luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Ukimya wa serikali wa kutatua changamoto ya huu usafiri binafsi unanipa wasiwasi huenda serikali haifahamu izi shida ambazo wananchi wanao tumia usafir huu tunakutana nao.
Jana Jumatatu pale Gerezani nilitumia masaa 3 na dakika nyingi kusubiri usafiri, imagine nimefika pale saa 10 jioni nakuja kupata usafir saa 1 na nusu usiku, yaan watu walikuwa wengi kupindukia mistari ya foleni ilikuwa ni miwili miwili ambayo imesheheni watu wanasubiri mabasi wasafiri nayo,
wale sijui ni askari wa vile vituo na wao wana jiona wana mamlaka ya pekeesana juu ya sheria za nchi, yaan unakuta askari ana mtishia kumpiga abiria imagine.
Ifike pahala serikali, wafanyamaamuzi ktk level ya wizara embu tazameni hii kero na muitatue.. kama nikuongeza mabasi then mfanye kwa uharaka.
Kama ni kuusitisha huu usafiri basi mrejeshe daladala zileza zaman.
Jana Jumatatu pale Gerezani nilitumia masaa 3 na dakika nyingi kusubiri usafiri, imagine nimefika pale saa 10 jioni nakuja kupata usafir saa 1 na nusu usiku, yaan watu walikuwa wengi kupindukia mistari ya foleni ilikuwa ni miwili miwili ambayo imesheheni watu wanasubiri mabasi wasafiri nayo,
wale sijui ni askari wa vile vituo na wao wana jiona wana mamlaka ya pekeesana juu ya sheria za nchi, yaan unakuta askari ana mtishia kumpiga abiria imagine.
Ifike pahala serikali, wafanyamaamuzi ktk level ya wizara embu tazameni hii kero na muitatue.. kama nikuongeza mabasi then mfanye kwa uharaka.
Kama ni kuusitisha huu usafiri basi mrejeshe daladala zileza zaman.