Part 2: TISS bado safari ngumu

Part 2: TISS bado safari ngumu

Wiki hii TISS imetrend, boss mpya, wa zamani etc

Kwani TISS ina kazi gani hasa na nini tofauti yake na polisi na wanajeshi wanaolinda usalama wetu raia.

Ushauri ni kwamba sheria inayounda TISS ipitiwe upya na ikiwezekana kuwe na sheria mpya kabisa ya kuundwa kwa idara hii na vitengo vingine ndani yake vitakavyokuwa na majukumu tofauti ya TISS.

Yaani: TISS ni Usalama wa taiifa chini ya mkurugenzi wake mkuu na mitandao yake yote nchi nzima.

Mkurugenzi wake mkuu ateuliwe na raisi lakini aidhinishwe na Bunge kwa sababu katika nchi zingine huyu bosi ana level moja na waziri yoyote yule yaani anakaa kwenye kikao cha BLM.

Akiidhinishwa Bunge anakuwa amepitia chujio.

Huyu DG anakuwa kama inavyojulikana anatoa PDB (taarifa za kila siku) kwa raisi kila usubuhi na hii PDB huwa inatoka kwenye idara zote nchi nzima na hata nje.

Hivyo DG wa TISS anaiongoza na kuielekeza TISS kwenye masuala na mpango mzima wa Usalama wa Taifa na pia ni mshauri wa raisi kama nilivyosema hapo juu kuhusu PDB.

Itaendelea, ntaongelea mapendekezo ya TISS mpya na vitengo vyake kikiwemo kitengo cha ujasusi wa nje ya Tanzania , maana suala la kuzuiwa ndege yetu ya ATCL kule Afrika Kusini limetutia aibu sana.

Pia ntaongelea tofauti yake na polisi lakini uwiano wake wa kazi na JWTZ.

Pia ntaongelea nini maana ya jumuiya ya wanausalama na umuhimu kwake kwa taifa la Tanzania linaloelekea kwenye hatua ya kila mwananchi kupata maziwa na asali.
 
Watumishi wengi ukiachana na walimu wamekuwa wakitumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakichati na wengine wakirusha picha kwenye status za WhatsApp.
Wengine utawakuta Instagram, mara Facebook huo ni muda wa kazi .
Sasa unabaki kujiuliza hivi huyu mtumishi anafanya kazi muda gani?
Na hawa ndio ikifika may mosi wananyanyua mabango wakidai kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kudai allowance mbali mbali zikiwemo house allowance, communication allowance, electricity allowance n.k.

Namshauri yafuatayo Mzee wetu mzalendo nambari moja Dr Magufuli.

1. Tathimini ya kina ifanyike kwa watumishi wote wa umma kama kweli wanalipwa mshahara kulingana na majukumu yao.

2. OPRAS ya makaratasi iliyopo sasa ifanyiwe maboresho na iwe ya ki electronics ambayo mtumishi ataweza kujaza majukumu yake tarajiwa kwa mwaka wa fedha husika, utekelezaji wa majukumu kwa siku, kwa mwezi,kwa robo mwaka na hadi mwaka. ( hii itasaidia kujua uhaliasia wa mipango inayopangwa).

3.OPRAS iunganishwe na mifumo ya ya bajeti ya Serikali kuu na Serikali za mitaa ( mifumo iwasiliane).

4. Faida ya kuwa na electronic OPRAS itasaidia kutrack add hoc overtime vile vile kutrack extra duties zisizokuwa na uhalisia ambazo mara nyingi utakuta mtumishi anazidai kwa justification za uongo.

5. Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya viongozi kupewa communication allowance kila mwezi lakini hawazitumii ipasavyo badala yake maafisa na watumishi wa kada za chini wasiopewa hizo fedha hutumia fedha zao kuwasiliana ( kuratibu) na watumishi wenzao pindi wanapohitaji kujua mambo kadhaa. Kuna haja ya Serikali kuweka system ya kutrack matumizi halisi ya hizi fedha za mawasiliano Kwa wakuu wa idara.

