Parking at your own risk

Parking at your own risk

Wanawake sisi ni mafala sana.Jana nimeona wamama kwenye group la whatsup wanagiza dawa za kupunguza papuchi eti.Mara ya kwanza muuzaji alikuwa anauza vistick , mara bange ,mara asali sasa hivi kabadili anauza vidonge.
Nimeshangaa sana kwanini wanawake tujitese kuweka vitu ukeni eti ili uwe mtamu.bora hata wangesema ya kukufanya usikie utamu
Wewe inakuhusu nini kama ni kubwa au sio tamu.huyo mlaji kama hataki aache.mambo ya kuleteana maradhi jamani kisa kumplease mtu tuache.
Wanaume mnapotufata mjue park at your own risk mazee.
Na sisi wanawake tuache kutembea na wanaume wengi.Leo upo na muhongo wa kisukuma.kesho akikutaka mchaga na kidot.com chake unadhani patamtosha kweli?
Tutulie


Sent using Jamii Forums mobile app
ina maana wachaga wana vidoti com? watake radhi mkuu

nimecheka sana jaman loooh
 
Wanawake sisi ni mafala sana.Jana nimeona wamama kwenye group la whatsup wanagiza dawa za kupunguza papuchi eti.Mara ya kwanza muuzaji alikuwa anauza vistick , mara bange ,mara asali sasa hivi kabadili anauza vidonge.
Nimeshangaa sana kwanini wanawake tujitese kuweka vitu ukeni eti ili uwe mtamu.bora hata wangesema ya kukufanya usikie utamu
Wewe inakuhusu nini kama ni kubwa au sio tamu.huyo mlaji kama hataki aache.mambo ya kuleteana maradhi jamani kisa kumplease mtu tuache.
Wanaume mnapotufata mjue park at your own risk mazee.
Na sisi wanawake tuache kutembea na wanaume wengi.Leo upo na muhongo wa kisukuma.kesho akikutaka mchaga na kidot.com chake unadhani patamtosha kweli?
Tutulie


Sent using Jamii Forums mobile app
JF uwanja wa fujo, nikitoka kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate huwa sipendi kuimisi maana ni free zone stress. Umenena vyema waelimishe bure dada zetu maana sisi wanaume hatutabiriki mkizifanya zote zikawa tamu kesho tunahitaji zenye uchachu...mnaanza kutafuta vidonge vya kuzichachua ...hatimaye magonjwa yasiyo tibika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana sijategemea nitaulizwa hivyo
Ya msukuma au ya dudu!?..
 
Kwenye nyuzi zenu hapa JF siku hizi mnatuandama sana wachaga. Juzi imeibiwa gari watu wakasema ni sisi bila kuwa na ushahidi.

Leo eti wachaga kidot com. Kwani hao akina lembebez ni wachaga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana sijategemea nitaulizwa hivyo
[emoji2][emoji2] nitakutumia ya dudu basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom