myhem
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 933
- 358
myhem, Pasco wa jf ni Pasco wa Jf, na Pascal Mayalla ni Pascal Mayalla, wote ni waandishi mmoja Pasco ni mwandishi wa jf na Pascal Mayalla ni mwandishi wa kiukweli.
Hapa jf tunazosheria zetu tulizojiwekea, hairuhusiwi kumfananisha membe yoyote humu na mtu mwingine hata kama unamfahamua kuwa ndiye yeye, hili ni kosa liitwalo 'Name Calling' na adhabu yake ni ban!.
Hiyo ban kampige mkweo! mi sioni kosa langu hapo.