6. Na mwisho kabisa nimpongeze mh Rais wetu Dr Magufuli kwa maamuzi yake ya kishujaa aliyofanya kwa kutujengea sisi watanzania wa hali ya chini hospitali za wilaya zaidi ya 60 na vituo vya afya na zahanati nyingi ndani ya miaka 4. Tena kwa fedha za ndani. Fedha ambazo zilikuwa zikipotea kwa udanganyifu mbali mbali.

Karibu kwa machango wenu wa kujenga tu na sio matusi .
Mimi nikupe pole sana..unaposema unamshukuru JPM kujenga hospitali sijui vituo vya Afya..Inaonyesha ujui kabisa kua ayo ni majukumu ya serikali kwa kutumia kodi za wananchi
 
Watumishi wengi ukiachana na walimu wamekuwa wakitumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakichati na wengine wakirusha picha kwenye status za WhatsApp.
Wengine utawakuta Instagram, mara Facebook huo ni muda wa kazi .
Sasa unabaki kujiuliza hivi huyu mtumishi anafanya kazi muda gani?
Na hawa ndio ikifika may mosi wananyanyua mabango wakidai kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kudai allowance mbali mbali zikiwemo house allowance, communication allowance, electricity allowance n.k.

Namshauri yafuatayo Mzee wetu mzalendo nambari moja Dr Magufuli.

1. Tathimini ya kina ifanyike kwa watumishi wote wa umma kama kweli wanalipwa mshahara kulingana na majukumu yao.

2. OPRAS ya makaratasi iliyopo sasa ifanyiwe maboresho na iwe ya ki electronics ambayo mtumishi ataweza kujaza majukumu yake tarajiwa kwa mwaka wa fedha husika, utekelezaji wa majukumu kwa siku, kwa mwezi,kwa robo mwaka na hadi mwaka. ( hii itasaidia kujua uhaliasia wa mipango inayopangwa).

3.OPRAS iunganishwe na mifumo ya ya bajeti ya Serikali kuu na Serikali za mitaa ( mifumo iwasiliane).

4. Faida ya kuwa na electronic OPRAS itasaidia kutrack add hoc overtime vile vile kutrack extra duties zisizokuwa na uhalisia ambazo mara nyingi utakuta mtumishi anazidai kwa justification za uongo.

5. Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya viongozi kupewa communication allowance kila mwezi lakini hawazitumii ipasavyo badala yake maafisa na watumishi wa kada za chini wasiopewa hizo fedha hutumia fedha zao kuwasiliana ( kuratibu) na watumishi wenzao pindi wanapohitaji kujua mambo kadhaa. Kuna haja ya Serikali kuweka system ya kutrack matumizi halisi ya hizi fedha za mawasiliano Kwa wakuu wa idara.

6. Na mwisho kabisa nimpongeze mh Rais wetu Dr Magufuli kwa maamuzi yake ya kishujaa aliyofanya kwa kutujengea sisi watanzania wa hali ya chini hospitali za wilaya zaidi ya 60 na vituo vya afya na zahanati nyingi ndani ya miaka 4. Tena kwa fedha za ndani. Fedha ambazo zilikuwa zikipotea kwa udanganyifu mbali mbali.

Karibu kwa machango wenu wa kujenga tu na sio matusi .
China mda wa kazi kuanzia saa 12 asubuhi huminya Mitandao mpaka saa 11 jioni baada ya mda wa kazi ndipo hulegeza kamba
 
Idara inakusanya taarifa zote muhimu na kuipatia serikali, shida ni utekelezaji hasa wa kifedha kwenye kuboresha baadhi ya mambo, mfano kushuka kwa bajeti kwenye taasisi nyingi kunazorotesha utoaji huduma
 
Idara inakusanya taarifa zote muhimu na kuipatia serikali, shida ni utekelezaji hasa wa kifedha kwenye kuboresha baadhi ya mambo, mfano kushuka kwa bajeti kwenye taasisi nyingi kunazorotesha utoaji huduma

Taasisi zipi kwa mfano na ni huduma zipi hizo?
 
