Pamoja na Serikali kuruhusu usafiri saa 24, wapo wafanyabiashara na watendaji wa serikali wanapanga kukwamisha utaratibu huu; tuwapige vita

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,123
Serikali imefanya jambo jema sana kuruhusu safari masaa 24, matumizi ya gari ndogo na Costa kupakia abiria usiku, matumizi ya magari ya magazeti na IT kutumika kubeba abiria yamepungua na sasa watu wanasafiri salama na mabasi yaliyoruhusiwa

Kutokana na ubora wa mabasi yanayotumika sasa huko mikoani ni vigumu trafiki kunufaika na Tozo za uchakavu.. kutokana na ruhusa iliyotolewa ni vigumu kwa beria zilizowekwa barabarani kuendelea kuzuia magari wakisubiri kupewa rushwa ndipo watu waendelee na safari.

Magari aina ya Costa yaliyonunuliwa na matajiri kufanya biashara usiku yanakosa trip kwa sasa, kuna magari ya IT yalikuwa na utaratibu wa kutake opportunity ya usafiri wa usiku huku yakiwa siyo Bora kwa kazi hiyo. Haya yote yalikuwa yanafanyika kimagendo na watumishi walikuwa wananufaika.

Utaratibu mpya umeondoa kabisa vizuizi vya barabarani vilivyolenga kukusanya rushwa, umeondoa waliokuwa wananufaika na biashara ya usafirishaji abiria usiku bila leseni nk

Kutokana na kukatika kwa vyanzo vya rushwa wapo watu wameanzisha kampeni yakipiga marufuku utaratibu huu. Wana nguvu na wanaanza kutumia vyombo vya habari kuonyesha kusafiri usiku ni hatari ili turudi kusafiri mwisho saa sita. Watu hawa wapigwe vita.

Nipendekeze twende next stage kwa kuruhusu masoko makubwa kama Kariakoo yaanze kufanya kazi 24 hrs Hii itasaidia sana kufungua nchi kiuchumi.

Naamini idadi ya wageni wanaoingia nchini imeongezeka baada ya kuruhusu magari 24 hrs, watu wanachotaka sasa nikuwezeshwa kununua na kuuza masaa 24 ili kuendana na kasi ya mabadiliko duniani.

Nchi ipo salama turuhusu watu watafute uchumi wao 24 kwa kufungua sekta nyingi zifanye kazi kwa shifti...........kadri tutakavyo ruhusu 24 hrs ndivyo tutaongeza ulinzi wa nchi na kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Mabasi yatakuwa na madereva wawili wawili, bajaji na bodaboda zitaendeshwa kwashifti, biashara zitasimamiwa kwa shifti na hivyo waajiriwa wataongezeka, askari wataingia kwa shifti na sekta nyingine zote human resource itakuwa double. Let us wake up

Kwa upande wa Zanzibar itaondoa utaratibu uliopo sasa kwamba boti mwisho saa kumi badala yake zitakuwepo boti za usiku na hivyo nchi itafunguka kumuungano zaidi
 
Serikali imefanya jambo jema sana kuruhusu safari masaa 24, matumizi ya gari ndogo na Costa kupakia abiria usiku, matumizi ya magari ya magazeti na IT kutumika kubeba abiria yamepungua na sasa watu wanasafiri salama na mabasi yaliyoruhusiwa

Kutokana na ubora wa mabasi yanayotumika sasa huko mikoani ni vigumu trafiki kunufaika na Tozo za uchakavu.. kutokana na ruhusa iliyotolewa ni vigumu kwa beria zilizowekwa barabarani kuendelea kuzuia magari wakisubiri kupewa rushwa ndipo watu waendelee na safari.

Magari aina ya Costa yaliyonunuliwa na matajiri kufanya biashara usiku yanakosa trip kwa sasa, kuna magari ya IT yalikuwa na utaratibu wa kutake opportunity ya usafiri wa usiku huku yakiwa siyo Bora kwa kazi hiyo. Haya yote yalikuwa yanafanyika kimagendo na watumishi walikuwa wananufaika.

