Palamagamba Kabudi, Unaivuruga Nchi....!

Palamagamba Kabudi, Unaivuruga Nchi....!

Waziri wa Mambo ya nje ni mtu muhimu sana katika taifa. Ni mwanadiplomasia mkuu ukimuondoa Rais. Leo tnaye Palamagamba Kabudi, namba moja kuwaimbia Mabeberu Singeli.

Ni huyu Kabudi aliyekuja na sheria za hovyo zinazotufanya sasa hivi kuonekana vituko kimataifa. Ndiye Kabudi aliyesababisha wawekezaji wengi kuondoka Tanzania akiwa Waziri wa Sheria.

Huyu Kabudi anayeimba nyimbo za kuwakandia mabeberu ndiye aliyekuwa namba moja kuzunguka nchi za Ulaya kupiga magoti tusiwekewe vikwazo. Inakuwaje anawahadaa watanzania huku anaivuruga nchi?

Bila shaka, Kabudi ndio beberu namba Tanzania.


NI SHERIA ZIPI ZA HOVYO?

Unamaanisha zile sheria za Tanzania kumiliki uchumi wake na kusimama rasilimali za nchi dhidi ya uporaji?

Kiuhalisia na kwa mantiki yoyote iwayo, sheria hizi siyo za hovyo. Ni sheria muhimu sana kwa ustawi na heshima ya Nchi. Ni kupitia sheria hizi rasilimali za nchi zitalindwa na kutumika kwa maslahi ya Nchi, kwetu tukio hai sasa na kwa vizazi vojavyo.

Kwa wale walio na nia ovu ya kupora rasilimali za nchi hii, ni dhahiri wataziona sheria hizi hazifai maana zinawakwaza.
 
Waziri wa Mambo ya nje ni mtu muhimu sana katika taifa. Ni mwanadiplomasia mkuu ukimuondoa Rais. Leo tnaye Palamagamba Kabudi, namba moja kuwaimbia Mabeberu Singeli.

Ni huyu Kabudi aliyekuja na sheria za hovyo zinazotufanya sasa hivi kuonekana vituko kimataifa. Ndiye Kabudi aliyesababisha wawekezaji wengi kuondoka Tanzania akiwa Waziri wa Sheria.

Huyu Kabudi anayeimba nyimbo za kuwakandia mabeberu ndiye aliyekuwa namba moja kuzunguka nchi za Ulaya kupiga magoti tusiwekewe vikwazo. Inakuwaje anawahadaa watanzania huku anaivuruga nchi?

Bila shaka, Kabudi ndio beberu namba Tanzania.


Sikuwahi kuzisoma hizi sheria ila kama zinalinda madini yetu na kuweka mazingira ya kutunufaisha zaidi sisi Watanzania, then long live the professor kwa hili (sikubaliani na yote anayofanya na au kusema).

Mimi ni historian kwa kiasi fulani. Ukisoma kitabu cha late walter rodney cha how europe underdeveloped Africa, ndo utagundua kuwa unahitaji kuwa taahira hivi ili uweze kusifia uporaji wa madini yetu.

Kwa kutumia common sense tuu, inaingiaje akilini kwamba Mitambo, Mikakati, Menejimenti, Mifumo and etc. vikawa na thamani zaidi ya madini kiasi kwamba mwenye hivi vitu anachukua lions share na sisi tunachukua mrahaba wa kiji-percent, sisi wenye madini yenyewe? Ni sawa na kumiliki ng'ombe halafu akaja mjanja fulani na visu, mapanga, watu wakusaidia kumchinja ili awe "nyama" halafu akakuambia atakupa ka percent flani (ka-royalty) na percent flani ya faida (remember hii ni net baada ya gharama including transfers disguised as costs).... Siyo utaahira kweli huu? Wingi na thamani ya madini yetu ni zaidi ya "uwekezaji". Sheria za zamani zilifacilitate looting.

