Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,040
- 2,688
Kama nguvu ya kuandika ujumbe wako huu umekula uhuru au umepewa nguvu baada ya akili yako kuwa imekunywa na mwili wako kuwa wa afya ni demokrasia basi uko sahihi!!!Kama Uhuru na demokrasia si mambo ya msingi, kumbe mambo ya msingi ni yapi?
Kama unadhani kuelekezwa cha kufanya ndio uhuru bado hujahitimu!
Kama kukesha unahubiri kitu ambacho hata hakikusaidii kuimarisha uchumi wako ndio demokrasia basi bado unahitaji PhD ya kumulikwa!!
Kama wanaohubiri demokrasia ndio wa kwanza kukandamiza haki na kutesa race nyingine ambayo wao wanaona haina uhalali wa kuwepo duniani ndio demokrasia basi your level of understanding on the mentioned topic is very diminished!! And imaginificent!!
Kama unajidanganya hayo unayoyaita mambo ya msingi ndio vitainua maisha yako na kukukomboa mtu mweusi aise elimu yako haijakusaidia!!!
Kubali kataa haya mambo yameletwa kuja kutugawanya!!( DIVIDE ) na kwa hili washafanikiwa sana ndio maana sasa wana tutawala japo muda mwingine siyo directly (RULE) ..nchi nyingi hizi masikini hata chaguzi zikifika they trust none even in their internal affairs as founders of the state wanted ....people will not accept or feel that they held an election with the absence of external observers!! This is terrible![emoji15]
Wacha tushabikie lakini tukumbuke wazungu ni wajanja sana ...ki akili wanatuzidi tena kupitia elimu zao hizi leo watu wanautukuza Umarekani!!! Watu hawapati hata sekunde moja kujiuliza yanayotokea ktk hizi nchi zetu bado wanakimbilia kutukanana wakiangalia upande wao wa matumbo!!! Wamemuua Dr Sebi kwa kuiambia dunia ukweli leo mzee yule is no more but no any African who is even caring ,Africans only say "Mind your things" kuna mambo mengi tu hawa watu bado hawawezi kuishawishi dunia kwa kile wanachokihubiri!!! .
Sasa Uchina nae anaingia kwa fujo goja tumkaribishe with pomposity but we will regret !!
USA ilijitambua sana baada ya kupata uhuru Marais kama kina Rooselvert,,Truman na kina Marshall walikuwa na akili mno ndio maan walijua what will happen in the near future wakaja na mikakati chanja ambayo leo tunaiishi !!! Na wao washatangulia mbele za haki but Africans na the third world countries are suffering from their successfully policies postive to them but negative to us!!!
Africa my Africa who wanna rescue this catastrophe !!