Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,702
- 14,137
dogo Qur'an inasema wanaume wanang'a kama Pearl, hao si wanaume wa duniani dogo. Kule Peponu hakuna wabaya, wanaume na wanawake wote ni wazuri tu. Hata wewe ukipata chance ya kuingia peponi utakuwa mzuri tu una nga'a kama lulu sa kosa liko wapi. We uliwahi kusikia kisa cha Nabii Yousuf au hujakisikia. Kasome Qur'an sura ya Yousufu utafahamu mana ya mwanaume mzuri anavutia, sio lazima awe shoga. Nabii Yousufu alikuwa anavutia na hakuwa shoga.Quran inasema hao wavulana wanang'aa kama Pearl, pia hawazeeki, huo si Ushoga mbinguni?
Kuhusu ubakaji wa watoto kwa mapadre, hiyo ni dhambi kama dhambi nyingine, ndio maana hapa TZ waalimu wa madrasa wanaongoza kwa kubaka watoto