Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

Mbona wa mikoani mnatutenga? Au mnadhani Passo hazipo huku, kisa eti haziwezi kupanda milima. Kwa taarifa yenu, hata sisi tunazo. Na mkileta ujinga tutazipiga rangi ya pinki kabisa, ili mjue we mean business

Rangi ya pinki tena?...
 
bora hata ya hao wenye Passo, je hawa tusemeje maana huwa nashindwa kuelewa kuwa hizi kitu zipo kwenye category gani ya magari 2008-09-13-smartcarsmall.jpg ukienda kkoo ndo vipo shazi, hata vigari vya kwenye golf ni vikubwa
 
Mimi nilimnunulia mdogo wangu alivyo faulu darasa la saba.
 
Nyie pigeni majungu weeeee lakini nikijifungia ndani ya kipasso changu full AC na mziki mnene nlioufunga kwa Dick sound mi sina habari..
Kwanza wengine wanaponda kumbe ni stress za daladala au wanafata upepo tu!!😡
 
Mhh wenye vi baby walker wameanza. Passo nayo ni gari yakuwa na chama??? Mwenye honda, subaru, bmw awe na nini sasa? Serekali? Acheni ushamba nyie.
 
mkuu mimi nikiona binti anadrive PASSO akili zinaniruka kabisa!!! they look sexy in that car!


My wife looks like a binti. She will never drive passo, atakomaa kwenye RAV 4 tu!!
 
Aisee passo humo barabarani ni vurugu tupu.yaan haawatulii full mihemko
 
STRABAG tutengenezeeni Barbara zetu special passo na baby walker nyingine zikiwemo swift, vitz, duet, nissan march
 
Back
Top Bottom