Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,140
- 127,085
Hapana mii sina namba ya Diwani Athumani.
Ila nafikiri atakuwa anapita humu.
Ngoja tuone kama na yeye atatenda kazi yake kwa weledi, au na yeye atageuzwa kulea kundi la watu wasiojulikana.
Hapana mii sina namba ya Diwani Athumani.
Ila nafikiri atakuwa anapita humu.
Yaani kama ni alama Mkuu umepata 99.99%..tatizo siyo TISS au CCM hayo ni matokeo tu ya tatizo kubwa tulilo nalo wote kama watanzania, mfumo wetu wa elimu ulifail kitambo sana, mfumo ambao uliwekwa ili kila anayepata elimu anaelimika na elimu inambadilisha zile tabia na mazoea yasiyo na tija yanakufa, anakuwa mtu mpya..tabia za ubinafsi, chuki kwa wengine, wivu, ushirikina, kujiona bora kuliko wengine, kiburi na dharau nk Tanzania ina watu wachache sana walioelimika, wengi wamekusanya vyeti tu..maarifa ZERO! bahati mbaya sana watu wa aina hii ndiyo wapo TISS, kugeuza hali hii inahitaji nguvu ya wananchi kupitia sanduku la kura ili wpatikane wawakilishi walioelimika waanze kuweka misingi upya hasa kwenye maeneo strategic kama wizara ya Elimu, wizara ya fedha, TISS nk elimu yetu ndio chimbuko la yote haya, nilitarajia waziri wa elimu alete mabadiliko ya msingi kwenye elimu yetu badala ya kukimbizana na ishu ambazo mtu yeyote hata mwenye elimu ya darasa la saba anaweza kuzifanya..kwa mfano bado ni sahihi kuchagua maeneo ya fani kama sheria, elimu, uhandisi, mambo ya jamii nk kwa ngazi ya chuo kikuu kwa kutizama ufaulu wa kidato cha sita..nadhani ufaulu wa kwenye makaratasi ni kitu kidogo sana kupima uwezo wa mtu husika kwenye jambo fulani, wengine walishaacha mfumo huu, kwa nini kuchagua mtu kwa matokeo ambayo si yako..mfano mwingine, hao TISS kila anapokuja Rais mpya nilitarajia wao wasaidie kuweka mazingira mazuri kimuundo hasa kwenye kubuni wizara kulingana na mabadiliko yanayoathiri utendaji wa wizara zetu, sikutarajia wakati Rais huyu anaanza kuwe na wizara ya VIWANDA, BIASHARA NA UWEKEZAJI kama wizara moja, ukipima mambo hayo 3 kila moja linaweza kuwa wizara peke yake..lakini kwa vile wahusika wanafanya kwa mazoea na pengine hawataki kufikiri zaidi ya wanachokijua na kukiona tunaishia kuja kulaumu Mwijage, mara Kakunda, hata huyu kijana aliyepo hamna analofanya, tatizo si yeye, tatizo ni waliounda hiyo wizara, msimamizi anataka wizara ifanye anayotarajia, waliomsaidia kuiunda wizara walipishana na vision yake kwa wizara hii..unadhani tutatoka hapo, thubutu! Tutatue tatizo la msingi kwanza ELIMU, tufanye elimu yet itubadilishe, itufanye tuwe na kiu ya kujifunza mambo mapya, kusoma vitabu, kufahamu matatizo yetu na kuleta majibu nk not business as usual au nikipata kazi basi ndio nimefika, dont need more! nabaki kuwa KEEPER hadi nistaafu, hilo siyo lengo la ELIMU!Watu Kama wewe wako wengi sana nchini , watu wanao chambua sekta moja moja kuwa ndio tatizo linalosababisha kuwa hapa tulipo Kama taifa. Haujakosea ,Ila ulichoandika ni sehemu tu ya tatizo ,hebu jaribu kujiuliza sisi kama taifa lenye karibu kila kitu tumefanikiwa japo nini kwa mfano? Je tumefanikiwa ikatika elimu? Afya? Au miundo mbinu ?? Jibu utakuta ni hapana hatujafanikiwa lolote si kilimo, si afya ,si elimu, siuchimbaji wa madini au japo michezo. Ni kama mwanafunzi mwenye uwezo wa kupata 90% anapata 10,12 nk
Kwa hiyo tatizo si TISS pekee. Tatizo ni kubwa zaidi ya TISS. Mfano rahisi, ukiwa na mfumo Wa elimu duni, je utapata TISS yenye weledi? Tatizo ni kubwa hata kuwepo tu Kwa sisi Kama Tanzania ni Tatizo,ongeza uasisi Wa taifa lenyewe , misingi yake, male go yetu Kama taifa nk nk....itaendelea
Pamoja na yote yaliyojadiliwa na wachangiaji kwenye Uzi huu, pia kama taifa tunahitaji kupitia upya malengo ya mfumo wa vyama vingi kwa masilahi mapana ya nchi. Kwani sijui kama taifa tulipoanzisha/tulolipoingia kwenye mfumo huu tulidhamiria nn kama taifa, kwani Leo mfumo huu unajenga chuki kati chama kilicho madarakani na vyama vingine.Ngoja tuone kama na yeye atatenda kazi yake kwa weledi, au na yeye atageuzwa kulea kundi la watu wasiojulikana.
