Pamoja na bei ya mafuta kupanda, watu wanaendelea kutumia magari na vyombo vingine vinavyotumia mafuta. Je ni kweli wako vizuri kipesa?

Hapa tunaongelea hali kiujumla, wewe unaongelea isolated cases za watu wachache wanaoporomosha mijengo na kuweka swimming pool ambao huenda ni walewale walamba asali ambao wana kamba za kujipimia. Tunapoongelea hali ya kiuchumi au hali ya maisha tunakuwa tunalenga nchi kwa ujumla wake, Je ni asilimia ngapi ya wananchi wanamudu angalau zile gharama muhimu za kujikimu kimaisha?
 
Mafuta ACHA yapande na watu wataendelea kuendesha gari zao,kwani kila mmoja anapambana ili kuhakikisha maisha yanasonga mbele kwa namna iwavyo
 
Tufanyaje Sasa...Maisha Lazima yasonge Mkuu.
 
Unataka sema masikini ni wengi sana Tz
Siyo maskini ila magari si chaguo lao la kwanza. Wengine chaguo lao la kwanza ni nyumba kali, mifugo, mashamba, uvuvi, n.k
Sema tulikuwa uchumi wa kati ila huyu tuliyenaye hatwambii tuko uchumi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…