wazi kutomlipa hela za matibabu alimkatalia kwa misingi gani na wakati huo huo anaona Watanzania wanajichangisha mia mia atibiwe nani alihoji kuhusu hili...
Walau umeona kuwa si kitu cha kawaida kuomba msaada kwa Rais kupata passport.Kiongozi sasa hayo maswali anapaswa aulizwe Lissu au mtu anayejua kinachoendelea. Wote humu tuta speculate tu. Ila wote tukubaliane si kitu cha kawaida kuomba passport kwa Rais.
Lissu ndiye aliyefanyiwa unyama wakupigwa risasi mchana na watu hawajakamatwa,kibinadamu yeye ndiye anamachungu zaidi.Tuache kuchanganya siasa na utu.Jamaa amepagawa, mwanzo alisema anarudi TZ mwezi wa 3 sijui wa 5, leo anaomba Rais amhakikishie usalama wake ili arudi. Badala ya kuzungumza na Rais mambo ya msingi kama anavyoropoka akiwa huko kwa space amefyata anaomba vitu vya kitoto mno.
Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Jamaa amepagawa, mwanzo alisema anarudi TZ mwezi wa 3 sijui wa 5, leo anaomba Rais amhakikishie usalama wake ili arudi. Badala ya kuzungumza na Rais mambo ya msingi kama anavyoropoka akiwa huko kwa space amefyata anaomba vitu vya kitoto mno.
Mabavu tuu mhimili tofauti wakati yeye alijitibu alikua anajipendekeza mpaka anaharibu...Huo ni mhimili tofauti kabisa!
Duh! Kumbe alishajilipua. Lissu, alidhamilia kweli kubaki huko. Hivi, amemuonyesha Mama "lost report" ya polisi?Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Kama wewe ni Mtanzania haupaswi kuuliza swali hili.Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?
Tundu Lissu ni msanii....utaratibu wa kupata passport kwa aliyepoteza unaeleweka.Anachokifanya ni kuficha aibu ya kula matapishi yakeSijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
matapishi yake
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Umeuliza Maswali ya maana kabisa, ila jiandae kwa Dhihaka na Matusi kutoka kwa Wafuasi wake ( wao ) wenye Uvivu wa Kufikiri lakini ni wepesi wa Kukurupuka.Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Kwahiyo bila Samia kwenda Ubelgiji asingepat passport?Tundu Anthipas Lissu ni mwanasheria na msomi. Sina wasiwasi kuwa alishafuatilia taratibu zote, lakini mamlaka zinazohusika haziwezi kufanyia kazi maombi yake kwa hofu iliyojengwa na watawala hasa utawala uliopita wa ile awamu ya giza.
Waliomwibia Lissu passport yawezekana walitumwa kumdhuru na/au kumwibia nyaraka mbalimbali anazofanyia kazi. Nina imani kuwa hizo nyaraka na passport zipo Tanzania zimekaa tu mezani kwa mtu.
Kwa mazingira hayo, ilifaa Lissu apeleke ombi lake kwa Rais ambaye anaweza kutoa tamko tu na wahusika wakaondoa hayo mambo machafu yanayoendelea kuiweka Tanzania katika zama za ujinga na giza.
Hata wewe ungekuwa ofisi ya Passport usingedhubutu kuichapa bila maelekezo kutoka juu.Kwahiyo bila Samia kwenda Ubelgiji asingepat passport?
Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.
Kwa nini uombe msaada wa Rais?
Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?
Bado sielewi aisee!
Tundu Anthipas Lissu ni mwanasheria na msomi. Sina wasiwasi kuwa alishafuatilia taratibu zote, lakini mamlaka zinazohusika haziwezi kufanyia kazi maombi yake kwa hofu iliyojengwa na watawala hasa utawala uliopita wa ile awamu ya giza.
Waliomwibia Lissu passport yawezekana walitumwa kumdhuru na/au kumwibia nyaraka mbalimbali anazofanyia kazi. Nina imani kuwa hizo nyaraka na passport zipo Tanzania zimekaa tu mezani kwa mtu.
Kwa mazingira hayo, ilifaa Lissu apeleke ombi lake kwa Rais ambaye anaweza kutoa tamko tu na wahusika wakaondoa hayo mambo machafu yanayoendelea kuiweka Tanzania katika zama za ujinga na giza.
Ninachokiona hapo ni kuwa Tudu Lissu akutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.