Palamagamba Kabudi, Unaivuruga Nchi....!

Palamagamba Kabudi, Unaivuruga Nchi....!

OK labda nikuulize kulikuwa na umuhimu wowote wa yeye kusema HATOWAPIGIA MAGOTI WAZUNGU KUWAOMBA MSAADA.
kwani kuna mashindano kati yetu na wazungu?
Nani anayeteseka kati yetu na wao?


TUONGEE NAO, TUSIWAPIGIE MAGOTI.

Ukweli ni kwamba tunategemeana.

Nchi za Magaharibi zinaziihitaji Nchi za Afrika kwa mali asili (natural resources), masoko, na malengo mengine ya kimkakati (mf. usalama n.k) kama Nchi za Afrika zinavyozihitaji Nchi za Magaharibi kwa teknolojia, mitaji n.k.

Hivyo basi, ni muhimu kuheshimiana wakati pande zote mbili zinapokutana mezani kujadili biashara au mambo mengine yenye maslahi ya pande mbili.

Huwezi kupindisha ukweli kwamba Nchi za Magaharibi (na zingine) zilitenda vitendo cha kikatili na kinyama (historical injustices) dhidi ya bara la Afrika. Waweza kutaja utumwa, ukoloni na wizi kama mifano tu. Afrika haijawahi kuzitendea hivyo Nchi za Magaharibi na wenzao. Hata leo Nchi za Magaharibi haziji Afrika kwa ajili ya uhisani. La hasha. Wanakuja kufanya biashara au shughuli zingine zenye maslahi kwao. Wakikukaribisha "lunch" usijidanganye kwa kudhani unapendwa, wala usijidanganye ukajifanya wewe ni "Blue-eyes" mweusi. Never ever. Lazima kuna kitu wanatafuta kwa maslahi yao. Kama Mheshimiwa Rais Magufuli anavyosema mara kwa mara: "There's no free lunch". Hivyo basi, ni sahihi kwa Nchi za Afrika kusisitiza "win-win situation" na kamwe haiwezi kuwa hivyo kwa kupiga magoti. Tusipokuwa macho wazungu na sasa hata Wachina "watatulalia" na kutumaliza.
 
Tayari nchi iko kwenye matatizo sababu yake na aliyemteua. Mbaya zaidi, CCM wanajua na hawana ujasiri wa kumwambia mwenyekiti wao ukweli wote; waneufyata! Mbaya zaidi na zaidi ni kuwa CCM ndo majority bungeni na wengi wao wakiwemo mawaziri, ndo waimba mapambio ya sifa za dhalimu wa magogoni. We are, as a country, in a very sorry state!
Kabudi achunge mdomo wake ipo siku ataiingiza nchi kwenye matatizo
 
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
Umenena vizuri kabisa!,najiuliza hivi tufanyeje sasa katika dunia hii ambayo hakuna tena kutegemea malumbano ya kisiasa mbali nguvu za kiuchumi.na kwa bahati mbaya sana hao tunaowaita mabeberu ndio walishatutangulia. Hata mchina rafiki yetu kumbe naye ni beberu tu. Tufanye nini sisi?!?. Tuendelee tu kuwaita mabeberu,wanyonyaji,wakoloni nk.au tuwe na njia mbadala ambayo itatuinua kiuchumi kwa kushirikiana nao badala ya kuwekeza kwenye kujenga chuki.sisikii Botswana, Singapore, Malaysia akiwaita mabeberu lakini wanafanya vizuri KBS kwenye chumi zao
 
Kwani sababu za kukata misaada si unazijua walizotoa?
Unamuweka mbowe mahabusu kiongozi wa kambi ya upinzani kwa kosa ambalo hajafanya unategemea nini?
anapigwa lisu risasi kisa katofautiana msimamo na ninyi mnategemea nini?
Mnawakamata viongozi wa upinzani mnategemea nini?
Mliwaonea chadema kwa kuwaona ni wanyonge hawana jeshi. Kumbe mnajiharibia Leo mnatunisha misuli kuwa hamtawapigia MAGOTI.
Kwani wakati mnapewa misaada mlipiga magoti au mlipewa TU.
TUONGEE NAO, TUSIWAPIGIE MAGOTI.

Ukweli ni kwamba tunategemeana.

Nchi za Magaharibi zinaziihitaji Nchi za Afrika kwa mali asili (natural resources), masoko, na malengo mengine ya kimkakati (mf. usalama n.k) kama Nchi za Afrika zinavyozihitaji Nchi za Magaharibi kwa teknolojia, mitaji n.k.

Hivyo basi, ni muhimu kuheshimiana wakati pande zote mbili zinapokutana mezani kujadili biashara au mambo mengine yenye maslahi ya pande mbili.

