Pasco acha utoto jibu hoja bana aaah!karibu kila mtu tunajua ana id zaidi ya moja!
Pasco ndo yule yule wa PPR?, kama ndiye ni mnafiki sana....................
Kwani huyu pasco wa jf ndiye pasco mayala wa ppr? can't be serious man! Kama ndiye atakuwa anadhalilisha hata elimu yake ya sheria.
Hivi huyo Pasco ndo yule Mayala? Kama ndio yeye basi nadhani atakuwa ni mmoja wa waandishi wanafki wakubwa hapa TZ.Mnakumbuka ule mdahalo wa Tundu Lisu na Habibu Mnyaa pale Movenpick alisemaje? Kabla ya kumuuliza swali Tundu Lisu ali-declare interest kuwa yeye si mshabiki wala hana kadi ya chama chochote cha siasa.Lakini sasa hivi amejipambanua kuwa yeye ni mmoja wa wapiga debe wakubwa wa Lowasa.Ina maana EL hana chama? Inatia mashaka sana juu ya credility za waandishi wa namna hii kwani wengi wao ni wachumia tumbo tu.
Inaonyesha kuwa Pasco ameamua ku-gamble kwa reside upande wa Lowasa ili akifanikiwa basi naye apate fadhila kama alizopata SAlva Rweyemamu.Pasco bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi kwani unaweza kuishia kuliwa na simba.
msiba upi? nani alikuwa anataka cheo?Rushwa na uroho wa madaraka vipo kila mahali,ndio maana Chadema walitaka kutwangana mpaka kwenye msiba..
Mkuu Pasco , sasa msiba umepita na Mh.Regia apumzike kwa amani .Naona sasa ni wakati muafaka unipe jibu juu ya wewe na wenzako kupenda bahasha za khaki ili muweze kuandika habari kwa watanzania kujua nini kinaendelea .Karibu tuanzie hapa kwanza maana kwangu nimeshangaa kwamba unahongwa ili uandike habari hata zile ambazo ni za manufaa kwa jamii lakini lazima bahasha ya khaki .
Mkuu Pasco , sasa msiba umepita na Mh.Regia apumzike kwa amani .Naona sasa ni wakati muafaka unipe jibu juu ya wewe na wenzako kupenda bahasha za khaki ili muweze kuandika habari kwa watanzania kujua nini kinaendelea .Karibu tuanzie hapa kwanza maana kwangu nimeshangaa kwamba unahongwa ili uandike habari hata zile ambazo ni za manufaa kwa jamii lakini lazima bahasha ya khaki .
Wana JF
Nimeona kama bandiko langu wachache wananshindwa kunielewa na kuanza kuuliza maswali ya kijinga .Mimi wakati naandika hili sikujua na sikutegemea kama Pasco anakula mlungula ila kwa sababu rafikia yangu alitaka habari yake iende kwenye jamii kuhusiana na matatizo ya majanja yta moto Tanzania , basi akaambiwa anaweza pia kuwaita waandishi au aende habari na maelezo akaseme aliyo nayo .Alienda akaambiwa saa moja ni shiling 60,000 na pia lazima ajiandae kwa bahasha kama anataka habari yake itoke kwenye chombo cha habari maana bila hivyo hawataandika watamsikiliza na kukaa kimya .Ndiyo nikaja kuleta hoja hapa na kuomba Pasco asaidie maana ni mwandishi wa habari .
Sasa naomba tujikite kwenye hoja na tuache uvivu wa kusoma na kuanza kuhoji kijinga kijinga .Wachache wanafanya kila kitu siasa no hii ni serious .Kwa ninij bahasha kwanza ndipo habari iende hewani ?
Pasco tafadhali saidia maana ulisha sema unagawa bahasaha na wazipenda .
Wana JF
Nimeona kama bandiko langu wachache wananshindwa kunielewa na kuanza kuuliza maswali ya kijinga .Mimi wakati naandika hili sikujua na sikutegemea kama Pasco anakula mlungula ila kwa sababu rafikia yangu alitaka habari yake iende kwenye jamii kuhusiana na matatizo ya majanja yta moto Tanzania , basi akaambiwa anaweza pia kuwaita waandishi au aende habari na maelezo akaseme aliyo nayo .Alienda akaambiwa saa moja ni shiling 60,000 na pia lazima ajiandae kwa bahasha kama anataka habari yake itoke kwenye chombo cha habari maana bila hivyo hawataandika watamsikiliza na kukaa kimya .Ndiyo nikaja kuleta hoja hapa na kuomba Pasco asaidie maana ni mwandishi wa habari .
Sasa naomba tujikite kwenye hoja na tuache uvivu wa kusoma na kuanza kuhoji kijinga kijinga .Wachache wanafanya kila kitu siasa no hii ni serious .Kwa ninij bahasha kwanza ndipo habari iende hewani ?
Pasco tafadhali saidia maana ulisha sema unagawa bahasaha na wazipenda .
Mkuu Pasco , sasa msiba umepita na Mh.Regia apumzike kwa amani .Naona sasa ni wakati muafaka unipe jibu juu ya wewe na wenzako kupenda bahasha za khaki ili muweze kuandika habari kwa watanzania kujua nini kinaendelea .Karibu tuanzie hapa kwanza maana kwangu nimeshangaa kwamba unahongwa ili uandike habari hata zile ambazo ni za manufaa kwa jamii lakini lazima bahasha ya khaki .
Kabla ya kusema umeulizwa masuali ya kijinga, kapitie tena bandiko lako. Uliposema "juu ya wenzako kupenda bahasha ya khaki" na "nimeshangaa kwamba unahongwa," ulitegemea uulizwe vipi?
Kama unameonyesha kuwa una uhakika kuwa Pasco anapokea mlungula na bahasha za khaki lazima uulizwe umejuaje, na kama unavyojieleza kuwa hukuwa unajua chochote basi ulichofanya ni defamation, umemvunjia heshima Pasco kwa kumtaja kiholela kuwa ni mpokea rushwa.
katika watu wanaojipendekeza kwa lowasa walionishangaza ni pasco. Huyu jamaa angekuwa ni demu basi nisingekawia kusema ni nyumba ndogo ya lowasa. Jamaa alituletea habari ya kupanda hata juu ya kaburi ili apate picha ya kupiga jk akishikana mkono na Dr.slaa, haitoshi akaleta taarifa kuwa mtoto wa lowasa wa kike kafiwa na baba mkwe wake hivyo tumpe pole lowassa kafiwa na mzazi mwenziwe. jirekebishe mkuu, acha fikra za kitumwa juu ya mtu,usiwe mtumwa wa fikra kwa ajili ya mwingie. Kuwa mtu huru kifikra pascoooooooooo!