Haya mambo ni pasua kichwa! Ningetamani hiyo idara iwe chungu cha maarifa na suluhu za kitaifa.
Hebu rejea kuhusu katiba, Rais A ana ruhusu mchakato wa maboresho ya katiba, mara umeishia njiani, mara Rais B anaamuru sio suala la kipaumbele, mchakato usiendelee.
Jiulize, lilipokuwa suala la kipaumbele vigezo gani vilitumika?
Mchakato wa katiba na yaliyotokea ni mfano tu. Huwa najiuliza, nafasi ya raia kuonesha kutoridhishwa kwao iwe ni kwa njia ya kura tu?
Nini nafasi ya TISS kwa maamuzi ya vyombo vikuu yanayo fanana na kulamba sumu?
Tuendelea kukua na kujifunza, tutafikia ukomavu hatua kwa hatua.
Hebu rejea kuhusu katiba, Rais A ana ruhusu mchakato wa maboresho ya katiba, mara umeishia njiani, mara Rais B anaamuru sio suala la kipaumbele, mchakato usiendelee.
Jiulize, lilipokuwa suala la kipaumbele vigezo gani vilitumika?
Mchakato wa katiba na yaliyotokea ni mfano tu. Huwa najiuliza, nafasi ya raia kuonesha kutoridhishwa kwao iwe ni kwa njia ya kura tu?
Nini nafasi ya TISS kwa maamuzi ya vyombo vikuu yanayo fanana na kulamba sumu?
Tuendelea kukua na kujifunza, tutafikia ukomavu hatua kwa hatua.