Unatafta ugomvi na watu wa dini yao, kuna watu wanavaa hovyo vipedo kidini sasa ukiwaambia ni nguo za kike unawakufuru, waombe radhiHiv Passo zinatofauti na zile bukta za kinadada wanaita 'PEDO'.hasa mbona hata wanaume wanaendesha? Jamani wanaume tuache mavazi ya kike
Mkuu, umefikiria mbali sana. Hapa na mimi lazima nichangamkie fursa hata kama nina leseni sijawahi endesha gari hapa mjini..
mkuu mimi nikiona binti anadrive PASSO akili zinaniruka kabisa!!! they look sexy in that car!
Mkuu wangu wa kazi anamiliki Passo yake swaaaaaafi na ukitaka mkosane we pitapita karibu na Passo yake utasikia mwanangu unataka univunjie vioo? Hahahahaaaa
Hakyamama, kuna mwana kanyang'anywa demu wa bank teller mwenye passo
Ha ha haaa kuna moja niliiona chafu sana kioo cha nyuma imeandikwa bonyeza # iwe yako!!