Kitabu cha Yericko Nyerere ni kitabu bora sana. Sometimes nahisi kile kitabu kina influence na "internal" inputs

Sema baadhi ya scenarios ni vitu ambavyo vipo hata Wikipedia Kama vilivyo
 
Upo sahihi kabisa. Kuwa na TISS yenye ushabiki wa kisiasa, inayobagua wa kukamata, inayolinda uhalifu kisa wa watu fulani ni hatari kubwa kwa Nchi.
 
Tatizo ni wanasiasa kuingilia taasisi badala ya kuziache zifanye kazi zake kitalaamu.

Sio TISS tu ambayo ni tatizo/inalalamikiwa, bali hata vyombo kama Bunge,Mahakama na vinginevyo vingi navyo vinalalamikiwa kufanya kazi kwa kufuata matakwa ya wanasiasa badala ya weledi.
Kama inaweza kuingiliwa basi hiyo siyo taasisi.
 
OK kwa hiyo unashauri tukisome vizuri kitabu cha Yerico Nyerere

Yeriko Nyerere ameyaandika hayo yote kwenye kitabu chake

Mkuu umewahi kukisoma kitabu cha ujasusi cha Yeriko

Angeruhusu ningekipandisha hapa Jukwaani ni kitabu kizuri sana

Try to read, Soma page zinazokuhusu kila kitu kipo kwenye kitabu
Kiweke hapa.
 
Asante Richard for an eye opener. Please keep educating us on this when you get a chance hata kama ni kwa kufungua uzi mahususi kama haupo, mimi sijauona.
 
Mleta mada safi sana!
Umesaidia kurudisha mjadala mkali sana hapa JF juu ya TISS. Zamani pamewahi kuwekwa uzi hapa JF unaoitwa TISS must reform, nadhani huo mjadala lazima uendelee ili tupate Idara nzuri yenye kuweka mbele TAIFA na siyo CCM.

Mambo yaliyofanyika nchini katika miaka minne iliyopita yanasikitisha sana kwa kweli, watu kutekwa hovyo, kupotezwa hovyo, kupigwa risasi, watu wanaotumia uhuru wao wa kutoa maoni kuonekana ni wahaini, kusakwa na kupewa cha mtema kuni, kubambikizia kesi watu, kublackmail wafanyabiashara, kuwafungulia kesi watu za uhujumu uchumi kisha wakishafanya negotiations za pembeni wanaachiwa, Kuwanyima watu dhamana kwa kesi zenye dhamana ili kuwakomoa.

Imefikia hatua mtu kazini hata kama ana sifa za utendaji, weledi lakini hapenyi kwenye mchujo/vetting ili aweze kuteuliwa na mamlaka za uteuzi kwa ajili ya kulitumikia Taifa kwenye ngazi inayohitaji huduma yake eti kwa sababu ana mrengo tofauti wa kisiasa tofauti na chama tawala.
Hakuna kesi ya maana juu ya Mafisadi kwenye mahakama za mafisadi

TISS imeshindwa kuona kuwa Teuzi zenye muelekeo wa bias za UDINI na UKANDA zinaweza kuvuruga harmony ya Taifa na ndiyo maana wametumia nguvu nyingi mno kuirudishia hadhi mamlaka ya Uraisi la Sivyo kipindi cha 2016 June hadi mwezi July 2019 kilikuwa ni kipindi kigumu mno kwa Taasisi ya Uraisi kama mtu ni mfuatiliaji wa mambo basi bila shaka utakuwa umeliona hili!. It seems Pesa nyingi, Propaganda nyingi zimetumika ili kurejesha imani ya umma kwa Taasisi hii la sivyo huenda katika mazingira haya ambayo uchumi ni mbovu, ajira hakuna tungechanganya na watu kukosa imani na taasisi hii ya uraisi bila shaka nchi hii ingekuwa katika hali ngumu mno kiusalama!. Hii yote ilikuwa haina haja kama TISS ingekuwa inafanya calculation chanya kwenye kila decision yenye maslahi ya usalama wa nchi hii!. TISS yenye kuhusika kikamilifu kwenye Teuzi imake sure watu wanaotueliwa kuserve hii nchi wamebalance demography ya Taifa la sivyo kukosekana kwa balance ya aina hiyo ipo siku itabackfire tu kwa mtawala!
 
