Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Mwendokasi sasa hivi inaendeshwa kwa hasara tena hasara kubwa, yamkini hata vipuri au mafuta yanatikana na mkono wa serikali.
Zipo sababu lukuki kwa nini shirika kama Udart kuendeshwa kwa hasara kwenye jiji lenye watu mil 5 na zaidi.
Wakati mwendokasi bado ipo chini ya uangalizi wa world bank mambo yalikua mazuri sana.
1. Fedha zote zilikusanywa kwa njia ya kieletronic na kampuni ya maxicom na ilikua audited.. kampuni hii ilikua na kazi moja tu ya kukusanya fedha(nauli)
2. Mwenye mabasi yeye alikua na kazi moja tu ya kuhakikisha abiria wanafika kwa wakati wanako kwenda.
3. Njia zote zinapo ambazo kuna mwendo kasi daladala, bajaji au chochote cha kubeba abiria hakikuruhusiwa na lengo lilikua na kuondoa msongamano na kupunguza pulution, na kuna wakati walitaka wajenge parking za magari madogo kimara, morocco na kariakoo ili watu waache magari hapo watumie public transport, na ulikua usafiri mzuri sana , nina kadi yao hadi leo.
Walikua wanapata makudanyo ya kutosha hata kuongeza mabasi kwa fedha zinazo tokana na mwendokasi.
Hali ipoje sasa.
1. Mapato yanakusanywa kwa mikono na ni cash.
2. Abiria wamepungua kwa sababu ya kuruhusu bajaji ambazo kisheria haziruhusiwi kufanya kazi kama public transport. Juzi nimekuta bajaji ya kutoka kimara hadi magomeni inapigiwa debe mchana kweupe.
3. Mapato yanakusanywa na wafanyakazi wa udart kitu ambacho kina palilia upigaji.
4. Serikali ina asilimia 80 kwenye udart hivyo udart ni UDA yenye rangi za blue badala ya rangi nyekundu.
Kwanini hatuwezi kupata mwekezaji
1. Serikali kuruhusu bajaji kufanya ruti kwenye ruti za mwendokasi kimepunguza sana abiria kiasi ambacho kwa mwekezaji mwenye akili hawezi kuja kutupa fedha sehemu ambayo haina utaratibu.
2. Serikali kuto weka kipaumbele matumizi ya public transport kwa kuweka miundo mbinu mizuri ya watu kuacha magari yao na kutumia mwendokasi, hakuna vituo vya kuacha magari wala pikipiki.
Hizo sababu mbili zisipo patiwa ufumbuzi, ni ngumu sana kupata mwekezaji serious, ukiona amepatikana ujue ni magumashi na ameoatikana kimagumashi.
Wito, serikali ituone huruma wananchi, tunahitaji maisha mazuri, kodi zinatumika kujenga miundo mbinu ambayo mwisho wa siku haitumiki.
Jiji lazima liwe na utaratibu, hata kama hakuna ajira hatuwezi kuachia jiji la ajabu chafu lisilo na mpangilio.
Wekeni utaratibu, bajaji na bodaboda ziwe feeder kutoka majumbani hadi kituoni.
Sasa hivi bodaboda na bajaji wote wanafanya kazi as public transport..
Asanteni.
Zipo sababu lukuki kwa nini shirika kama Udart kuendeshwa kwa hasara kwenye jiji lenye watu mil 5 na zaidi.
Wakati mwendokasi bado ipo chini ya uangalizi wa world bank mambo yalikua mazuri sana.
1. Fedha zote zilikusanywa kwa njia ya kieletronic na kampuni ya maxicom na ilikua audited.. kampuni hii ilikua na kazi moja tu ya kukusanya fedha(nauli)
2. Mwenye mabasi yeye alikua na kazi moja tu ya kuhakikisha abiria wanafika kwa wakati wanako kwenda.
3. Njia zote zinapo ambazo kuna mwendo kasi daladala, bajaji au chochote cha kubeba abiria hakikuruhusiwa na lengo lilikua na kuondoa msongamano na kupunguza pulution, na kuna wakati walitaka wajenge parking za magari madogo kimara, morocco na kariakoo ili watu waache magari hapo watumie public transport, na ulikua usafiri mzuri sana , nina kadi yao hadi leo.
Walikua wanapata makudanyo ya kutosha hata kuongeza mabasi kwa fedha zinazo tokana na mwendokasi.
Hali ipoje sasa.
1. Mapato yanakusanywa kwa mikono na ni cash.
2. Abiria wamepungua kwa sababu ya kuruhusu bajaji ambazo kisheria haziruhusiwi kufanya kazi kama public transport. Juzi nimekuta bajaji ya kutoka kimara hadi magomeni inapigiwa debe mchana kweupe.
3. Mapato yanakusanywa na wafanyakazi wa udart kitu ambacho kina palilia upigaji.
4. Serikali ina asilimia 80 kwenye udart hivyo udart ni UDA yenye rangi za blue badala ya rangi nyekundu.
Kwanini hatuwezi kupata mwekezaji
1. Serikali kuruhusu bajaji kufanya ruti kwenye ruti za mwendokasi kimepunguza sana abiria kiasi ambacho kwa mwekezaji mwenye akili hawezi kuja kutupa fedha sehemu ambayo haina utaratibu.
2. Serikali kuto weka kipaumbele matumizi ya public transport kwa kuweka miundo mbinu mizuri ya watu kuacha magari yao na kutumia mwendokasi, hakuna vituo vya kuacha magari wala pikipiki.
Hizo sababu mbili zisipo patiwa ufumbuzi, ni ngumu sana kupata mwekezaji serious, ukiona amepatikana ujue ni magumashi na ameoatikana kimagumashi.
Wito, serikali ituone huruma wananchi, tunahitaji maisha mazuri, kodi zinatumika kujenga miundo mbinu ambayo mwisho wa siku haitumiki.
Jiji lazima liwe na utaratibu, hata kama hakuna ajira hatuwezi kuachia jiji la ajabu chafu lisilo na mpangilio.
Wekeni utaratibu, bajaji na bodaboda ziwe feeder kutoka majumbani hadi kituoni.
Sasa hivi bodaboda na bajaji wote wanafanya kazi as public transport..
Asanteni.