Utaratibu mpya umeondoa kabisa vizuizi vya barabarani vilivyolenga kukusanya rushwa, umeondoa waliokuwa wananufaika na biashara ya usafirishaji abiria usiku bila leseni nk

Kutokana na kukatika kwa vyanzo vya rushwa wapo watu wameanzisha kampeni yakipiga marufuku utaratibu huu. Wana nguvu na wanaanza kutumia vyombo vya habari kuonyesha kusafiri usiku ni hatari ili turudi kusafiri mwisho saa sita. Watu hawa wapigwe vita.

Nipendekeze twende next stage kwa kuruhusu masoko makubwa kama Kariakoo yaanze kufanya kazi 24 hrs Hii itasaidia sana kufungua nchi kiuchumi.

Naamini idadi ya wageni wanaoingia nchini imeongezeka baada ya kuruhusu magari 24 hrs, watu wanachotaka sasa nikuwezeshwa kununua na kuuza masaa 24 ili kuendana na kasi ya mabadiliko duniani.

Nchi ipo salama turuhusu watu watafute uchumi wao 24 kwa kufungua sekta nyingi zifanye kazi kwa shifti...........kadri tutakavyo ruhusu 24 hrs ndivyo tutaongeza ulinzi wa nchi na kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Mabasi yatakuwa na madereva wawili wawili, bajaji na bodaboda zitaendeshwa kwashifti, biashara zitasimamiwa kwa shifti na hivyo waajiriwa wataongezeka, askari wataingia kwa shifti na sekta nyingine zote human resource itakuwa double. Let us wake up

Kwa upande wa Zanzibar itaondoa utaratibu uliopo sasa kwamba boti mwisho saa kumi badala yake zitakuwepo boti za usiku na hivyo nchi itafunguka kumuungano zaidi
Bar ziwe wazi masaa 24 pia. Hii kitu itasaidia sana pia
 
Serikali imefanya jambo jema sana kuruhusu safari masaa 24, matumizi ya gari ndogo na Costa kupakia abiria usiku, matumizi ya magari ya magazeti na IT kutumika kubeba abiria yamepungua na sasa watu wanasafiri salama na mabasi yaliyoruhusiwa

Kutokana na ubora wa mabasi yanayotumika sasa huko mikoani ni vigumu trafiki kunufaika na Tozo za uchakavu.. kutokana na ruhusa iliyotolewa ni vigumu kwa beria zilizowekwa barabarani kuendelea kuzuia magari wakisubiri kupewa rushwa ndipo watu waendelee na safari.

Magari aina ya Costa yaliyonunuliwa na matajiri kufanya biashara usiku yanakosa trip kwa sasa, kuna magari ya IT yalikuwa na utaratibu wa kutake opportunity ya usafiri wa usiku huku yakiwa siyo Bora kwa kazi hiyo. Haya yote yalikuwa yanafanyika kimagendo na watumishi walikuwa wananufaika.

Utaratibu mpya umeondoa kabisa vizuizi vya barabarani vilivyolenga kukusanya rushwa, umeondoa waliokuwa wananufaika na biashara ya usafirishaji abiria usiku bila leseni nk

Kutokana na kukatika kwa vyanzo vya rushwa wapo watu wameanzisha kampeni yakipiga marufuku utaratibu huu. Wana nguvu na wanaanza kutumia vyombo vya habari kuonyesha kusafiri usiku ni hatari ili turudi kusafiri mwisho saa sita. Watu hawa wapigwe vita.

Nipendekeze twende next stage kwa kuruhusu masoko makubwa kama Kariakoo yaanze kufanya kazi 24 hrs Hii itasaidia sana kufungua nchi kiuchumi.

Naamini idadi ya wageni wanaoingia nchini imeongezeka baada ya kuruhusu magari 24 hrs, watu wanachotaka sasa nikuwezeshwa kununua na kuuza masaa 24 ili kuendana na kasi ya mabadiliko duniani.

Nchi ipo salama turuhusu watu watafute uchumi wao 24 kwa kufungua sekta nyingi zifanye kazi kwa shifti...........kadri tutakavyo ruhusu 24 hrs ndivyo tutaongeza ulinzi wa nchi na kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Mabasi yatakuwa na madereva wawili wawili, bajaji na bodaboda zitaendeshwa kwashifti, biashara zitasimamiwa kwa shifti na hivyo waajiriwa wataongezeka, askari wataingia kwa shifti na sekta nyingine zote human resource itakuwa double. Let us wake up

Kwa upande wa Zanzibar itaondoa utaratibu uliopo sasa kwamba boti mwisho saa kumi badala yake zitakuwepo boti za usiku na hivyo nchi itafunguka kumuungano zaidi
Umeweka dokezo zuri sana sana.