Huwezi kupindisha ukweli kwamba Nchi za Magaharibi (na zingine) zilitenda vitendo cha kikatili na kinyama (historical injustices) dhidi ya bara la Afrika. Waweza kutaja utumwa, ukoloni na wizi kama mifano tu. Afrika haijawahi kuzitendea hivyo Nchi za Magaharibi na wenzao. Hata leo Nchi za Magaharibi haziji Afrika kwa ajili ya uhisani. La hasha. Wanakuja kufanya biashara au shughuli zingine zenye maslahi kwao. Wakikukaribisha "lunch" usijidanganye kwa kudhani unapendwa, wala usijidanganye ukajifanya wewe ni "Blue-eyes" mweusi. Never ever. Lazima kuna kitu wanatafuta kwa maslahi yao. Kama Mheshimiwa Rais Magufuli anavyosema mara kwa mara: "There's no free lunch". Hivyo basi, ni sahihi kwa Nchi za Afrika kusisitiza "win-win situation" na kamwe haiwezi kuwa hivyo kwa kupiga magoti. Tusipokuwa macho wazungu na sasa hata Wachina "watatulalia" na kutumaliza.
 
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
Naona unasahau matatizo yote tunayokumbana nayo yanasababishwa na utendaji mbovu wa serikali yetu. Nikakaa chini na kutafakari huwa nashindwa kupata majibu juu ya hili ambalo serikali yetu inatufanya sisi mavuvuzela na kuendeleza ujinga kwa watanzania.
 
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
Ujinga mtupu.Unajipumbaza makusudi.
 
Profesa yupo sahihi.

Sio muda wa kupigiana magoti na kulamba viatu vya mabeberu
Wakati Juzi kati alikuwa anazunguka ubeberuni kuomba radhi Mabeberu walegeze Vikwazo
Hivi wewe unajua kuwa hata condom Kwa sasa zinayoka ubeberuni ?
 
Hatuna waziri anaitwa Kalamagamba kosa la kwanza

Hoja yako haina mashiko na umeandika hayo kwasababu Avatar yako inathibitisha ulichokiandika na maneno ya Palamagamba Aidan Mwaluko Kabudi!!!

Acha umagharibi katika kufikiri !!

Nikuambie tu machache kuhusu Unakokupenda huko ...nchi ya Kongo DRC inaweza ku supply HEP Barani Africa kwa 22 asilimia ,,ina vyama vya siasa vinakaribia 200 na ushehe na ndio miongoni mwa nchi ktk Afrika zinazojiita Democratic lakn kiuhalisia hakuna demokrasia ....huu n wimbo ambao wazungu wameuleta tunauimba hadi leo mbaya zaidi hata watoto wadogo wameanza kuuimba yani uhuru uhuru uhru uhuru uhuru na kusahau mambo ya msingi,,,, si kwenye kutenda ,kufikiri kuabudu na hata kwenye utamaduni ndio maana leo kote uendako tunaangalia movie za kigeni na wewe kuutukuza umagharibi kwa kuona kujiita hvyo ni kuwa civilized !! Afrika hakuna cha kujivunia sasa bali ni kupigana majungu tu na kubezana sisi kwa sisi kwa kutumia sindano za hawa jamaa ....pata muda ujifunze ya Libya na maisha yao hivi leo.....Hakuna kitu kibaya iwe katika haki za binadamu ama kidemokrasia kwa Afrika kulaumiwa!!! Yote haya walitengeneza wao kwetu na sasa sisi tulioathiriwa sasa tumesaahau kw kisa tu wamekuja kivingine !!

Amka!
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
 
Braza, hawa watoto wa dotcom hawawez kuelewa, hawajui kuwa hicho kitu kinachoitwa demokrasia ni "dhahania" ni kitu kisichowezekana kwa nchi masikini.
Watoto wa shilawadu ni kuwaacha tu
Kumbe Kama nchi tunapokea tusiyoyajua na hatuyawezi, na Tukiwa katika hali hiyo hiyo tunajitapa kipambana na wazungu....!.Kumbe hata hili pia huenda tunalisema Bila kulijua.
 
Waziri wa Mambo ya nje ni mtu muhimu sana katika taifa. Ni mwanadiplomasia mkuu ukimuondoa Rais. Leo tnaye Palamagamba Kabudi, namba moja kuwaimbia Mabeberu Singeli.

Ni huyu Kabudi aliyekuja na sheria za hovyo zinazotufanya sasa hivi kuonekana vituko kimataifa. Ndiye Kabudi aliyesababisha wawekezaji wengi kuondoka Tanzania akiwa Waziri wa Sheria.

Huyu Kabudi anayeimba nyimbo za kuwakandia mabeberu ndiye aliyekuwa namba moja kuzunguka nchi za Ulaya kupiga magoti tusiwekewe vikwazo. Inakuwaje anawahadaa watanzania huku anaivuruga nchi?

Bila shaka, Kabudi ndio beberu namba Tanzania.
Jombaa unaandika kama unakimbizwa.? Kuna mtu anakusomea wewe una type sio..hata sijui umeandika nini..hapa..
 
Back
Top Bottom