For me serikali ithamanishe reserve ya madini yetu, iwekeze kwenye uchimbaji kwa partnership na wafanyabiashara wazawa. Kuna kaujinga flani kwamba tukifanya wenyewe tutakosa soko kwani ni wazungu ndo wanunuaji...Wachina je? Wahindi je?and etc.

Nimefaidika sana na elimu na mafunzo ya wazungu ila i am sorry, they can't brainwash me.
 
Mficha maradhi kilio humuumbua...
Ya richmond, diwans, gesi, makaa ya mawe na migodi yalifichwa....
HAKUNA UONGO USIO NA MWISHO NI SUALA LA MUDA....
TUTAELEWANA TU..
 
Sikuwahi kuzisoma hizi sheria ila kama zinalinda madini yetu na kuweka mazingira ya kutunufaisha zaidi sisi Watanzania, then long live the professor kwa hili (sikubaliani na yote anayofanya na au kusema).

Mimi ni historian kwa kiasi fulani. Ukisoma kitabu cha late walter rodney cha how europe underdeveloped Africa, ndo utagundua kuwa unahitaji kuwa taahira hivi ili uweze kusifia uporaji wa madini yetu.

Kwa kutumia common sense tuu, inaingiaje akilini kwamba Mitambo, Mikakati, Menejimenti, Mifumo and etc. vikawa na thamani zaidi ya madini kiasi kwamba mwenye hivi vitu anachukua lions share na sisi tunachukua mrahaba wa kiji-percent, sisi wenye madini yenyewe? Ni sawa na kumiliki ng'ombe halafu akaja mjanja fulani na visu, mapanga, watu wakusaidia kumchinja ili awe "nyama" halafu akakuambia atakupa ka percent flani (ka-royalty) na percent flani ya faida (remember hii ni net baada ya gharama including transfers disguised as costs).... Siyo utaahira kweli huu? Wingi na thamani ya madini yetu ni zaidi ya "uwekezaji". Sheria za zamani zilifacilitate looting.

For me serikali ithamanishe reserve ya madini yetu, iwekeze kwenye uchimbaji kwa partnership na wafanyabiashara wazawa. Kuna kaujinga flani kwamba tukifanya wenyewe tutakosa soko kwani ni wazungu ndo wanunuaji...Wachina je? Wahindi je?and etc.

Nimefaidika sana na elimu na mafunzo ya wazungu ila i am sorry, they can't brainwash me.


Asante sana! Umeelewa na umeeleweka sana.
 
Wapi katika uso wa dunia hii ama nchi yoyote duniani ambayo wananchi wake washaondokana na shida ambazo unaona kwetu zipo??? NItajie tafadhari
Matatizo hayawezi kwisha hilo LA kwanza ulitambue, matatizo ndiyo yanayotufanya watu tupate fursa za kupata kazi.

Ila inatia aibu kama serikali ndiyo chanzo LA tatizo tuchukulie mfano mzuri suala korosho walipeleka sheria ya kuvunja bodi, walishauriwa wakagoma, wabunge wa mikoa ya walipojaribu kutetea wakaambiwa watachapwa mashangazi.

Wakaja kulazimisha kununua wenyewe kwa mgongo wa kuwatetea wakulima kumbe wanaenda kuwatapeli korosho zao masikini, wakaona haitoshi wakataifisha ambao mashamba yao hayakuwa na uwezo wa kutoa korosho walizokabidhi.

Wakaja kuleta kampuni ya kitapeli ya kenya ambayo haikuwa hata na ofisi wakaambiwa lakini wakakaidi, mpk sasa korosho zinaharibikia kwenye magala na kuja kuwarudishia wakulima zlizoharibika.
Hapo bado utashindwa kutambua kuwa serikali hii ya ccm hasa ya awamu ya 5 ndiye msababishi wa matatizo ya nchi hii?
 
