Kuna wakati ukiona maisha magumu usifikiri na wenzio wanalia kilio hichohicho unaweza kujikuta uko peke yako na unapolalamika wenzio wanajifanya mnalalamika wote kumbe wanakuchora.
Kuna wakati tujikite kutafuta mbinu za kutukwamua na kuendana na kasi ya ulimwengu, vinginevyo hii dunia itakutesa peke yako.
Wakati unalalamika maisha magumu kuna wenzio kule Mbweni, Goba, Madale nk wanashusha maghorofa na kuweka mpaka swimming pools.