Paka wa Muhimbili

Mimi ningetamani kujua dawa ya kuwa Zuia wasikanyage tena pale kama sio paka au ya kuwageuza wawe watu kama kweli sio paka
Mambo ya kishirikina ni ngumu kufanya jambo kama hilo kwenye compound kubwa kama ile yenye watu wa kila aina
 
Huyu nilikutana naye maeneo ya wodi ya Mwaisela. Hiyo siku ndo nilijua nina kipaji cha riadha...

Ntashiriki Marathon mwaka huu

 


Wewe na COCA mwaelekea kumoja! Ukonga na Muhimbili hujui kutofautisha kweli kazi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…