FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Surah 5:51 Inapingana na hayo mafundisho yenu, ni unafiki tu, mbona tayari mmechoma makanisa zaidi ya 30 hapa TZ bila kosa la maana?
Hii hapa tena nakuwekea tena ya Kiswahili ili usipate tabu, nini hapa kinapingana?
Qur'an 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.