Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,809
- 145,642
Hilo ni swali tofauti ambalo jibu lake linafanyiwa kazi bado, lakini si Mungu huyo.Sasa sisi viumbe hai tumetoka wapi?
Tunaweza kujua jibu fulani si sahihi hata bila kujua jibu sahihi ni lipi, kama vile tunavyoweza kujua 10 si square root ya 2 hata bila kujua square root ya 2 ni nini.
Ungeumbwa na Mungu huyo usingepewa adhabu ya kunya karibu kila siku.
