Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
Waziri wa Mambo ya nje ni mtu muhimu sana katika taifa. Ni mwanadiplomasia mkuu ukimuondoa Rais. Leo tnaye Palamagamba Kabudi, namba moja kuwaimbia Mabeberu Singeli.
Ni huyu Kabudi aliyekuja na sheria za hovyo zinazotufanya sasa hivi kuonekana vituko kimataifa. Ndiye Kabudi aliyesababisha wawekezaji wengi kuondoka Tanzania akiwa Waziri wa Sheria.
Huyu Kabudi anayeimba nyimbo za kuwakandia mabeberu ndiye aliyekuwa namba moja kuzunguka nchi za Ulaya kupiga magoti tusiwekewe vikwazo. Inakuwaje anawahadaa watanzania huku anaivuruga nchi?
Bila shaka, Kabudi ndio beberu namba Tanzania.
Ni huyu Kabudi aliyekuja na sheria za hovyo zinazotufanya sasa hivi kuonekana vituko kimataifa. Ndiye Kabudi aliyesababisha wawekezaji wengi kuondoka Tanzania akiwa Waziri wa Sheria.
Huyu Kabudi anayeimba nyimbo za kuwakandia mabeberu ndiye aliyekuwa namba moja kuzunguka nchi za Ulaya kupiga magoti tusiwekewe vikwazo. Inakuwaje anawahadaa watanzania huku anaivuruga nchi?
Bila shaka, Kabudi ndio beberu namba Tanzania.