Serikali isirudi nyuma kukataza kusafiri usiku. Iboreshe miundombinu iendane na safari hizi za usiku na mchana
 
Serikali imefanya jambo jema sana kuruhusu safari masaa 24, matumizi ya gari ndogo na Costa kupakia abiria usiku, matumizi ya magari ya magazeti na IT kutumika kubeba abiria yamepungua na sasa watu wanasafiri salama na mabasi yaliyoruhusiwa

Kutokana na ubora wa mabasi yanayotumika sasa huko mikoani ni vigumu trafiki kunufaika na Tozo za uchakavu.. kutokana na ruhusa iliyotolewa ni vigumu kwa beria zilizowekwa barabarani kuendelea kuzuia magari wakisubiri kupewa rushwa ndipo watu waendelee na safari.

Magari aina ya Costa yaliyonunuliwa na matajiri kufanya biashara usiku yanakosa trip kwa sasa, kuna magari ya IT yalikuwa na utaratibu wa kutake opportunity ya usafiri wa usiku huku yakiwa siyo Bora kwa kazi hiyo. Haya yote yalikuwa yanafanyika kimagendo na watumishi walikuwa wananufaika.

Utaratibu mpya umeondoa kabisa vizuizi vya barabarani vilivyolenga kukusanya rushwa, umeondoa waliokuwa wananufaika na biashara ya usafirishaji abiria usiku bila leseni nk

Kutokana na kukatika kwa vyanzo vya rushwa wapo watu wameanzisha kampeni yakipiga marufuku utaratibu huu. Wana nguvu na wanaanza kutumia vyombo vya habari kuonyesha kusafiri usiku ni hatari ili turudi kusafiri mwisho saa sita. Watu hawa wapigwe vita.

Nipendekeze twende next stage kwa kuruhusu masoko makubwa kama Kariakoo yaanze kufanya kazi 24 hrs Hii itasaidia sana kufungua nchi kiuchumi.

Naamini idadi ya wageni wanaoingia nchini imeongezeka baada ya kuruhusu magari 24 hrs, watu wanachotaka sasa nikuwezeshwa kununua na kuuza masaa 24 ili kuendana na kasi ya mabadiliko duniani.

Nchi ipo salama turuhusu watu watafute uchumi wao 24 kwa kufungua sekta nyingi zifanye kazi kwa shifti...........kadri tutakavyo ruhusu 24 hrs ndivyo tutaongeza ulinzi wa nchi na kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Mabasi yatakuwa na madereva wawili wawili, bajaji na bodaboda zitaendeshwa kwashifti, biashara zitasimamiwa kwa shifti na hivyo waajiriwa wataongezeka, askari wataingia kwa shifti na sekta nyingine zote human resource itakuwa double. Let us wake up

Kwa upande wa Zanzibar itaondoa utaratibu uliopo sasa kwamba boti mwisho saa kumi badala yake zitakuwepo boti za usiku na hivyo nchi itafunguka kumuungano zaidi
Acha kelele,hayo mabasi mikanda ya usalama tu hayana,fuateni utaratibu
 
Serikali imefanya jambo jema sana kuruhusu safari masaa 24, matumizi ya gari ndogo na Costa kupakia abiria usiku, matumizi ya magari ya magazeti na IT kutumika kubeba abiria yamepungua na sasa watu wanasafiri salama na mabasi yaliyoruhusiwa

Kutokana na ubora wa mabasi yanayotumika sasa huko mikoani ni vigumu trafiki kunufaika na Tozo za uchakavu.. kutokana na ruhusa iliyotolewa ni vigumu kwa beria zilizowekwa barabarani kuendelea kuzuia magari wakisubiri kupewa rushwa ndipo watu waendelee na safari.

Magari aina ya Costa yaliyonunuliwa na matajiri kufanya biashara usiku yanakosa trip kwa sasa, kuna magari ya IT yalikuwa na utaratibu wa kutake opportunity ya usafiri wa usiku huku yakiwa siyo Bora kwa kazi hiyo. Haya yote yalikuwa yanafanyika kimagendo na watumishi walikuwa wananufaika.