Matatizo hayawezi kwisha hilo LA kwanza ulitambue, matatizo ndiyo yanayotufanya watu tupate fursa za kupata kazi.

Ila inatia aibu kama serikali ndiyo chanzo LA tatizo tuchukulie mfano mzuri suala korosho walipeleka sheria ya kuvunja bodi, walishauriwa wakagoma, wabunge wa mikoa ya walipojaribu kutetea wakaambiwa watachapwa mashangazi.

Wakaja kulazimisha kununua wenyewe kwa mgongo wa kuwatetea wakulima kumbe wanaenda kuwatapeli korosho zao masikini, wakaona haitoshi wakataifisha ambao mashamba yao hayakuwa na uwezo wa kutoa korosho walizokabidhi.

Wakaja kuleta kampuni ya kitapeli ya kenya ambayo haikuwa hata na ofisi wakaambiwa lakini wakakaidi, mpk sasa korosho zinaharibikia kwenye magala na kuja kuwarudishia wakulima zlizoharibika.
Hapo bado utashindwa kutambua kuwa serikali hii ya ccm hasa ya awamu ya 5 ndiye msababishi wa matatizo ya nchi hii?
Ndugu msingi wa comment yangu ulikuwa ni kuelezea hiki ulichoandika mwanzoni yaani kwamba shida haziishi duniani mpaka tutakufa ...

Na hizi shida zaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo serikali nk ........

La serkali kuhusu korosho mnachoshndwa kuelewa ni kwamba kwa kila PLAN huwa kuna expectations ambazo lazima ziwe hypothetical yani zinaweza kuwa null hypothesis ama positive ones....hvyo kwa muktadha huu huwezi kutymia muda wako kulalamika kuhusu hiki kitu

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu msingi wa comment yangu ulikuwa ni kuelezea hiki ulichoandika mwanzoni yaani kwamba shida haziishi duniani mpaka tutakufa ...

Na hizi shida zaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo serikali nk ........

La serkali kuhusu korosho mnachoshndwa kuelewa ni kwamba kwa kila PLAN huwa kuna expectations ambazo lazima ziwe hypothetical yani zinaweza kuwa null hypothesis ama positive ones....hvyo kwa muktadha huu huwezi kutymia muda wako kulalamika kuhusu hiki kitu

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Mantiki yangu ni kwamba hao waliofanya hiyo analysis wamefeli coz mpk sasa tunaona tunahangaika na korosho wakt huku shughuli za kiuchumi zinazotegemea hiyo korosho zikiendelea kuyumba na korosho kulala na pesa zilizopaswa kuingia ktk mzunguko na kuchochea shughuli za kiuchumi. Pia bila kusahau ushauri walipewa lakn wakapuuzia
 
Mapato ya tanzania kwa kukadiria kiwango cha juu kabisa ni 1.4 trillin per month mara 12 ni 16.8 trillion budget ya serikali ni trillion 32! Go figure hizo 15.2 trillion za ziada zinatoka wapi?
kwa marafiki zetu nje ya mabeberu
 
Nimecho jifunza kwenye hii thread ni kwamba,
WATANZANIA WENGI BADO HATU JITAMBUI......!

Ndio maana, UNA zaa MTOTO wewe mwenyewe, HALAFU, una GEGEMEA, usomeshewe na WENGINE (serikali, sponsor au scholarship)
ili aje AKUSAIDIE wewe.....!

MUNGU, IREHEMU TANZANIA.
 
Nimecho jifunza kwenye hii thread ni kwamba,
WATANZANIA WENGI BADO HATU JITAMBUI......!

Ndio maana, UNA zaa MTOTO wewe mwenyewe, HALAFU, una GEGEMEA, usomeshewe na WENGINE (serikali, sponsor au scholarship)
ili aje AKUSAIDIE wewe.....!

MUNGU, IREHEMU TANZANIA.
Aise umenipa elimu kubwa mno kwa maneno yako haya machache !!!

Shukrani sana nimejifunza kitu

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom