Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

Passo Owners Association (POA) Dsm chapter

Mm nimemnunulia wife ni nzr lkn hazitaki dharubu jist for town na kwa matumizi ya mwanaume inachoka mapema. But i like it coz mafuta inakula vzr snaa nikimuekea full na yy ni housewife muda mwngi yupo home basi ni week 3 .
 
Tatizo mmejiwekea notion ya kudharaulika ila sidhani kama watu wana wadharau...
Halafu mwanaume ujue kuchagua rangi ya gari, utakuta mzee mzima unaendesha passo nyekundu...
 
naitaji passo kama 1000 kwa bei ya mil 2 maana naona baada ya kikao chenu mtakuja na azimio la msimbazi la kutomiliki passo
 
CRDB bank waliziwekea mkong'oto kwa wateja wake ili wafungue akaunti kwenye benki lao. Uwiiiiiiiiiii
 
Mi kama gari sio jeusi au grey siendeshi...
Mwanaume utaendeshaje gari ina rangi rangi?

Hahhhha......umetisha sana kiongozi..passo naonaga kijan mpauko..nyekundu...nyeupe....chache sana nyeusi
 
Hhahaa mkuu hao si watakua na ma mark x au? Hahaahaaa...sema watakuwepo tu

angalia kwa umakini, Passo zinaendeshwa na mabinti warembo sana! kwahio kwenye huo mkutano lazima wawepo wengi sana!
 
CRDB wanatoa Passo 1 kwa mwezi wakati wenzao Airtel walikuwa wanatoa IST kila siku, acheni kudhalilisha wateja wenu nyie CRDB yaani katika gari zote mmeona Passo nayo gari tena Passo 1 kwa mwezi
 
Back
Top Bottom