Utaratibu mpya umeondoa kabisa vizuizi vya barabarani vilivyolenga kukusanya rushwa, umeondoa waliokuwa wananufaika na biashara ya usafirishaji abiria usiku bila leseni nk

Kutokana na kukatika kwa vyanzo vya rushwa wapo watu wameanzisha kampeni yakipiga marufuku utaratibu huu. Wana nguvu na wanaanza kutumia vyombo vya habari kuonyesha kusafiri usiku ni hatari ili turudi kusafiri mwisho saa sita. Watu hawa wapigwe vita.

Nipendekeze twende next stage kwa kuruhusu masoko makubwa kama Kariakoo yaanze kufanya kazi 24 hrs Hii itasaidia sana kufungua nchi kiuchumi.

Naamini idadi ya wageni wanaoingia nchini imeongezeka baada ya kuruhusu magari 24 hrs, watu wanachotaka sasa nikuwezeshwa kununua na kuuza masaa 24 ili kuendana na kasi ya mabadiliko duniani.

Nchi ipo salama turuhusu watu watafute uchumi wao 24 kwa kufungua sekta nyingi zifanye kazi kwa shifti...........kadri tutakavyo ruhusu 24 hrs ndivyo tutaongeza ulinzi wa nchi na kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.

Mabasi yatakuwa na madereva wawili wawili, bajaji na bodaboda zitaendeshwa kwashifti, biashara zitasimamiwa kwa shifti na hivyo waajiriwa wataongezeka, askari wataingia kwa shifti na sekta nyingine zote human resource itakuwa double. Let us wake up

Kwa upande wa Zanzibar itaondoa utaratibu uliopo sasa kwamba boti mwisho saa kumi badala yake zitakuwepo boti za usiku na hivyo nchi itafunguka kumuungano zaidi
Naunga mkono hoja
 
Nchi ipo salama turuhusu watu watafute uchumi wao 24 kwa kufungua sekta nyingi zifanye kazi kwa shifti...........kadri tutakavyo ruhusu 24 hrs ndivyo tutaongeza ulinzi wa nchi na kupunguza idadi ya watu wasio na ajira.
Asante sana umeiweka vyema, wameshaanza kuja na visingizio vya speed, kisa hatulali tena kwenye Lodge na Guest zao. Sasa hizi kama nina meeting Arusha naondoka na Kilimanjaro, Marangu, Abood, BM, Tihlisho hadi Arusha nafika asubuhi naingia meeting, jioni napanda bus narudi Dar maisha yanaendelea.
 
unazungumzia basi gani ambalo halina mikanda?
Mengi tu,mikanda ipo bosheni,baraka,bm na mengine mengi,labda ya asubuhi kwa kuwa wanaogopa ukaguzi,ukienda kupanda gari saa nne au mbili,Kuna magari mengi tu hayana mikanda,mikanda haieleweki
 
Usafiri 24 ni utaratibu mzuri sana....unasafiri usiku asubuhi unaendelea na ujenzi wa Taifa.
Very true.
2 weeks zilizopita nimeingia ofisin j3 nimepigaaa kazi mpaka saa 12 jion, baada ya hapo nikatoka saa 1 jion kuelekea Mbezi stand nikakamata gari kuelekea Arusha, nimeingia Arusha saa 1 asubuh juma4 ,nikatafuta mahala nikaoga nika change nikaingia mtaani ofisin kwa clients wangu kama wa 3 nikawa attemd nimemaliza saa 2 usiku nikashuka pamde za Kimahama pale town nikakamatia chuma Abood saa 3 usiku nikaingia Dar saa 3 asubuh juma5, nikazama kariakoo nikaoga nika change nikaingia ofisni kuendelea naa kazi mpaka saa 1 jion ndio nikarud home..

Toka zianze hiz safar za usiku kiukwel suala la kupoteza muda ni kama nimeli sort
 
Mengi tu,mikanda ipo bosheni,baraka,bm na mengine mengi,labda ya asubuhi kwa kuwa wanaogopa ukaguzi,ukienda kupanda gari saa nne au mbili,Kuna magari mengi tu hayana mikanda,mikanda haieleweki
Sasa hili ndio linaweza kuwa sababu ya kustopisha hizi safari? Kuna yale yako na mikanda na bado hamfungi, kosa ni la nani?
 
Back
Top Bottom