Pamoja na yote yaliyojadiliwa na wachangiaji kwenye Uzi huu, pia kama taifa tunahitaji kupitia upya malengo ya mfumo wa vyama vingi kwa masilahi mapana ya nchi. Kwani sijui kama taifa tulipoanzisha/tulolipoingia kwenye mfumo huu tulidhamiria nn kama taifa, kwani Leo mfumo huu unajenga chuki kati chama kilicho madarakani na vyama vingine.
Jambo hili lina zaa ukanda, uchama na hata ukabila.
Leo kuna watu wanajiona ndio watanzania zaidi ya wengine wakati kuna wengine wana omba mabaya juu nchi hii.
Ushahidi mdogo tu ni maana ya neno Uzalendo, kila mtanzania ana maana tofauti na mwingine. Ikitegemea unatoka / unashabikia chama gani.
Mkuu kamati ya bunge tena? Hapo sipo pamoja na wewe mkuu,kwa wapunge hawa hawa dizaini ya hakina Msigwa, na Msukuma au wabunge gani mkuu?Naendelea.
Baada ya kupitia upya sheria ya usalama wa taifa.
Sheria itafanyiwa marekebisho na ufahamike wazi kwamba TISS ipo kwa ajili ya kulinda demokrasia ya bunge ikiwemo haki ya wabunge kupinga uteuzi wa mkurugenzi mkuu endapo itaonekana hana sifa.
Pia TISS inalinda maslahi ya taifa kiuchumi, kiutamaduni na kisiasa pamoja na kukabiliana na vitendo cha kigaisi, ujasusi wa kimataifa na uhujumu uchumi.
Mapendekezo ya Muundo mpya wa TISS na idara zake muhimu chini yake.
Kama nilivyosema hapo awali TISS ni Usalama wa taifa yaani National Security Organization/ Agency ambayo inaongozwa na mkurugenzi mkuu.
Naibu mkurgenzi yeye atashughulikia idara zingine khasa ya nje kwenye mabalozi, upelelezi wa ndani yaani domestic Surveillance na kuhudhuria vikao vya kamati za usalama zote za wiyala na mikoa.
TISS iwe inasimamiwa shughuli zake kwa ukaribu na kamati ya bunge la JMT ya U;inzi na Usalama na iwe inaangaliwa kwa jicho kali kwenye bajeti yake, shughuli zake na hata utaratibu wake wa kuajiri watumishi wake.
Kwa kuwa kamati ya Bunge inajumuisha wabunge kutoka vyama vyote hapo tayari ushiriki wao kuikosoa TISS unakuwa umekamilika yaani "accomplished".
Ntaendelea.
Yerricko ni shujaa ! ana akili kuliko viongozi wote waliowahi kuwepo na waliopo .OK kwa hiyo unashauri tukisome vizuri kitabu cha Yerico Nyerere
Yeriko Nyerere ameyaandika hayo yote kwenye kitabu chake
Mkuu umewahi kukisoma kitabu cha ujasusi cha Yeriko
Angeruhusu ningekipandisha hapa Jukwaani ni kitabu kizuri sana
Try to read, Soma page zinazokuhusu kila kitu kipo kwenye kitabu
Mkuu kamati ya bunge tena? Hapo sipo pamoja na wewe mkuu,kwa wapunge hawa hawa dizaini ya hakina Msigwa, na Msukuma au wabunge gani mkuu?
Binafsi Tiss iwe inafanya kazi zake kwa siri kama ilivyo sasa ila kuwe na maboresho kwenye utendaji iwe inaendana sawa na mabadiliko ya kisasa kabisa na recruitment isiwe na upendeleo
Nimeshakuona wewe si size yangu, kuendelea kujibizana na wewe najishushia heshima yangu bure, tazama usivyojua lolote eti ni mabadiliko ya Teknolojia, haya hebu tuonyeshe viwanda vyenye Teknolojia vilivyopo Tanzania, juha kweli wewe.Ndio unasema uko nje? Viwanda vilikufa sababu ya mabadiliko ya teknolojia wewe.Na SI Tanzania tu viwanda vingi Hadi ulaya viko kibao vilivukufa kwa manlbadiliko ya teknolojia mfano zamani kulikuwa na kampuni.zinatengeneza nyaya za simu na vikombe vya Kufunga kwenye nguzo za simu zilipokuja simu za mkononi viwanda vya nyaya za simu vikafa kifo Cha mende.Eti TISS waliua stupid.Kubadilika teknolojia kumeua viwanda kibao dunia nzima Sio Tanzania tu
Mkuu suala la kuitwa kwenye kamati ya bunge kujielezea halafu majibu yanatoka hadharani au kimya kimya?Nikisema kamati ya bunge simaanishi kwamba kamati hiyo inakuwa ikiifuatilia TISS kwa kila ikifanyacho, Hapana.
Namaanisha kwamba endapo kunatokea sintofahamu khasa inayohusiana na matukio ambayo yanahusishwa na "watu wasokulikana", basi kamati inamuita DG ajieleze mbale yake ili kupata facts nini kimetokea.
Namaanisha kwamba idara ya operesheni iwe inafuata misingi ya kazi yake na maofisa wake wawe wanawajibishwa endapo itagundulika wamevunja sheria kwa makusudi.
Lakini hiyo haimaanishi kwamba kwenye kulinda maslahi ya taifa sheria hizohizo zizingatiwe jambo ambalo hata Marekani au nchi zingine kama Saudi Arabia huwa hawalizingatii.
Watumishi wengi ukiachana na walimu wamekuwa wakitumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakichati na wengine wakirusha picha kwenye status za WhatsApp.
Wengine utawakuta Instagram, mara Facebook huo ni muda wa kazi .
Sasa unabaki kujiuliza hivi huyu mtumishi anafanya kazi muda gani?
Na hawa ndio ikifika may mosi wananyanyua mabango wakidai kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kudai allowance mbali mbali zikiwemo house allowance, communication allowance, electricity allowance n.k.
Namshauri yafuatayo Mzee wetu mzalendo nambari moja Dr Magufuli.
1. Tathimini ya kina ifanyike kwa watumishi wote wa umma kama kweli wanalipwa mshahara kulingana na majukumu yao.
2. OPRAS ya makaratasi iliyopo sasa ifanyiwe maboresho na iwe ya ki electronics ambayo mtumishi ataweza kujaza majukumu yake tarajiwa kwa mwaka wa fedha husika, utekelezaji wa majukumu kwa siku, kwa mwezi,kwa robo mwaka na hadi mwaka. ( hii itasaidia kujua uhaliasia wa mipango inayopangwa).
3.OPRAS iunganishwe na mifumo ya ya bajeti ya Serikali kuu na Serikali za mitaa ( mifumo iwasiliane).
4. Faida ya kuwa na electronic OPRAS itasaidia kutrack add hoc overtime vile vile kutrack extra duties zisizokuwa na uhalisia ambazo mara nyingi utakuta mtumishi anazidai kwa justification za uongo.
5. Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya viongozi kupewa communication allowance kila mwezi lakini hawazitumii ipasavyo badala yake maafisa na watumishi wa kada za chini wasiopewa hizo fedha hutumia fedha zao kuwasiliana ( kuratibu) na watumishi wenzao pindi wanapohitaji kujua mambo kadhaa. Kuna haja ya Serikali kuweka system ya kutrack matumizi halisi ya hizi fedha za mawasiliano Kwa wakuu wa idara.
6. Na mwisho kabisa nimpongeze mh Rais wetu Dr Magufuli kwa maamuzi yake ya kishujaa aliyofanya kwa kutujengea sisi watanzania wa hali ya chini hospitali za wilaya zaidi ya 60 na vituo vya afya na zahanati nyingi ndani ya miaka 4. Tena kwa fedha za ndani. Fedha ambazo zilikuwa zikipotea kwa udanganyifu mbali mbali.
Karibu kwa machango wenu wa kujenga tu na sio matusi .
Mkuu suala la kuitwa kwenye kamati ya bunge kujielezea halafu majibu yanatoka hadharani au kimya kimya?
Binafsi naona kuwe na kamati active ya usalama wa taifa inaweza ikawa chini ya wastaafu waliopita kwenye idara au vyombo vya ulinzi na usalama na lengo kubwa kufuatilia, kushauri na kupendekeza mwenendo mzima wa idara mkuu.
Mwisho TISS sio totally mbaya kabisa ila kuna baadhi ya amendment yanatakiwa yafanyike ili tuende kisasa kabisa.
