Mtu mwenye akili timamu hawezi kwenda kuomba unga kwa jirani acha msaada. Lakini si vizuri kuwatukana na kuwakejeli wazungu huku hata sindano ya kushonea viatu lazima tuikate spoku ya baisikeli ambayo imetengenezwa kwa uwezo wa kizungu.
Hatujawahi kumpata mfua chuma aliyefua kisu akakiweka kwenye soko letu la ndani. Huyo huyo ndiye atakwenda kuomba kwani wengine hata hiyo lugha ya kuombea hawana. Naanza kumuonea huruma pindi Trump atakapo mkumbusha majigambo yake kwa maana Trump ni trump kweli halina haya wala soni litamkumbusha
Hatujawahi kumpata mfua chuma aliyefua kisu akakiweka kwenye soko letu la ndani. Huyo huyo ndiye atakwenda kuomba kwani wengine hata hiyo lugha ya kuombea hawana. Naanza kumuonea huruma pindi Trump atakapo mkumbusha majigambo yake kwa maana Trump ni trump kweli halina haya wala soni litamkumbusha