Idara ya usalama wa taifa, ndo idara nyeti,
Yaani idara ya usalama wa taifa ilishuhudia kabisa viwanda zaidi ya 400 alivyoacha Mwl Nyerere vikiuliwa,
Ndio unasema uko nje? Viwanda vilikufa sababu ya mabadiliko ya teknolojia wewe.Na SI Tanzania tu viwanda vingi Hadi ulaya viko kibao vilivukufa kwa manlbadiliko ya teknolojia mfano zamani kulikuwa na kampuni.zinatengeneza nyaya za simu na vikombe vya Kufunga kwenye nguzo za simu zilipokuja simu za mkononi viwanda vya nyaya za simu vikafa kifo Cha mende.Eti TISS waliua stupid.Kubadilika teknolojia kumeua viwanda kibao dunia nzima Sio Tanzania tu
 
Tatizo ni wanasiasa kuingilia taasisi badala ya kuziache zifanye kazi zake kitalaamu.

Sio TISS tu ambayo ni tatizo/inalalamikiwa, bali hata vyombo kama Bunge,Mahakama na vinginevyo vingi navyo vinalalamikiwa kufanya kazi kwa kufuata matakwa ya wanasiasa badala ya weledi.
Ila Rais kikwetu ndio Muasisi wa kuuwa Institutions Muhimunza Serekali.
 
Watumishi wengi ukiachana na walimu wamekuwa wakitumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii wakichati na wengine wakirusha picha kwenye status za WhatsApp.
Wengine utawakuta Instagram, mara Facebook huo ni muda wa kazi .
Sasa unabaki kujiuliza hivi huyu mtumishi anafanya kazi muda gani?
Na hawa ndio ikifika may mosi wananyanyua mabango wakidai kuongezewa mishahara na kupandishwa madaraja na kudai allowance mbali mbali zikiwemo house allowance, communication allowance, electricity allowance n.k.

Namshauri yafuatayo Mzee wetu mzalendo nambari moja Dr Magufuli.

1. Tathimini ya kina ifanyike kwa watumishi wote wa umma kama kweli wanalipwa mshahara kulingana na majukumu yao.

2. OPRAS ya makaratasi iliyopo sasa ifanyiwe maboresho na iwe ya ki electronics ambayo mtumishi ataweza kujaza majukumu yake tarajiwa kwa mwaka wa fedha husika, utekelezaji wa majukumu kwa siku, kwa mwezi,kwa robo mwaka na hadi mwaka. ( hii itasaidia kujua uhaliasia wa mipango inayopangwa).

3.OPRAS iunganishwe na mifumo ya ya bajeti ya Serikali kuu na Serikali za mitaa ( mifumo iwasiliane).

4. Faida ya kuwa na electronic OPRAS itasaidia kutrack add hoc overtime vile vile kutrack extra duties zisizokuwa na uhalisia ambazo mara nyingi utakuta mtumishi anazidai kwa justification za uongo.

5. Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya viongozi kupewa communication allowance kila mwezi lakini hawazitumii ipasavyo badala yake maafisa na watumishi wa kada za chini wasiopewa hizo fedha hutumia fedha zao kuwasiliana ( kuratibu) na watumishi wenzao pindi wanapohitaji kujua mambo kadhaa. Kuna haja ya Serikali kuweka system ya kutrack matumizi halisi ya hizi fedha za mawasiliano Kwa wakuu wa idara.

6. Na mwisho kabisa nimpongeze mh Rais wetu Dr Magufuli kwa maamuzi yake ya kishujaa aliyofanya kwa kutujengea sisi watanzania wa hali ya chini hospitali za wilaya zaidi ya 60 na vituo vya afya na zahanati nyingi ndani ya miaka 4. Tena kwa fedha za ndani. Fedha ambazo zilikuwa zikipotea kwa udanganyifu mbali mbali.

Karibu kwa machango wenu wa kujenga tu na sio matusi .

Nchi hii inakufa kutokana na kuwepo KWA watu wengi sana wenye mawazo kama yako.
Jamani, tushirikiane ili kuinusuru nchi hii.
 
Back
Top Bottom