Watumishi lazima wakuchukie kwa uliyoyaandika ni wote ni sahihiWatumishi wengi ukiachana na walimu wamekuwa wakitumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakichati na wengine wakirusha picha kwenye status za WhatsApp.
Wengine utawakuta Instagram, mara Facebook huo ni muda wa kazi .
Sasa unabaki kujiuliza hivi huyu mtumishi anafanya kazi muda gani?
Na hawa ndio ikifika may mosi wananyanyua mabango wakidai kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kudai allowance mbali mbali zikiwemo house allowance, communication allowance, electricity allowance n.k.
Namshauri yafuatayo Mzee wetu mzalendo nambari moja Dr Magufuli.
1. Tathimini ya kina ifanyike kwa watumishi wote wa umma kama kweli wanalipwa mshahara kulingana na majukumu yao.
2. OPRAS ya makaratasi iliyopo sasa ifanyiwe maboresho na iwe ya ki electronics ambayo mtumishi ataweza kujaza majukumu yake tarajiwa kwa mwaka wa fedha husika, utekelezaji wa majukumu kwa siku, kwa mwezi,kwa robo mwaka na hadi mwaka. ( hii itasaidia kujua uhaliasia wa mipango inayopangwa).
3.OPRAS iunganishwe na mifumo ya ya bajeti ya Serikali kuu na Serikali za mitaa ( mifumo iwasiliane).
4. Faida ya kuwa na electronic OPRAS itasaidia kutrack add hoc overtime vile vile kutrack extra duties zisizokuwa na uhalisia ambazo mara nyingi utakuta mtumishi anazidai kwa justification za uongo.
5. Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya viongozi kupewa communication allowance kila mwezi lakini hawazitumii ipasavyo badala yake maafisa na watumishi wa kada za chini wasiopewa hizo fedha hutumia fedha zao kuwasiliana ( kuratibu) na watumishi wenzao pindi wanapohitaji kujua mambo kadhaa. Kuna haja ya Serikali kuweka system ya kutrack matumizi halisi ya hizi fedha za mawasiliano Kwa wakuu wa idara.
6. Na mwisho kabisa nimpongeze mh Rais wetu Dr Magufuli kwa maamuzi yake ya kishujaa aliyofanya kwa kutujengea sisi watanzania wa hali ya chini hospitali za wilaya zaidi ya 60 na vituo vya afya na zahanati nyingi ndani ya miaka 4. Tena kwa fedha za ndani. Fedha ambazo zilikuwa zikipotea kwa udanganyifu mbali mbali.
Karibu kwa machango wenu wa kujenga tu na sio matusi .
Kwann kwenye mada zenye akili wewe unaleta upumbafu wako?Watumishi wengi ukiachana na walimu wamekuwa wakitumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakichati na wengine wakirusha picha kwenye status za WhatsApp.
Wengine utawakuta Instagram, mara Facebook huo ni muda wa kazi .
Sasa unabaki kujiuliza hivi huyu mtumishi anafanya kazi muda gani?
Na hawa ndio ikifika may mosi wananyanyua mabango wakidai kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kudai allowance mbali mbali zikiwemo house allowance, communication allowance, electricity allowance n.k.
Namshauri yafuatayo Mzee wetu mzalendo nambari moja Dr Magufuli.
1. Tathimini ya kina ifanyike kwa watumishi wote wa umma kama kweli wanalipwa mshahara kulingana na majukumu yao.
2. OPRAS ya makaratasi iliyopo sasa ifanyiwe maboresho na iwe ya ki electronics ambayo mtumishi ataweza kujaza majukumu yake tarajiwa kwa mwaka wa fedha husika, utekelezaji wa majukumu kwa siku, kwa mwezi,kwa robo mwaka na hadi mwaka. ( hii itasaidia kujua uhaliasia wa mipango inayopangwa).
3.OPRAS iunganishwe na mifumo ya ya bajeti ya Serikali kuu na Serikali za mitaa ( mifumo iwasiliane).
4. Faida ya kuwa na electronic OPRAS itasaidia kutrack add hoc overtime vile vile kutrack extra duties zisizokuwa na uhalisia ambazo mara nyingi utakuta mtumishi anazidai kwa justification za uongo.
5. Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya viongozi kupewa communication allowance kila mwezi lakini hawazitumii ipasavyo badala yake maafisa na watumishi wa kada za chini wasiopewa hizo fedha hutumia fedha zao kuwasiliana ( kuratibu) na watumishi wenzao pindi wanapohitaji kujua mambo kadhaa. Kuna haja ya Serikali kuweka system ya kutrack matumizi halisi ya hizi fedha za mawasiliano Kwa wakuu wa idara.
