Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

d8a5724c6daf3428602fcca8d499d918FS.JPG
 
CRDB wanatoa Passo 1 kwa mwezi wakati wenzao Airtel walikuwa wanatoa IST kila siku, acheni kudhalilisha wateja wenu nyie CRDB yaani katika gari zote mmeona Passo nayo gari tena Passo 1 kwa mwezi

acha dharau mkuu.
 
Halafu unamkuta mtu anaendesha Passo (BVR) huku kafungua vioo kisa anabana mafuta, kwenye foleni kidogo na gari anazima kabisa ili mafuta yasiende daah!

Yaani hata kama una stress.. JF..burudani kabisa!!!!
 
Hivi Passo ya kutoka japan inaweza kuzidi milioni 2 Tsh kweli maana naona zimejaa barabarani kuliko hata bajaj. nini hasa sababu wandugu? au kuna sehemu watu wanacheza kamari ukishiNDWA ndo unapewa PASSO? au nyongeza ukinunua gari kubwa?
 
Passo ni ushuzi mtupu halafu eti CRDB wanatoa Passo 1 kwa mwezi wakati wenzao Airtel walikuwa wanatoa IST kila siku, acheni kudhalilisha wateja wenu nyie CRDB yaani katika gari zote mmeona Passo nayo gari tena Passo 1 kwa mwezi
duh maneno makali
 
Ha ha ha... Wanachama wa hii kitu wamechachamaa....

Ha ha haa.....watu mna mineno aiseee..Kwa hiyo Passo ni sawa na hicho kidubwasha cha watoto
Mi nataka kununua Passo mwanikata maini kabisa!!!
 
naipenda sana passo yangu.. na nimeibandika sticker ya jamiiforums nyuma..

ili wenye roho za kwa nini wa jamiiforums wafurahi zaidi..

gari nzuri sana hizi.. mafuta economy, parking inajibanza popote, ndani ina nafasi, yaani full bata
 
Hivi Passo ya kutoka japan inaweza kuzidi milioni 2 Tsh kweli maana naona zimejaa barabarani kuliko hata bajaj. nini hasa sababu wandugu? au kuna sehemu watu wanacheza kamari ukishiNDWA ndo unapewa PASSO? au nyongeza ukinunua gari kubwa?

Wewe jambajamba tu hapo, ukimuona mtu anamiliki Passo ujuwe amespend zaidi ya Tsh million 7 mpaka anaiendesha barabani.

Mbwembwe kibao account yako haina hata million moja.
 
Hahaaaaa.., nimecheka sanaaa wandugu! Eti kikao cha…?!
 
Kuendesha Passo unakua umekalia mapu... Yako
 
naipenda sana passo yangu.. na nimeibandika sticker ya jamiiforums nyuma..

ili wenye roho za kwa nini wa jamiiforums wafurahi zaidi..

gari nzuri sana hizi.. mafuta economy, parking inajibanza popote, ndani ina nafasi, yaani full bata

Kigari kinaingia kwenye boot ya range rover...
 
Back
Top Bottom