6. Na mwisho kabisa nimpongeze mh Rais wetu Dr Magufuli kwa maamuzi yake ya kishujaa aliyofanya kwa kutujengea sisi watanzania wa hali ya chini hospitali za wilaya zaidi ya 60 na vituo vya afya na zahanati nyingi ndani ya miaka 4. Tena kwa fedha za ndani. Fedha ambazo zilikuwa zikipotea kwa udanganyifu mbali mbali.
Karibu kwa machango wenu wa kujenga tu na sio matusi .
Sasa kama ni mabadiliko ya teknolojia ina maana TISS walikua wapi wasishauri ili kunusuru hivyo viwanda?Ndio unasema uko nje? Viwanda vilikufa sababu ya mabadiliko ya teknolojia wewe.Na SI Tanzania tu viwanda vingi Hadi ulaya viko kibao vilivukufa kwa manlbadiliko ya teknolojia mfano zamani kulikuwa na kampuni.zinatengeneza nyaya za simu na vikombe vya Kufunga kwenye nguzo za simu zilipokuja simu za mkononi viwanda vya nyaya za simu vikafa kifo Cha mende.Eti TISS waliua stupid.Kubadilika teknolojia kumeua viwanda kibao dunia nzima Sio Tanzania tu
Kwa vyote vyote vile hii taasisi inatakiwa iwe huru haraka iwezekanavyo, haijalishi kama wabunge watahusika ama lahaTatizo wabunge wanakosa nguvu za kuibana TISS kwakuwa unakuta wabunge wengi wameingia kwa kubaka box la kura na hao TISS wanajua. Sasa kama wabunge wengi wanaingia kwa hujuma na rais naye anaingia madarakani kwa utata, hapo unategemea kuwa na TISS imara?
Jombaa Nadhani wewe ndio unayepaswa kutumia akili zako timamu kama kweli unazo(maana hizi ulizotumia kuandika hapa ni za chooni) walau kidogo.hahahahahahahaha jomba umenifanya nicheke sana..utafananishaje nchi ya dunia ya kwanza na dunia ya tatu..hivi unajitambua kweli..au kwa sababu unaona.mnalala nao mnawaoa na kuolewa nao mnajiona mko sawa..la hasha jomba..naomba ujue kuwa hata uingereza walivyokuwa kwenye transition period kipindi kama cha kwetu sasa , nao wali behave same way..iangalie uingereza wakati.ikiwa third world.country and not first world country..tumieni walau basi chembe tu ya akili zenu
Na hivi ndivyo inavyotakiwa.Nchi Zilizoendelea kama marekani FBI na CIA zina nguvu kuliko Rais. Anapopata Urais wanamfundisha kazi, kanuni, taratibu, miiko ma mipaka. Wanamuambia nini anaweza kufanya nini hawezi au haruhusiwi kufanya. Wanaweza kumchunguza na kumhoji. Wao wanampa ripoti na maelekezo zaidi ya yeye anavyowapa ripoti na maelekezo. Yeye anawategemea wao zaidi kuliko wao wanavyomtegemea yeye. Kuna vingi hua wanamkatalia wanamuambia HILO HAPANA MZEE
Pamoja na yote yaliyojadiliwa na wachangiaji kwenye Uzi huu, pia kama taifa tunahitaji kupitia upya malengo ya mfumo wa vyama vingi kwa masilahi mapana ya nchi. Kwani sijui kama taifa tulipoanzisha/tulolipoingia kwenye mfumo huu tulidhamiria nn kama taifa, kwani Leo mfumo huu unajenga chuki kati chama kilicho madarakani na vyama vingine.
Jambo hili lina zaa ukanda, uchama na hata ukabila.
Leo kuna watu wanajiona ndio watanzania zaidi ya wengine wakati kuna wengine wana omba mabaya juu nchi hii.
Ushahidi mdogo tu ni maana ya neno Uzalendo, kila mtanzania ana maana tofauti na mwingine. Ikitegemea unatoka / unashabikia chama gani.
Mkuu suala la kuitwa kwenye kamati ya bunge kujielezea halafu majibu yanatoka hadharani au kimya kimya?
Binafsi naona kuwe na kamati active ya usalama wa taifa inaweza ikawa chini ya wastaafu waliopita kwenye idara au vyombo vya ulinzi na usalama na lengo kubwa kufuatilia, kushauri na kupendekeza mwenendo mzima wa idara mkuu.
Mwisho TISS sio totally mbaya kabisa ila kuna baadhi ya amendment yanatakiwa yafanyike ili tuende kisasa kabisa.